mfumo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stiv

    JamiiForums Tanzania SoC01 Uhusishwaji wa Afya ya akili katika mfumo wa elimu za Msingi na Sekondari

    Karibu katika makala hii: UHUSISHWAJI WA AFYA YA AKILI KATIKA UTOAJI A HUDUMA YA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI. Uzingatiwaji wa afya ya akili katika jamii ya Tanzania uko katika kiwango kidogo, Athari zake huathiri walio na kasoro ya kiakili na wasio nazo, hivyo watoto na watu wazima wako...
  2. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania SoC01 Pendekezo: Mfumo mbadala wa Manunuzi ya Umeme

    Umeme ni hitaji muhimu katika maendeleo ya kila taifa na mtu binafsi,kwa kuwa umeme huzalishwa kwa gharama kubwa na serikali hivyo serikali haina budi kuuza umeme kwa watumiaji kupitia shirika lake la umeme TANESCO.Kwa sasa Tanesco kwa asilimia kubwa ya wateja wake wananunua umeme kupitia...
  3. Matendo Andrew

    JamiiForums Tanzania Tatizo la watafutaji wengi hawatafuti mfumo wa kupata fedha bali wanatafuta fedha yenyewe

    Ili uwe na mafanikio kwenye eneo lolote unahitaji kitu KINAITWA experience (uzoefu) Watu wanafel biashara,wanafukuzwa au kutothaminiwa kazin kwasababu ya uzoefu..ukifuatilia na kuwachunguza wanaokuzidi iwe kwenye BIASHARA yeyote au kazi ofisini utagundua sio kitukingine ni uzoefu tu... Kwahyo...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Bibi anasema "Tusiilaumu serikali kwa tozo mpya, bali tubadili mfumo wa kuhifadhi na kutumiana pesa"

    Nimefuatilia mijadala mbali mbali kuhusu ongezeko la gharama na tozo mpya za miamala ya kifedha kwa upande huduma wa mitandao ya simu za mkononi. Mjadala umekuwa mkubwa sana kwenye mitandao mbalimbali. Wananchi wanalalamikia ongezeko la tozo hizi huku kiasi kikubwa cha makato (tozo) hizo...
  5. Planeti

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa usajili majina ya biashara BRELA

    Wakuu habari zenu, Nimeanza jana kujaribu kusajili Jina la biashara kwa mfumo wa Brela ORS. Nimejisajili vizuri tu ili kuendelea na hatua inayofata, sasa shida ndio imeanzia hapo.. Kila nikijaribu kupakia taarifa ili kuendelea na hatua inayofuata, wao hunigomea. Wanadai kuna taarifa...
  6. J

    JamiiForums Tanzania SoC01 Ukoloni wa mfumo dume, Tuupindue

    Kwenye taaluma ya ikolojia tumefundishwa kuwa, kukubali uwepo wa tatizo ni sehemu muhimu ya suluhisho ila kukana uwepo wa tatizo na kutafuta njia mbadala wa kutatua tatizo kanwa ni pata potea. Ni ukweli kuwa matatizo mengi ya kijamii yanayohusisha mwingiliano wa mwanaume na mwanamke yanatokana...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa elimu ubadilishwe

    Moja ya jambo ambalo linatakiwa kutiliwa mkazo kwa sasa ni namma ambavyo mfumo wetu wa utoaji elimu unavyoathiri vizazi vyetu hasa vijana. Ni mfumo ambao unalenga sana kuwaandaa wanafunzi kuwa tegemezi na kuwa wavivu wa kujituma na kupambania ndoto zao. Wanafunzi wanafundishwa tu wakazane na...
  8. MulegiJr

    JamiiForums Tanzania SoC01 Mabadiliko ya Mfumo wa Rufaa ya Matibabu (Medical Referral System)

    MFUMO WA RUFAA YA MATIBABU ni mfumo ambao unamwezesha mgonjwa kutoka kituo kimoja kwenda kigine kwaajili ya kujipatia Matibabu, kulingana na ukubwa wa tatizo, au uhaba wa wataalum , au kulingana na kutokuwepo kwa vifaa vya kutosha katika kituo husika. Rufaa ya Matibabu hutolewa kulingana na...
  9. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania SoC01 Tunaweza kuwa Taifa imara kama tutaamua kubadilisha Mfumo wa Elimu yetu

    Wadau, hakika ili taifa liwe imara mfumo wa elimu yake lazima ubadilike, tuko hivi tulivyo kutokana na aina ya elimu yetu tunavyoitoa ikiwemo mitaala yetu! wakati nimeona hili shindano nikadhani ni bora nilete mjadala huu mpana katika nchi yetu namna ya kuleta elimu yenye tija! na yafuatayo ni...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Mfumo wetu wa elimu na watu unaozalisha

    Unazalisha Maprofesa na PhD's wasio jiamini wala hata ku reason vitu basic kabisa hawawezi hata kusimamia ukweli pia hawawezi (Hili lilionekana waziwazi kwa Mawaziri hasa wakati wa utawala wa mwendazake ) na ndio hao hao wanafundisha watu vyuoni! Unapiga vita utandawazi na kuaminisha kua...
  11. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Napendekeza taa za kuongozea magari ziunganishwe na mifumo ya ‘Google maps’

    Huwa inashangaza sana katika zama hizi za kukua mno kwa teknolojia kukuta taa za barabarani zinaita upande usio na magari kabisa hata dakika 2, wakati huo huo upande mwingine wenye msururu mrefu wa magari ukiwa umezuiwa kwa taa nyekundu, huwa nacheka sana. Ninachojiuliza, kama simu yangu ya...
  12. MPEKENYELA

    JamiiForums Tanzania Vipi kuhusu huu mfumo wa HESLB wa kuonesha madeni?

