Bayern Munich wanataka kumsajili winga wa Manchester City Leroy Sane
Bayern Munich wanataka kumsajili winga wa Manchester City, raia wa Ujerumani Leroy Sane , 24,na Kai Havertz, 20, kutoka Bayer Leverkusen kama sehemu ya ''enzi mpya'' katika klabu, amesema Makamu Mwenyekiti. (Bayern1 via Evening...