mifuko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    RC Makalla: Msako wa mifuko ya plastiki kuanza Jumatatu Agosti 29

    RC MAKALLA: MSAKO WA MIFUKO YA PLASTIKI KUANZA JUMATATU YA AUGUST 29. - Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango Ameelekeza msako wa mifuko ya Plastiki ufanyike Mikoa yote. - Awataka Viongozi wa Masoko yote kutoa tangazo la katazo la uuzaji wa Mifuko hiyo. - Wenyeviti wa Masoko waahidi kushirikiana...
  2. BARD AI

    Msako wa mifuko ya Plastiki kuanza upya Dar es salaam

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ametangaza operesheni ya kukamata mifuko ya plastic iliyokatazwa huku akiwataka wananchi kujiepusha na matumizi ya mifuko hiyo. RC Makalla ametangaza operesheni hiyo leo Ijumaa Augusti 19, 2022 wakati wa kikao kazi na wazalishaji wa mifuko mbadala...
  3. Nyendo

    Waziri Mwigulu Nchemba: Kuna mapato ya Serikali yanaingia kwenye mifuko binafsi ya watu

    Waziri wa Fedha amesema kuna matato ya Serikali yanaingia kwenye mifuko binafsi ya watu badala ya kwenda Serikalini. Amesema kuwa hali hiyo hutokea kwenye ukadiriaji wa kodi au uuzaji wa bidhaa, amesema unakuta mtu anamwambia mteja nikupe bei ya Kupata na risiti au bei ya bila risiti? Unakuta...
  4. macedonea

    Mifuko ya Hifadhi ya jamii

    Habari wanajamiiForums, rejea na kichwa habari hapo juu Naomba kwa pamoja tuwekane sawa kwenye haya masuala ya mifuko yahidhi ya jamii, maana mimi ni mhanga wa kutaka kujuzwa zaidi ya hapa ninapo elewa, Kufuatia taarifa ya mkurugenzi wa mifuko ya hifadhi ya jamii, tarehe 14 Nov 2018.kupitia...
  5. chiembe

    CHADEMA tunahitaji hesabu ya fedha zinazokusanywa mitaani kwenye mifuko ya rambo, hazitolewi risiti, tunaweza kupigwa na wajanja!

    Tangu hii kampeni ianze, hakuna hata siku moja tuneambiwa makusanyo ni shilingi ngapi. Hela zinakusanywa kwenye mifuko ya rambo, anayezihesabu hajulikani ni nani, ni rahisi watu kujichotea tu na kuweka mifukoni mwao, hakuna risiti. Hakuna ufafanuzi nani anaongoza nini, na gharama za operesheni...
  6. M

    Mifuko ya Plastiki yaanza kuzagaa tena mitaani

    Wakati wa utawala wa awamu ya tano tulishapiga hatua kwenye ishu ya kudhibiti mifuko ya plastiki iliyokuwa inageuza nchi yetu kuwa kama jalala. Sasa hivi mifuko na vifungashio vya plastiki imerea tena nchini, uharibifu wa mazingira unaendelea kama kawaida. Mifuko inatupwa hovyo mitaani, na...
  7. Boss la DP World

    Kurudi Kwa Mifuko ya Plastic: Rais Samia ni Dhaifu?

    Katika jiji la Dodoma (makao makuu ya chama na serikali) mifuko ya plastic imerejea kwa kasi kwelikweli, ukienda sokoni, ukanunua matunda unawekewa kwenye mfuko wa plastic kama ile mifuko ya zamani, tofauti ni kwamba mifuko hii inaonesha haitengenezwi hapa ila wana i import... Ndiyo kusema kuwa...
  8. lunatic

    Inawezekana kuomba sehemu ya makato mifuko ya kustaafu kwa mfanyakazi?

    Je, anayefahamu kama mtu bado ni mfanyakazi wa serekali kuna namna ambayo unaweza kuomba seheme ya makato ya mfuko wako wa pensheni na ukapewa kwa sasa? Au hicho kitu hakipo kabisa? Naomba kufahamu
  9. Printing n Packaging

    Tunauza na kuprint mifuko ya kuweka unga na mchele

    Mifuko yetu ni imara haina shida aina yeyote, haitoki rangi zake na inadumu muda mrefu. Kama huna nembo tunakudesignia. Mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa. Tunapatikana Dar Es Salaam. call& Whatsapp 0683557564
  10. Sky Eclat

    Ukikuta hela kwenye mifuko ya suruali wengi tunazichukulia ni ujira wa kazi ya dobi

