Rais Samia awataka wadau wa mfumo wa Haki kuzingatia Sheria

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Rais Samia Suluhu Hassan amesema pamoja na ujenzi miundombinu ya utoaji Haki, mafanikio yanayotarajiwa hayawezi kupatikana endapo wadau wa mfumo huo hawatofanya kazi kwa kuzingatia Sheria.

Ameeleza, "Tunaweza kuwa na majengo mazuri na mfumo bora wa TEHAMA, lakini kama Mahakimu, Majaji na wengine hawakuongozwa na nafsi njema katika Utoaji Haki, inaweza isipatikane"

Amesema hayo leo Oktoba 06, 2021 katika Uzinduzi wa Vituo Jumuishi vya Utoaji Haki Jijini Dodoma

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa Mahakama kushughulikia uchelewaji wa kesi, akitaka suala la kusikiliza kesi haraka kupewa kipaumbele

Amesema, "Msikubali kirahisi kubadilisha Mahakimu au tarehe za kusikiliza kwasababu hilo ni moja ambalo linafanya kesi zichelewe"

Pia amewataka Jaji Mkuu na Jaji Kiongozi kuangalia usimamizi wa ubora wa maamuzi katika Mahakama za Mwanzo, akisema malalamiko mengi yanahusu Mahakama hizo

337E86AA-A316-4E6C-9591-DC951D172282.jpeg
2F903377-6FF7-4EBC-9778-9CFEF32FCF44.jpeg
 
Ngoja tuone kwa kuanzia na kesi ya kubumba ya ugaidi.

Na Kama ni kweli aliongea na mkuu wa majeshi General Mabeyo, tutaona kama Moses lijenje atapatiwa haki yake na kina Adamoo.
Mungu siyo suluhu
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema pamoja na ujenzi miundombinu ya utoaji Haki, mafanikio yanayotarajiwa hayawezi kupatikana endapo wadau wa mfumo huo hawatofanya kazi kwa kuzingatia Sheria.

Ameeleza, "Tunaweza kuwa na majengo mazuri na mfumo bora wa TEHAMA, lakini kama Mahakimu, Majaji na wengine hawakuongozwa na nafsi njema katika Utoaji Haki, inaweza isipatikane"

Amesema hayo leo Oktoba 06, 2021 katika Uzinduzi wa Vituo Jumuishi vya Utoaji Haki Jijini Dodoma

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa Mahakama kushughulikia uchelewaji wa kesi, akitaka suala la kusikiliza kesi haraka kupewa kipaumbele

Amesema, "Msikubali kirahisi kubadilisha Mahakimu au tarehe za kusikiliza kwasababu hilo ni moja ambalo linafanya kesi zichelewe"

Pia amewataka Jaji Mkuu na Jaji Kiongozi kuangalia usimamizi wa ubora wa maamuzi katika Mahakama za Mwanzo, akisema malalamiko mengi yanahusu Mahakama hizo

View attachment 1965339View attachment 1965340
Wewe tenda haki kwanza kwa Mbowe! Vinginevyo ni blaa blaa
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema pamoja na ujenzi miundombinu ya utoaji Haki, mafanikio yanayotarajiwa hayawezi kupatikana endapo wadau wa mfumo huo hawatofanya kazi kwa kuzingatia Sheria.

Ameeleza, "Tunaweza kuwa na majengo mazuri na mfumo bora wa TEHAMA, lakini kama Mahakimu, Majaji na wengine hawakuongozwa na nafsi njema katika Utoaji Haki, inaweza isipatikane"

Amesema hayo leo Oktoba 06, 2021 katika Uzinduzi wa Vituo Jumuishi vya Utoaji Haki Jijini Dodoma

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa Mahakama kushughulikia uchelewaji wa kesi, akitaka suala la kusikiliza kesi haraka kupewa kipaumbele

Amesema, "Msikubali kirahisi kubadilisha Mahakimu au tarehe za kusikiliza kwasababu hilo ni moja ambalo linafanya kesi zichelewe"

Pia amewataka Jaji Mkuu na Jaji Kiongozi kuangalia usimamizi wa ubora wa maamuzi katika Mahakama za Mwanzo, akisema malalamiko mengi yanahusu Mahakama hizo

View attachment 1965339View attachment 1965340
Ameshindwa kuwataja Polisi?. Awe direct tu
 
Mwenye hiyo MORAL AUTHORITY ni nani?

Mbowe?

Endelea kuufukuza upepo mkuu.

#SiempreJMT
Kibaka wa wizi wa kura hawezi kuwa na moral authority ya kuwaambia watu kuwa watende haki.Chief Hagaya alipora uchaguzi.Ni kibaka wa wizi wa kura.
 
Back
Top Bottom