INTRODUCTON.
Leo naongea na wote wenye uhitaji wa pesa, Kila mpango wako kupata pesa umekwama,
Naongea na wote wenye ukata wa pesa, walioajiriwa na Wana mishahara lakini wanadaiwa Kila Kona, mshahara hautoshi.
Naongea na wenye biashara ndogo na za kati ambao wanafanya juhudi zote kujitoa walipo kiuchumi lakini wanazidi kudidimia kwenye dimbwi la Umaskini.
Naongea na wote wenye madeni Sugu Kila Kona, wangependa kulipa madeni hayo Ili wawe huru lakini hawaoni njia ya Kupata kipato kulipia, ndo wanawaza kukopa tena.
MY LIFE EXPERIENCE.
Nilipokuwa kidato Cha SITA, jobless, wakati nikisubiri mchakato wa kujiunga na chuo kikuu, nilirudi nyumbani kwetu.
Nikiwa nyumbani, nilipata shida sana kuishi nyumbani bila KAZI yoyote Kwa kipindi kile.
Siku moja, nilipewa pocket money na Mzee ya Tshs 20,000, nilikuwa na mahitaji mengi zaidi ya pesa niliyopokea, nilishukuru kupokea pesa hiyo kidogo na kuondoka kwenda kununua mahitaji yangu binafsi,
Nilinunua mahitaji machache na nilibakiwa na 2,000 tu.
Jumatano siku iliyofuata ilikuwa siku ya maombi Kanisani kwetu, niliondoka nyumbani mdogo mdogo nikielekea Kanisani, njiani nilinunua vitu vingine vidogo vidogo na kubakia na shs 600.
Nilianza kupata mawazo sababu pesa imeisha na mahitaji yangu hayajaisha na sijui lini tena ntabahatisha kupata pesa ingine.
Nikiwa njiani kuelekea Kanisani, niliwaza nisitoe sadaka niitunze hiyo 600 Ili ilinde mfuko wangu maana sikujua lini tena ntapata pesa,
Nikiwa katika kuwaza huko, ndipo lilinijia wazo la kumjaribu Mungu kupitia matoleo.
Niliwahi soma BIBLIA (Malachi 3:10-12). Nikakutana na andiko linaloongelea jinsi ya kumjaribu Mungu Kwa matoleo.
Niliwaza kuwa, sh 600 niliyonayo ni ndogo, isingenifikisha popote, kwanini nisiitumie hiyo kumjaribu Mungu?
Niliongea na Mungu ndani ya NAFSI yangu na kumwambia Mungu, Ewe mwenyezi Mungu, umesema katika neno lako kuwa nikujaribu Kwa matoleo na ZAKA Ili nisipungukiwe, Nami Leo hii naitoa pesa hii yote,akiba pekee niliyonayo Ili nione ikiwa utanibariki au la, nililenga kumjaribu Mungu kupitia neno lake.
Nilitoa sadaka Ile na kuondoka kurudi nyumbani, wakati natoa sadaka Ile ilikuwa saa tisa jioni,
Ilipofikia saa mbili usiku, nilipigiwa simu na Rafiki yangu ambaye Yeye baada ya kumalisha masomo, alipata ajira ya mkataba Mahali Fulani. Aliniambia kuwa anajisikia kunitumia pesa kidogo Kwa ajili ya matumizi madogo muda huu nikiwa Sina KAZI.
Haukupita muda, message mbili za mpesa ziliingia Kwa kufuatana, Nilipoangalia, alikuwa amenitimia 30,000/=
Tangu hapo, maisha yangu ya utoaji yalibadilika, Kila kipato nilichokipata nilitenga sadaka kwanza na kuinenea nilichotaka sadaka hiyo ifanye.
Hadi sasa navyoongea nawe, ninaishi maisha yangu vizuri sana, sio tajiri sana, lakini sipingukiwi na chochote ninachohitaji.
Nikiona naeekea kuishiwa, huchukua akiba kidogo niliyonayo huenda kuitoa nikinuia mahitaji ambayo ningependa Mungu anisaidie kuyatimiza na hujibiwa Kwa haraka sana.
USHUHUDA WA MWL MWAKASEGE.
Akiwa kwenye semina mahala Fulani, alitoa ushuhuda akisema:
Alipokuwa nje ya nchi Mungu alimsemesha apeleke sadaka Kwa mama mjane aliyeko Arusha. Baada ya kurudi nchini, alisahau kupeleka sadaka hiyo, baada ya muda kupita, alikumbushwa kwenda Kutoa sadaka Ile.
Alipofika Kwa mama yule mjane, alimkuta na alipomweleza alichoambiwa na Mungu kufanya, mama yule alijibu akisema, ameugua Kwa muda mrefu, na alikuwa akiuza nyanya na mboga sokoni, alipougua akashindwa kulipa ada ya wajukuu wanaomtegemea na Hali ikazidi kuwa ngumu.
USHUHUDA huu utupe kujua kuwa IPO haja ya kupendana na kusaidia majirani na watu wenye uhitaji na hatutapungukiwa
JINSI ZAKA,SADAKA NA MATOLEO YANAVYOFANYA KAZI.
