johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,944
- 141,919
Kwa wale wahenga akina Pascal Mayalla, Mrangi, Mmawia na mzee Mgaya mtakumbuka baada ya aliyekuwa waziri mkuu hayati Sokoine kufa kwa ajali ya gari Morogoro kuna wanasiasa wawili walisingiziwa kuhusika na kifo chake.
Wakati ule hapakuwepo mitandao ya kijamii lakini uzushi ule ulisambaa nchi nzima.
Ninachotaka kusema hii tabia mbaya ya kusingiziana mambo mabaya na hasa ya kuuwa ni lazima ikemewe vikali.
Hata alipokufa makamu mwenyekiti wa CHADEMA Hayati Chacha Wangwe kuna watu walisingiziwa kuhusika na hata akina Mwita Waitara wakapigwa mawe kule Tarime.
Nampongeza sana Rais Samia kwa kukemea tabia hii hadharani.
Kazi Iendelee
Wakati ule hapakuwepo mitandao ya kijamii lakini uzushi ule ulisambaa nchi nzima.
Ninachotaka kusema hii tabia mbaya ya kusingiziana mambo mabaya na hasa ya kuuwa ni lazima ikemewe vikali.
Hata alipokufa makamu mwenyekiti wa CHADEMA Hayati Chacha Wangwe kuna watu walisingiziwa kuhusika na hata akina Mwita Waitara wakapigwa mawe kule Tarime.
Nampongeza sana Rais Samia kwa kukemea tabia hii hadharani.
Kazi Iendelee