THE SPIRIT THINKER
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 392
- 555
FAHAMU SAYARI ZETU 8 ZILIVYOJIUNDA 🤔
Sayari zimeanza kujiunda mara baada tu ya mfumo wetu wa Jua ulivyomaliza kuundika kutokana na mawingu mazito yenye gesi na mavumbi mavumbi yatokayo huko interstellar space
Mawingu mazito yalipasuka kutokana na mvumo au twaweza kusema shockwave iliyotokea baada ya mojawapo ya Nyota kubwa ilivyolipuka kitaalamu tunaita " supernova 💥 " na kupelekea kuuna solar nebula au twaweza kusema swirling disk of material
Mzunguko wa mduara wa gases ndio kitu kilichoundwa ambapo kutokana na mzunguko huo ilipelekea kutokea kwa nguvu ya uvutano katikati ambayo ilipelekea kuvuta zile material gase katikati na kusababisha pressure kubwa katika kiini kilichopo katikati hatimaye hydrogen atoms ziliungana na kuunda helium na kusababisha kutokea kwa mlipuko mkubwa uliosababisha muwako
Mzunguko ule wa gases mbalimbali ulisababisha kuvuta maada zilizopokaribu na kuziunganisha kwa pamoja yaani mawe yaliungana kwa pamoja na pia vipande vya barafu na gases viliungana kwa pamoja na kutokana na mizunguko ya hizo maada basi kuna kulizaliwa nguvu ya uvutano na kuunda mduara wa maumbo
Baadhi ya mawe yalishindwa kushikana kwa pamoja na kuunda masayari matokeo yake yalipeleke kuunda asteroids belt na mengine yaliishia kuunda asteroids zile kubwa kubwa kabisa
Maada za mawe ziliunda sayari kama mercury , Venus , Earth na Mara huku Maada za Barafu na Gas ziliunda Gas Giant na Ice Giant - Jupiter , Saturn , Uranius na Neptune
Naishia Hapa kwa Leo
Sayari zimeanza kujiunda mara baada tu ya mfumo wetu wa Jua ulivyomaliza kuundika kutokana na mawingu mazito yenye gesi na mavumbi mavumbi yatokayo huko interstellar space
Mawingu mazito yalipasuka kutokana na mvumo au twaweza kusema shockwave iliyotokea baada ya mojawapo ya Nyota kubwa ilivyolipuka kitaalamu tunaita " supernova 💥 " na kupelekea kuuna solar nebula au twaweza kusema swirling disk of material
Mzunguko wa mduara wa gases ndio kitu kilichoundwa ambapo kutokana na mzunguko huo ilipelekea kutokea kwa nguvu ya uvutano katikati ambayo ilipelekea kuvuta zile material gase katikati na kusababisha pressure kubwa katika kiini kilichopo katikati hatimaye hydrogen atoms ziliungana na kuunda helium na kusababisha kutokea kwa mlipuko mkubwa uliosababisha muwako
Mzunguko ule wa gases mbalimbali ulisababisha kuvuta maada zilizopokaribu na kuziunganisha kwa pamoja yaani mawe yaliungana kwa pamoja na pia vipande vya barafu na gases viliungana kwa pamoja na kutokana na mizunguko ya hizo maada basi kuna kulizaliwa nguvu ya uvutano na kuunda mduara wa maumbo
Baadhi ya mawe yalishindwa kushikana kwa pamoja na kuunda masayari matokeo yake yalipeleke kuunda asteroids belt na mengine yaliishia kuunda asteroids zile kubwa kubwa kabisa
Maada za mawe ziliunda sayari kama mercury , Venus , Earth na Mara huku Maada za Barafu na Gas ziliunda Gas Giant na Ice Giant - Jupiter , Saturn , Uranius na Neptune
Naishia Hapa kwa Leo