libeva
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 4,369
- 3,391
Wadau wa michezo toka enzi na enzi tunataniana na si kuvuka mipaka ya kuanza kutafutana matawi na kuanza kubomoleana vizimba vya matawi. Toka muda mrefu nimemfuatilia msemaji wa Simba kwa kauli zake yeye anaita za kukera ndizo chokochoko ambazo washabiki wa Simba nao wanazibeba kisha wanazungumza mbele ya mashabiki wa Yanga huku wakijua wanae zungumza nae ana hasira kiasi gani na wapembeni nae ana hasira kiasi gani ipo siku moto utawaka chukueni tahadhari hiyo ingawa yeye kwa kufanya hivyo anaingiza pesa ila anajenga chuki na si utani ule wa Simba na Yanga wa enzi na enzi werevu tumeliona hilo.