mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,017
- 3,037
1> Philip Mangula
Huyu kama ni umeme tungeita 'under ground cable' yaani unaona taa tu zinawaka lakini nyaya huzioni.
2> Abdulhman Kinana
Huyu yupo makini sana na ndio huyu alizunguka nchi nzima kuisafisha CCM
3> Freeman Mbowe
Huyu ndiye ameifanya CHADEMA itambulike kitaifa na kimataifa
4> Humphrey Polepole
Huyu ni msomi na mwanamikakati mzuri sana
5> Halima Mdee
Licha ya matatizo ndani ya chama chake lakini namuona anawatoa kimasomaso wanawake
Huyu kama ni umeme tungeita 'under ground cable' yaani unaona taa tu zinawaka lakini nyaya huzioni.
2> Abdulhman Kinana
Huyu yupo makini sana na ndio huyu alizunguka nchi nzima kuisafisha CCM
3> Freeman Mbowe
Huyu ndiye ameifanya CHADEMA itambulike kitaifa na kimataifa
4> Humphrey Polepole
Huyu ni msomi na mwanamikakati mzuri sana
5> Halima Mdee
Licha ya matatizo ndani ya chama chake lakini namuona anawatoa kimasomaso wanawake