Tukivujishiwa video za wale waliokuwa wanaokotwa kwenye mifuko ya Sandarusi baharini hali itakuwaje?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,720
218,268
Kwa Uzi huu haina maana kwamba naunga Mkono Hamas, bali najaribu kuoanisha reaction ya Watanzania juu ya kutekwa na kuuawa kwa Mtanzania huko Israel na mamia ya watanzania waliookotwa Baharini na kusingiziwa kuwa Wahamiaji haramu.

Sipati picha ikiwa video za Wahanga wale tangu walipodakwa, kuteswa na kuuliwa na kisha kusokomezwa kwenye viroba na kutoswa baharini zikiachiwa hali itakuwaje.

Mungu apishe mbali.
 
Mungu apishe mbali
20231112_185139.jpg
 
Kwa Uzi huu haina maana kwamba naunga Mkono Hamas , bali najaribu kuoanisha reaction ya Watanzania juu ya kutekwa na kuuawa kwa Mtanzania huko Israel na mamia ya watanzania waliookotwa Baharini na kusingiziwa kuwa Wahamiaji haramu .

Sipati picha ikiwa video za Wahanga wale tangu walipodakwa , kuteswa na kuuliwa na kisha kusokomezwa kwenye viroba na kutoswa baharini zikiachiwa hali itakuwaje .

Mungu apishe mbali
Mkuu tupe link tuzione? Au nitumie PM
 
Kwa Uzi huu haina maana kwamba naunga Mkono Hamas , bali najaribu kuoanisha reaction ya Watanzania juu ya kutekwa na kuuawa kwa Mtanzania huko Israel na mamia ya watanzania waliookotwa Baharini na kusingiziwa kuwa Wahamiaji haramu .

Sipati picha ikiwa video za Wahanga wale tangu walipodakwa , kuteswa na kuuliwa na kisha kusokomezwa kwenye viroba na kutoswa baharini zikiachiwa hali itakuwaje .

Mungu apishe mbali
Ziachiwee...
 
Kwa Uzi huu haina maana kwamba naunga Mkono Hamas , bali najaribu kuoanisha reaction ya Watanzania juu ya kutekwa na kuuawa kwa Mtanzania huko Israel na mamia ya watanzania waliookotwa Baharini na kusingiziwa kuwa Wahamiaji haramu .

Sipati picha ikiwa video za Wahanga wale tangu walipodakwa , kuteswa na kuuliwa na kisha kusokomezwa kwenye viroba na kutoswa baharini zikiachiwa hali itakuwaje .

Mungu apishe mbali
Usijitetee, wewe na Lissu mna support Hamas mnawaita wapigania Uhuru kama Mandela.
Chadema hovyo kabisa.
 
Kwa Uzi huu haina maana kwamba naunga Mkono Hamas , bali najaribu kuoanisha reaction ya Watanzania juu ya kutekwa na kuuawa kwa Mtanzania huko Israel na mamia ya watanzania waliookotwa Baharini na kusingiziwa kuwa Wahamiaji haramu .

Sipati picha ikiwa video za Wahanga wale tangu walipodakwa , kuteswa na kuuliwa na kisha kusokomezwa kwenye viroba na kutoswa baharini zikiachiwa hali itakuwaje .

Mungu apishe mbali
siku video ya Mbowe akimtwanga risasi Chacha wangwe ikivujishwa itakuwaje siku Watu waliotumwa na Mbowe kumtwanga goroli Tundu Lisu ikivujishwa hadharan itakuwaje
 
Back
Top Bottom