Doctor Stranger
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,202
- 6,143
Kwa upande wa simba watafute pacha nzuri centre back nzuri na defensive mildfilder
kwa upande wa yanga nawapa pongezi kwa usajili wao. kiufupi wameimalika kila sehemu sijashangaa mkoko tonombe alipopewa tuzo ya MOTM
WE UMEONA NINI?
kwa upande wa yanga nawapa pongezi kwa usajili wao. kiufupi wameimalika kila sehemu sijashangaa mkoko tonombe alipopewa tuzo ya MOTM
WE UMEONA NINI?