Huzuia majanga kukuandama.
Wapo watu akipata tu mshahara, huja taarifa za misiba, wagonjwa, HASARA, Ajali Ili pesa ziende huko, pesa zikikata, matatizo yanapungua, ukipata tena pesa majanga haya hapa,
Ukitoa sadaka, matoleo ZAKA Mungu huzuia majanga hayo kukujia, na utashangaa pesa kidogo upatayo inakidhi mahitaji Yako yote.
SOLUTION.
-Kwa wenye Madeni.
Chukua pesa yote kidogo uliyonayo, tafuta mtumishi wa Mungu anayeishi maisha magumu, mpe sadaka hiyo, inenee sadaka Yako Yale Mungu ungependa akutendee.
-Kwa wanaopokea mshahara na haufiki mwisho wa mwezi.
Chukua mshahara wako Tenga sadaka kabla ya kufanya matumizi yoyote, peleka sadaka Yako Kwa maskini au wahitaji maskini, au hospitalini Kwa walioshindwa kulipa gharama za matibabu, au peleka Kwa mtumishi wa Mungu inenee sadaka Yako na utanipa majibu.
-Wazee wa betting.
Chukua pesa ambayo umepanga kupeleka betting, nenda tafuta familia maskini, wanunulie chakula na mahitaji, inenee sadaka Yako ukimwambia Mungu, nakujaribu Kwa sadaka hii, utaniambia majibu.
- Kwa Wafanyabiashara.
Chukua pesa kwenye mtaji wako, usitoe mabaki, Chukua sadaka kubwa itakayokuuma, ichukue peleka Kwa wahitaji mahispitalini, wapewe ombaomba barabarani, au toa Kwa wahubiri INJILI mabarabarani Kisha mwambie Mungu kuwa unamjaribu Kwa kupitia neno lake mwenyewe na asipolitimiza ni Yeye sasa.
HAKIKA Mungu hawezi vumilia jaribu Hilo, atakujibu haraka iwezekanavyo, Mimi nakushuhudia maisha ninayoishi halisi Hadi Leo.
NB: Wanaokwenda Kwa Waganga na wachawi kutafuta utajiri ni "WAPUMBAVU" Kwa maana Mungu ameruhusu ajaribiwe kupitia matoleo na hawezi shindwa kuwajibu sawasawa na NENO lake.
Amen.
Karibuni Kwa maswali na shuhuda Kwa watakaochukua ushauri huu na kuufanyia KAZI🙏
Leo naongea na wote wenye uhitaji wa pesa, Kila mpango wako kupata pesa umekwama,
Naongea na wote wenye ukata wa pesa, walioajiriwa na Wana mishahara lakini wanadaiwa Kila Kona, mshahara hautoshi.
Naongea na wenye biashara ndogo na za kati ambao wanafanya juhudi zote kujitoa walipo kiuchumi lakini wanazidi kudidimia kwenye dimbwi la Umaskini.
Naongea na wote wenye madeni Sugu Kila Kona, wangependa kulipa madeni hayo Ili wawe huru lakini hawaoni njia ya Kupata kipato kulipia, ndo wanawaza kukopa tena.
MY LIFE EXPERIENCE.
Nilipokuwa kidato Cha SITA, jobless, wakati nikisubiri mchakato wa kujiunga na chuo kikuu, nilirudi nyumbani kwetu.
Nikiwa nyumbani, nilipata shida sana kuishi nyumbani bila KAZI yoyote Kwa kipindi kile.
Siku moja, nilipewa pocket money na Mzee ya Tshs 20,000, nilikuwa na mahitaji mengi zaidi ya pesa niliyopokea, nilishukuru kupokea pesa hiyo kidogo na kuondoka kwenda kununua mahitaji yangu binafsi,
Nilinunua mahitaji machache na nilibakiwa na 2,000 tu.
Jumatano siku iliyofuata ilikuwa siku ya maombi Kanisani kwetu, niliondoka nyumbani mdogo mdogo nikielekea Kanisani, njiani nilinunua vitu vingine vidogo vidogo na kubakia na shs 600.
Nilianza kupata mawazo sababu pesa imeisha na mahitaji yangu hayajaisha na sijui lini tena ntabahatisha kupata pesa ingine.
Nikiwa njiani kuelekea Kanisani, niliwaza nisitoe sadaka niitunze hiyo 600 Ili ilinde mfuko wangu maana sikujua lini tena ntapata pesa,
Nikiwa katika kuwaza huko, ndipo lilinijia wazo la kumjaribu Mungu kupitia matoleo.
Niliwahi soma BIBLIA (Malachi 3:10-12). Nikakutana na andiko linaloongelea jinsi ya kumjaribu Mungu Kwa matoleo.
Niliwaza kuwa, sh 600 niliyonayo ni ndogo, isingenifikisha popote, kwanini nisiitumie hiyo kumjaribu Mungu?
