mimi

  1. Salasatna

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, mimi ni mwalimu wa hesabu na uchumi

    Jina: Alfred Yohanis Msunza Umri: Miaka 23 Natafuta kazi ya ualimu wa hesabu na uchumi(mathematics and economics), yeyote mwenye uhitaji naomba msaada. Elimu yangu ni shahada nimemaliza chuo kikuu cha Dar es Salaam 2020 katika ndaki ya sayansi asilia na tumizi yaani pale makao makuu ya chuo...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Aliyetunga wimbo wa "Idd Amin akifa, mimi siwezi kulia..." Ukaimbwa mashule na kambini kama kibwagizo alikuwa nani?

    Habari wadau! Tuko kwenye mjadala hapa! Wapo wanaodai ni mwalimu nyerere wengine wanasema ni Mboma, wengine wanasema ni Rais Moi! Je, ni nani aliyetunga wimbo huo uliosikika kwa maneno "Iddi Amin Akifaa, Mimi siwezi kuliaa, nitamtupa kageraa, ili awe chakula cha mamba! Je, wimbo huo ulikuwa...
  3. Just talker

    JamiiForums Tanzania Unaweza kuta wote tupo mbinguni tayari, halafu haya maisha yanayoendelea ni kumbukumbu ya kila mtu kwa maisha aliyo yaishi kipindi yupo duniani

    BINADAMU WOTE TAYARI TULISHA KUFA, KWASASA TUNAONESHWA KILA MTU JINSI ALIVYO ISHI. Unaweza kuta wote tupo mbinguni tayari, halafu haya maisha yanayo endelea ni kumbukumbu ya kila mtu kwa maisha aliyo yaishi kipindi yupo duniani. mungu anakuonesha ulivyo ishi kumbukumbu ikiisha inaonekana...
  4. kikoozi

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu: Baba anataka kuuza mali, hataki kunigawia mimi mwanae

    Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu ya kazi, naombeni ushauri wenu maana nimeshikwa na gadhabu sana tangu siku ya jana. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 39, na kwetu tumezaliwa watatu tu mimi nikiwa wa kwanza, elimu yangu ni degree 1, baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikawa tu...
  5. H

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi nimesomea Project Planning, Management and Community Development

    Hello, Ninatafuta Ajira
  6. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Serikali yaonya utoaji taarifa za maradhi, vifo au wagonjwa bila kuzingatia misingi ya utoaji taarifa

    Msemaji mkuu wa Serikali ya Tanzania, Dk Hassan Abbas ametoa onyo kwa vyombo vya habari na watu binafsi kutoa taarifa za maradhi, vifo au wagonjwa bila kuzingatia misingi ya utoaji wa taarifa kwa sababu Serikali ina utaratibu wake wa kutoa taarifa. Dk Abbas ameyasema hayo leo Alhamisi Machi 4...
  7. F

    JamiiForums Tanzania ubingwa wa enyimba champions league 2003, na mamelodi 2016 kama naiona kwa simba vile . Babra na Mo wananitisha mimi Mwanayanga

    Habari wadau.. Nimeona documentary ya enyimba success timu ya kwanza nigeria ku win caf champions league.. nimeiangalia kwa umakini nikajua ilikuwaje? Kwa nilichokiona kwa enyimba kama nakiona kwa Mo na simba yake ya zama hizi. Enyimba ilikuwa timu ya kawaida sana nigeria haijawai...
  8. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Tulia Ackson: Nilishaumwa CORONA Mara mbili, watu wasidhani Mimi siijui

    Nimepigwa na butwaa baada ya kuona clip ikisambaa kwenye mitandao ikimuonesha Naibu Spika Tulia Ackson akidai kuwa alishawahi kuugua Covid 19 mara mbili. Clip hii inamuonesha mwanamama huyu akitoa salamu za rambirambi kwenye msiba wa aliyekuwa Katibu Mkuu Hazina Dkt. Likwelile. Mbali ya kudai...
  9. J

    JamiiForums Tanzania MBEZI: Rais Magufuli azindua kituo kikuu cha Mabasi ya Mikoani

    Baada ya kufungua daraja la juu la Kijazi sasa Rais Magufuli amewasili Kituo kikuu kipya cha mabasi ya mikoani tayari kabisa kwa kukifungua rasmi. Watu ni wengi sana. Up dates; ==== WAZIRI JAFO AAGIZA MKURUGENZI WA JIJI KUANDAA BANGO LA STENDI YA MAGUFULI Waziri wa Ofisi ya Rais TAMISEMI...
  10. JOESKY