    Samahan wadau, Kumekuwa na link inyosambazwa https://olas.heslb.go.tz/index.php/olas/user/register/repay?t=2 ukiingia inaonyesha deni tofauti na lile lililopo kwenye salary slip kwa wale walioanza kukatwa. Je, hii ina maana gan? Kuna marekebisho tusubiri au huu mfumo hauna correlation na...
  13. MURUSI

    JamiiForums Tanzania Kuinua Elimu nchini, mfumo wa kuajiri kwa kuangalia Vyeti ufutwe

    Moja ya sababu ya elimu kuwa Duni na pia kukutana na Graduate au Masters ambaye uwezo wao ni mdogo sana kulinganisha hata na Darasa la saba au mtu mwenye elimu ya certficate ni kwa sababu ya Vyeti kuabudiwa. Vyuoni watu huenda kutafuta vyeti na si kutafuta maarifa, ndo maana kule kuna njia...
  14. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Kama Dangote kafunga mitungi ya gesi kwenye malori yake, Mimi ni nani hata nisibadili mfumo wa nishati ya gari yangu?

    Mafuta yanapanda Bei Kila kukicha, kipato kinapungua kila kukicha. Nimepita Ubungo, kituo cha kujaza natural kwenye magari (sheli, tuite hivyo ili nieleweke) nimekuta kg 1 ni shilling 1550. Gharama za kubadili mfumo ni kama milioni moja na kidogo. Jumamosi naipeleka gari ikabadilishwe mfumo...
  15. Donnie Charlie

    JamiiForums Tanzania CAF inatarajia kukutana Morocco Julai 16 kwa ajili ya kujadili mfumo wa mashindano ya CAF Super League

    CAF inatarajia kukutana Morocco Julai 16 kwa ajili ya kujadili mfumo wa mashindano ya CAF Super League Timu zilizotajwa 🇲🇦Wydad, Raja, Berkane 🇪🇬Al Ahly, Zamalek, Pyramids 🇿🇦Mamelodi Sundowns, Orlando Pirates, Kaizer Chiefs 🇨🇩TP Mazembe, Vita Club 🇸🇩Al Hilal, Merrikh 🇹🇿Simba 🇬🇳 Horoya...
  16. Katung'a

    JamiiForums Tanzania eMALALAMIKO: Mfumo huu wa kuwasilisha malalamiko serikalini utatekeleza majukumu kusudiwa?

    Serikali kupitia wizara ya utumishi wa umma imezindua mfumo wa kuwasilisha malalamiko, pongezi na ushauri kwa njia ya kieletroniki. Wadau najiuliza mfumo utasaidia kupunguza gharama za kufika maofisini kwa waliombali na makao makuu ya nchi? Kweli wamezindua mfumo je watakua active kupokea na...
  17. Fohadi

    JamiiForums Tanzania Usajili timu za bongo ni pata potea. Hakuna mfumo maalumu unaotumika

    Viongozi wa soka wa timu za ligi kuu hapa bongo hasa hizi kubwa wanapaswa kubadilika...maswala ya sajili za kubahatisha yamepitwa na wakati...Kama kweli tunataka kupiga hatua inabidi tubadilike kwenye hii angle. Ni bongo pekee ambapo usajili wa mchezaji hauzingatii CV yake bali upepo alioamka...
  18. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania TCU mfumo wa CAS haukua mzuri, mfumo wa sasa ndio mzuri

    TCU mfumo CAS ulifeli kwa kuwachagulia wanafunzi fani wasizozitaka na vyuo wasivyovitaka. Yaan mtu anaenda kusoma chuo kikuu fani asiyoitaka wala hakuiomba, na hajui inahusiana na nini. Chuo kikuu sio sekondari kwamba umpangie mtu chuo na kozi ya kusoma. Hata Ulaya hawafanyi hivyo. Waacheni...
  19. kavulata

    JamiiForums Tanzania TCU rudisheni mfumo wa kudahili wanafunzi vyuoni kwa njia ya mtandao (CAS)

    TCU ni taasisi inayodhibiti ubora wa elimu ya juu. Inakagua, inashauri, inaruhusu Na kusimamisha au kufuta vyuo visivyokidhi vigezo vya ubora. Hivyo, vyuo vyote ambavyo vinatoa mafunzo vimefikia vigezo (minimum) vya ubora wa kumudu kutoa mafuzo yaliyokusudiwa. Ingawa ni kweli vyuo vinatofautiana...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Kama kuna kosa kubwa kwa miongo 3, hili la mfumo wa uajiri kisiasa limezidi

    Nazungumzia mfumo Wetu wa uajiri na siasa zetu za vyama namna lilivyoathiri. Ukweli ni kwamba tumeendekeza siasa ambapo chama kilichoshinda Iwe Kwa haki au mizengwe ndio kinaunda serikali na Kuwa na ushawishi kwenye Ajira zote nyeti. Hatimae kwa takriban miongo mitatu sasa athari iko wazi...
Back
Top Bottom