Niliongea na Mungu ndani ya NAFSI yangu na kumwambia Mungu, Ewe mwenyezi Mungu, umesema katika neno lako kuwa nikujaribu Kwa matoleo na ZAKA Ili nisipungukiwe, Nami Leo hii naitoa pesa hii yote,akiba pekee niliyonayo Ili nione ikiwa utanibariki au la, nililenga kumjaribu Mungu kupitia neno lake.
Nilitoa sadaka Ile na kuondoka kurudi nyumbani, wakati natoa sadaka Ile ilikuwa saa tisa jioni,
Ilipofikia saa mbili usiku, nilipigiwa simu na Rafiki yangu ambaye Yeye baada ya kumalisha masomo, alipata ajira ya mkataba Mahali Fulani. Aliniambia kuwa anajisikia kunitumia pesa kidogo Kwa ajili ya matumizi madogo muda huu nikiwa Sina KAZI.
Haukupita muda, message mbili za mpesa ziliingia Kwa kufuatana, Nilipoangalia, alikuwa amenitimia 30,000/=
Tangu hapo, maisha yangu ya utoaji yalibadilika, Kila kipato nilichokipata nilitenga sadaka kwanza na kuinenea nilichotaka sadaka hiyo ifanye.
Hadi sasa navyoongea nawe, ninaishi maisha yangu vizuri sana, sio tajiri sana, lakini sipingukiwi na chochote ninachohitaji.
Nikiona naeekea kuishiwa, huchukua akiba kidogo niliyonayo huenda kuitoa nikinuia mahitaji ambayo ningependa Mungu anisaidie kuyatimiza na hujibiwa Kwa haraka sana.
USHUHUDA WA MWL MWAKASEGE.
Akiwa kwenye semina mahala Fulani, alitoa ushuhuda akisema:
Alipokuwa nje ya nchi Mungu alimsemesha apeleke sadaka Kwa mama mjane aliyeko Arusha. Baada ya kurudi nchini, alisahau kupeleka sadaka hiyo, baada ya muda kupita, alikumbushwa kwenda Kutoa sadaka Ile.
Alipofika Kwa mama yule mjane, alimkuta na alipomweleza alichoambiwa na Mungu kufanya, mama yule alijibu akisema, ameugua Kwa muda mrefu, na alikuwa akiuza nyanya na mboga sokoni, alipougua akashindwa kulipa ada ya wajukuu wanaomtegemea na Hali ikazidi kuwa ngumu.
USHUHUDA huu utupe kujua kuwa IPO haja ya kupendana na kusaidia majirani na watu wenye uhitaji na hatutapungukiwa
JINSI ZAKA,SADAKA NA MATOLEO YANAVYOFANYA KAZI.
Huzuia majanga kukuandama.
Wapo watu akipata tu mshahara, huja taarifa za misiba, wagonjwa, HASARA, Ajali Ili pesa ziende huko, pesa zikikata, matatizo yanapungua, ukipata tena pesa majanga haya hapa,
Ukitoa sadaka, matoleo ZAKA Mungu huzuia majanga hayo kukujia, na utashangaa pesa kidogo upatayo inakidhi mahitaji Yako yote.
SOLUTION.
-Kwa wenye Madeni.
Chukua pesa yote kidogo uliyonayo, tafuta mtumishi wa Mungu anayeishi maisha magumu, mpe sadaka hiyo, inenee sadaka Yako Yale Mungu ungependa akutendee.
-Kwa wanaopokea mshahara na haufiki mwisho wa mwezi.
Chukua mshahara wako Tenga sadaka kabla ya kufanya matumizi yoyote, peleka sadaka Yako Kwa maskini au wahitaji maskini, au hospitalini Kwa walioshindwa kulipa gharama za matibabu, au peleka Kwa mtumishi wa Mungu inenee sadaka Yako na utanipa majibu.
-Wazee wa betting.
Chukua pesa ambayo umepanga kupeleka betting, nenda tafuta familia maskini, wanunulie chakula na mahitaji, inenee sadaka Yako ukimwambia Mungu, nakujaribu Kwa sadaka hii, utaniambia majibu.
- Kwa Wafanyabiashara.
Chukua pesa kwenye mtaji wako, usitoe mabaki, Chukua sadaka kubwa itakayokuuma, ichukue peleka Kwa wahitaji mahispitalini, wapewe ombaomba barabarani, au toa Kwa wahubiri INJILI mabarabarani Kisha mwambie Mungu kuwa unamjaribu Kwa kupitia neno lake mwenyewe na asipolitimiza ni Yeye sasa.
HAKIKA Mungu hawezi vumilia jaribu Hilo, atakujibu haraka iwezekanavyo, Mimi nakushuhudia maisha ninayoishi halisi Hadi Leo.
NB: Wanaokwenda Kwa Waganga na wachawi kutafuta utajiri ni "WAPUMBAVU" Kwa maana Mungu ameruhusu ajaribiwe kupitia matoleo na hawezi shindwa kuwajibu sawasawa na NENO lake.
Amen.
Karibuni Kwa maswali na shuhuda Kwa watakaochukua ushauri huu na kuufanyia KAZI🙏