Naenda moja kwa moja kwenye wazo langu , na niombee viongozi wangu Chama mlipokee, Kama linafaa
CHADEMA tujue mpaka mda huu, hatupambani na ccm bali dola,ipo wazi
Sasa tumechoka na vyombo vya dola kukandamiza HAKI zetu, hii ni nchi yetu wote.
Kamatwa watu wetu , Kisa katiba mpya tena kwenye...