Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,081
- 2,688
"Hawa watu wakifikiria tu vitu vichwani mwao,wanaandika",amesema Mama Samia. Wanamtaka kuwaaminisha mambo mengine ambayo siyo ya kweli.
Wanawalinganisha Magufuli na Samia. Kwa nini? Samia na Magufuli ni kitu kimoja. Ni kitu kimoja? We hope not. Kwa sababu hii ni Awamu mpya na wananchi wanataka kuona mambo mapya. Awamu ya Sita ni Awamu Mpya. Kwa nini ifanane na Awamu ya zamani?
Rais Samia amesema,"
Tusitazame mbele kwa hofu. "Tusitazame nyuma kwa huzuni. Tujali ya sasa".
That seems like good advice.
Wanawalinganisha Magufuli na Samia. Kwa nini? Samia na Magufuli ni kitu kimoja. Ni kitu kimoja? We hope not. Kwa sababu hii ni Awamu mpya na wananchi wanataka kuona mambo mapya. Awamu ya Sita ni Awamu Mpya. Kwa nini ifanane na Awamu ya zamani?
Rais Samia amesema,"
Tusitazame mbele kwa hofu. "Tusitazame nyuma kwa huzuni. Tujali ya sasa".
That seems like good advice.