Corona imethibitisha nguvu ya mitandao ya kijamii nchini

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Wakati serikali imekuwa ikisisitiza kuwa Corona haipo nchini, Wananchi wamekuwa wakitumia mitandao ya kijamii kuelezana hali ilivyo juu ya ugonjwa huu na imefika hatua hata Kanisa Katoliki limeshituka na kutoa tamko la kutahadharisha jamii juu ya uwepo wa ugonjwa huu.

Hali hii inadhihirisha kuwa mitandao ya kijamii sasa ina nguvu sana hapa nchini kwani ni wazi bila mitandao, leo hii tusingeona watu wanaovaa barakoa, kutembea na sanitizer, watu kupimwa joto, n.k. kwani vyombo vya habari vilikuwa kimya kabisa kuhusu hali halisi ya ugonjwa huu hapa nchini.

Hivyo, ndugu zangu, hatuna budi kuishukuru mitandao ya kjjamii na pengine sitatenda haki kwa kutoushukuru kwa kipekee mtandao wa twitter na watumiaje wake katika kutoa taarifa juu ya ugonjwa huu.

Hakika ukifungwa mlango mmoja, Mungu hufungua mlango mwingine.
 
Kanisa katoliki wanapokea orders kutoka VATICAN sasa hiyo ni sawa na VATICAN wamesema ila nyie mlioshikwa akili na makanisa mnashadadia tu!

Kama muheshimiwa raisi alivyosema, tuendelee kuchukua tahadhari na kujilinda kama wanavoamrisha wataalamu wa afya, huku tukiendelea kuchapa kazi.

HAPA KAZI TU, au nasema uongo ndugu zangu!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kanisa katoliki wanapokea orders kutoka VATICAN sasa hiyo ni sawa na VATICAN wamesema ila nyie mlioshikwa akili na makanisa mnashadadia tu!.

Kama muheshimiwa raisi alivyosema, tuendelee kuchukua tahadhari na kujilinda kama wanavoamrisha wataalamu wa afya, huku tukiendelea kuchapa kazi.

HAPA KAZI TU, au nasema uongo ndugu zangu!?

Sent using Jamii Forums mobile app


Mostly, dunia inaugua ugonjwa wa ^hovidi^ (hofu ya kovidi); na wala siyo kovidi yenyewe. Inasikitisha sana kushuhudia kwamba watu wanaoonekana kutetea maslahi ya taifa letu na ustawi wa raia wake, ndio wakati huohuo wako mstari mbele kuliombea madhila. The only reason that makes them seem benefactors and well-wishers for humanity is simply an attempt at gaining a foothold -- a platform -- for advocating their strange, unpatriotic views.

It is a sort of someone desperately crying ^I love you bbylife^ just after they have discovered their former partner is mindless of them and carries on with life normally.
 
Mostly, dunia inaugua ugonjwa wa ^hovidi^ (hofu ya kovidi); na wala siyo kovidi yenyewe. Inasikitisha sana kushuhudia kwamba watu wanaoonekana kutetea maslahi ya taifa letu na ustawi wa raia wake, ndio wakati huohuo wako mstari mbele kuliombea madhila. The only reason that makes them seem benefactors and well-wishers for humanity is simply an attempt at gaining a platform for advocation their strange, unpatriotic views. It is a sort of someone desperately crying ^I love you bbylife^ just after they have discovered their former partner is mindless of them and carries on with life normally.
Kwahiyo tuendelee kupiga kazi kama alivyosema muheshimiwa raisi au!?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kanisa katoliki wanapokea orders kutoka VATICAN sasa hiyo ni sawa na VATICAN wamesema
Kama limetoa order kutoka head office inakuwaje hiilo kanisa linashindwa kumuita muumini wake mmoja na kumuonya juu ya hatari inayoweza kuwakumba maelfu ya waumini wenzake pale alipo?
 
Kanisa katoliki wanapokea orders kutoka VATICAN sasa hiyo ni sawa na VATICAN wamesema ila nyie mlioshikwa akili na makanisa mnashadadia tu!

Kama muheshimiwa raisi alivyosema, tuendelee kuchukua tahadhari na kujilinda kama wanavoamrisha wataalamu wa afya, huku tukiendelea kuchapa kazi.

HAPA KAZI TU, au nasema uongo ndugu zangu!?

Sent using Jamii Forums mobile app
unachukulia kawaida kujilinda huku unafanya kazi..! tuombe tu yasishamili kwa kishindo.
 
Tatizo mitandao ya kijamii kwa awamu hii haipo salama!
1098090.jpg
 
Back
Top Bottom