Kuku kwiyoyo
Member
- May 7, 2020
- 29
- 15
Habari zenu wanajamii
Naomba mnisaidie kitu kimoja. Mimi kwa bahati mbaya mama yangu mzazi alifariki tangu 2016 na alikuwa mtumishi wa Serikali. Amefariki akiwa anaidai Serikali malimbikizo ya mshahara.Sasa mimi nimeamua kufuatilia hayo madeni tangu mwezi wa pili pale ofisini kwake
Sasa kiukweli nawapa hongera wanafuatilia na mara ya mwisho walidai kwamba wameshaituma Wizarani, niliwatafuta kama wiki iliyopita wakisubiri wizara yenyewe ifanye kazi yake.
Sasa mimi natamani kujua kwamba ni muda gani ambao Wizara ya Fedha inachukua mpaka deni la marehemu kulipwa.
Naombemi msaada Kwa wenye uzoefu na haya masuala ya ulipwaji wa madeni. Labda ukishakamilisha masuala ya kujaza document za marehemu na ofisi wakaituma Wizarani je Wizara hutumia maximum muda gani mpaka kulipa hilo deni la marehemu.
Nawasilisha
Naomba mnisaidie kitu kimoja. Mimi kwa bahati mbaya mama yangu mzazi alifariki tangu 2016 na alikuwa mtumishi wa Serikali. Amefariki akiwa anaidai Serikali malimbikizo ya mshahara.Sasa mimi nimeamua kufuatilia hayo madeni tangu mwezi wa pili pale ofisini kwake
Sasa kiukweli nawapa hongera wanafuatilia na mara ya mwisho walidai kwamba wameshaituma Wizarani, niliwatafuta kama wiki iliyopita wakisubiri wizara yenyewe ifanye kazi yake.
Sasa mimi natamani kujua kwamba ni muda gani ambao Wizara ya Fedha inachukua mpaka deni la marehemu kulipwa.
Naombemi msaada Kwa wenye uzoefu na haya masuala ya ulipwaji wa madeni. Labda ukishakamilisha masuala ya kujaza document za marehemu na ofisi wakaituma Wizarani je Wizara hutumia maximum muda gani mpaka kulipa hilo deni la marehemu.
Nawasilisha