Habari waungwana,
Kuuliza sio ujinga, nilikuwa naomba kujua kuhusu huu mfumo mpya wa Insurance za magari wa kutokuwa na sticker za kubandika kwenye kioo.
Je, inapaswa utembee na cover note kama ithibati kuwa Insurance yako ni hai. Hofu yangu ni hawa ma traffic wetu wanaweza kukamata na akakwambia kuwa hana mashine ama smart phone ya kuhakiki uhai wa bima yako.
Natanguliza shukran zangu za dhati na kama unahisi ulikuwa unajua kabla na huna nia ya kutoa jibu basi jaribu pia kuto toa maneno ya dhihaka maana si kila mtu anajua.
Kuuliza sio ujinga, nilikuwa naomba kujua kuhusu huu mfumo mpya wa Insurance za magari wa kutokuwa na sticker za kubandika kwenye kioo.
Je, inapaswa utembee na cover note kama ithibati kuwa Insurance yako ni hai. Hofu yangu ni hawa ma traffic wetu wanaweza kukamata na akakwambia kuwa hana mashine ama smart phone ya kuhakiki uhai wa bima yako.
Natanguliza shukran zangu za dhati na kama unahisi ulikuwa unajua kabla na huna nia ya kutoa jibu basi jaribu pia kuto toa maneno ya dhihaka maana si kila mtu anajua.