    JamiiForums Tanzania Ajira nihurumie nifurahi na mimi pia

    Maisha ni kitendawili kigumu ambacho kwa sisi wanadamu kukitegua tunashindwa kabisa kutokana na ugumu wake. Ama kwa hakika mambo hayajawa mepesi mpaka ugumu ukukumbatie. Ni mwaka mwingine bado namaliza soli ya kiatu kusaka fursa ya ajira au kibarua nipate kuweka mkono kinywani ila still mambo...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Dkt. Philip Mpango: Mimi ni mzima, walionizushia kifo nimewasamehe

    Katika kuuaga mwili wa Balozi John Kijazi Karemjee, Rais Magufuli amesoma hadharani ujumbe mfupi wa simu aliyotumiwa na Waziri Mpango akimjulisha Rais juu ya Afya yake. Nukuu ''Mheshimiwa Rais asante nimepata ujumbe wako kupitia kwa mke wangu, kwa Neema ya Mungu naendelea vizuri, nakula na...
  12. Powerman

    JamiiForums Tanzania Mimi ni kijana wa miaka 20 nahitaji ushauri wa wa kazi nayoweza kufanya kulingana na elimu yangu

    Wakuu nawasilisha kama kichwa kinavyojieleza nahitaji mnipe ushauri kama mdau wenu. Nilifeli kidato cha nne mwaka 2018 mpaka sasa hivi nipo nipo tu sina cha kufanya naishi na wazazi wangu wote bila kumsahau dada na kaka yangu ambae anasoma chuo hapo UDOM. Mara zote nimekuwa nikiisaidia familia...
  13. P

    JamiiForums Tanzania Dereva wa uber natafu gari ya kazi iwe hesabu au mkataba

    Mimi ni dereva wa uber natafu gari ya kazi iwe hesabu au mkataba pia nina account ya uber na leseni namba yangu ni 0764254637
  14. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke ana Watoto wanne kutoka kwa baba wanne tofauti mimi nataka kupewa Uuncle mbuzi. Never, Mjipange Wanawake

    Zaman ilikuwa ngumu sana kukuta mwanadada ana watoto wawil, watatu wana baba tofaut tofaut. Mimi sikuwa nikikutana sana na matukio ya hivi. Naumwa toka last week. Sometimes nakuwa fresh then nakuta kichwa kinawaka moto mpaka kizunguzungu. Ninepima Typhoid, Malaria, UTI, Pressure, kiwango cha...
  15. Slowly

    JamiiForums Tanzania Pigo za Mimi mars mmezielewa

    Aisee😋😋😋
  16. Superbug

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwanaume rijali ninaeogopa madudu washawasha na umbali wa kutoka juu hadi chini

    Kusema ukweli Mimi ni rijali na vigezo vifuatavyo vinathibitisha Hilo. Nina six pack Mrefu Mweusi Katili kidogo Sijawahi kupigwa kwenye ngumi. Nk Ila udhaifu wangu ukitaka nilie kama mtoto mdogo nirushie dudu washawasha lenye manyoya na likitembea linajinyonga nyonga. Uoga wangu wa pili ni...
  17. mqaxy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijui nifanyaje mimi...

    Habari za sasa wakuu, mpaka naandika uzi huu nipo njia panda sijui nielekee wapi? Sijui nifanyaje mimi!? Ni muda sasa tangu mpenzi wangu aanze kulalamika anasumbuliwa na jamaa mmoja hivi (ambayo ni kilema) Sasa anasema anamuonea huruma kwahiyo anataka amkubalie. Dah! Sasa mimi sielewi...
  18. mathsjery

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii ni tabia mbaya nionavyo mimi, kwa mashoga na madogo wa mke

    Nashangaa kitanda nacholalia iweje mke wangu ulale na dada yako, na wakati kuna chumba kingine, ati kisa mimi sipo? Nashangaa bafu la chumbani wadogo zako wanalitumia na wakati unajua ni la wawili tu mimi na wewe na wakati huo kuna bafu tena la ndani hapo kwenye korido? Nashangaa we dogo...
  19. sky soldier

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeelewa kwaninj wanawake wanataka wanaume wenye umri wa kuanzia miaka 30

    Habarini wanajukwaa. Mwezi ujao naingia miaka 31 kwa sasa nipo ukingoni mwa 30. Kwa nipo na mke wangu tukiwa na watoto wawili. Maishani mwangu nilianza rasmi kuwa na mahusiano serious ya kimapenzi nikiwa na umri wa miaka 17. Nikiri tu ya kwamba tangu nikiwa umri huo mpaka nafikia 30 kwa...
  20. Shobi

    JamiiForums Tanzania Je mimi ni mzembe sana?

    mambo vip wakuu! nimekumbuka kisa kilichoniumiza sana.. miaka iliyopita nilifaulu kupata kazi kwenye shirika la umma lakini ilikuwa mkataba.baada ya mkataba niliendelea kusaka ajira hapa na pale sasa nilifaulu kuingia practical moja maswali yalikuwa vizuri kabisa ila computers nilikuwa natumia...
Back
Top Bottom