Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,902
- 944
Mbunge wa Jimbo la Kiteto, Mkoa wa Manyara Mhe. Edward Ole Lekaita amekabidhi Mifuko ya Saruji 600 kwaajili ya ujenzi wa miradi mbalimbali ndani ya Kiteto.
✅ Kata ya Kiperesa amekabidhi Mifuko ya Saruji 35
✅ Mifuko ya Saruji 50 Shule ya Msingi Makuta
✅ Kata ya Njoro amekabidhi Mifuko ya Saruji 35 kwaajili ya Shule ya Msingi Ndaleta
✅ Mifuko ya Saruji 20 Shule ya Sekondari Eco
✅ Mifuko ya Saruji 10 Kituo cha Polisi Kibaya
✅ Mifuko ya Saruji 35 Shule ya Msingi Olpopong.