    Wakina kaka wanahamaki wanapokumbuka pesa zao kwenye mifuko ya suruali. Zile pesa huwa tunabadilishia menu nyumbani na kujilipa kwa kazi ya udobi. Mbona mna kuwa wapole tunapokuta condoms mifukoni?
  11. Jebel

    Namna mifuko ya Sukari, Ngano na Sembe iliyotumika inavyoweza kubadilisha maisha yako

    Waungwana natumaini mu wazima na kwa Neema na Baraka za Mungu majukumu yanaenda vema kwa kila mmoja wetu. Kama mambo hayaendi vema kwako usikate tamaa, kesho yaweza kuwa zamu yako ya kubarikiwa, endelea kufanya yote kwa bidii, maarifa bila kusahau kuomba na kushukuru. Twende kwenye maada...
  12. luangalila

    Wanahabari walia na waajiri kutopeleka michango mifuko ya hifadhi ya jamii

    Giza limetanda sekta ya habari wana habari hususani wa sekta binafsi walia na waajiri kitopeleka michango katika mifuko ya hifadhi ya Jamii e.g (Nssf). Mbunge Ester Bulaya ambae kitaaluma ni mwanahabari pia, juzi bungeni aliuliza swali dogo la nyongeza kuhusu kilio cha wana habari...
  13. sky soldier

    Usiingize housegirl nyumbani kwako bila kukagua begi na mifuko yake

    Huwa nashangaa sana wakifika majumbani wana pelekwa moja kwa moja vyumbani bila ukaguzi, hii ni hatari. Hakikisha siku ya kwanza house girl wako anapofika tu, step ya kwanza inabidi apekuliwe begi kujua kama kuna kitu chochote kitachohatarisha usalama wenu, Hapa akikataa ni heri mumlipie lodge...
  14. Uzalendo wa Kitanzania

    Mrisho Gambo ajitolea Mifuko 100 kwa Kanisa la TAG Arusha

    Mbunge wa Arusha Mjini kupitia Chama Tawala CCM leo amekabidhi mifuko 100 kwa Kanisa la TAG Kata ya Olmot Arusha Hongera Gambo kwa kuwa mfano wa kuigwa na kuamua kujiwekea hazina mbinguni
  15. Filaria

    Mifuko ya plastic ngum inauzwa

    Habari za muda wana jamii. Mifuko mbalimbali yakufungashia bidhaa mbalimbali inapatikana, pia mifuko inayotumika kwenye vituo vya afya (Disposing bags) pia inapatikana. Kama utahitaji nijulishe nitakutafuta
  16. ommytk

    Uzi maalum changamoto katika mifuko ya mafao

    Wadau ebu Leo naomba tuweke na tujadili hapa changamoto tunazokutana nazo katika mifuko ya mafao kipindi tunafatilia mafao ya aina yoyote iwe yako au mzee wako maana wafanyakazi wa hizi taasisi awajui Kama hizi hela zilikatwa sio Kama Mtu unapewa bure Ni jasho lako
  17. Mb-one

    Wapi naweza kupata hii mifuko kwa bei ya jumla

    Wakuu habari Msaada: Naweza wapi nikapata aina hii ya mifuko kwa jumla na bei yake ikoje kwa hapa Dar....imeandikwa AL KHALEEJ SUGAR na mengine inaitwa WFP Nawasilisha
  18. kidadari

    Je, mifuko iliyopo mtaani sio ya plastiki?

    Nimefanya utafiti nikagundua serekali imepiga marufuku mifuko ya plastic maafuku kama "Rambo" au "malboro" lakini kiuhalisia kama hatujatatua tatizo. Iliyopo mtaani ambayo tunaiita "Vifungashio" ila ukweli ni plastic iliyoboreshwa. Inakua disposed kwa kiasi flan lakini haimaanishi kuwa...
  19. Star onair

    Nahitaji karatasi za kutengenezea mifuko

    Wakuu wenye karatasi zile za A4. Nahitaji ambazo zimetumika. Inaweza kuwa past paper, au group assignment paper. Nahitaji nyingi hata kama una kilo 100 ni Pm. Dear HR kama unabarua nyingi ofisini kwako ni pm. Msizichome moto tufanye biashara. Hata ofisi yoyote ambayo mmepokea application letter...
  20. A

    Urasimu uliopo katika mifuko ya hifadhi ya kijamii

    Baada ya kutungwa kwa sheria ya mabadikiko katika mifuko ya hifadhi ya kijamii na Kubaki PSSSF na NSSF kumekuwa hakuna ushindani kabisa. Especially kwa Wazee wanapostaafu hupata shida sana kupata mafao yao kwa wakati muafaka. Pia kwa wale ambao hawajatimiza muda wa kustaafu wamekuwa...
Back
Top Bottom