Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,720
- 218,268
Kwa Uzi huu haina maana kwamba naunga Mkono Hamas, bali najaribu kuoanisha reaction ya Watanzania juu ya kutekwa na kuuawa kwa Mtanzania huko Israel na mamia ya watanzania waliookotwa Baharini na kusingiziwa kuwa Wahamiaji haramu.
Sipati picha ikiwa video za Wahanga wale tangu walipodakwa, kuteswa na kuuliwa na kisha kusokomezwa kwenye viroba na kutoswa baharini zikiachiwa hali itakuwaje.
Mungu apishe mbali.
Sipati picha ikiwa video za Wahanga wale tangu walipodakwa, kuteswa na kuuliwa na kisha kusokomezwa kwenye viroba na kutoswa baharini zikiachiwa hali itakuwaje.
Mungu apishe mbali.