CHEF
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 222
- 122
Kwa taasisi kubwa kama TRA inakosa back up, eti wanaweza wasifanye kazi siku nzima eti mtandao hakuna seriously
Yaani unaenda asubuhi mpaka mchana wakati mwingine siku nzima hawatoi huduma eti mtandao hakuna, Are you serious? Ina maana TRA inakosa back up?
Bora ingekuwa tatizo la Mara moja lakini ni tatizo linatokea Mara kwa Mara.
Mfumo wa utendaji kazi sio organized mfano unaweza kuwa una tatizo , wanakuambia hili nenda IT department,
Ukienda IT department wakishindwa watakuambia nenda HQ that means hakuna integrated system ya kufanyia kazi kwa wataalam wote haijalishi yupo wapi kwani hawawezi kuwa na system ili wataalam wa IT wakawa wana-solve (FAQs) at a right time.
Kwani hawawezi kuwa na system ya kuwa wanatuma matatizo yote yalitokea kwa siku kisha wanasolve at a right time.
Nawakumbusha dunia imebadilika watumie teknolojia kufanya kazi kisasa .
Yaani unaenda asubuhi mpaka mchana wakati mwingine siku nzima hawatoi huduma eti mtandao hakuna, Are you serious? Ina maana TRA inakosa back up?
Bora ingekuwa tatizo la Mara moja lakini ni tatizo linatokea Mara kwa Mara.
Mfumo wa utendaji kazi sio organized mfano unaweza kuwa una tatizo , wanakuambia hili nenda IT department,
Ukienda IT department wakishindwa watakuambia nenda HQ that means hakuna integrated system ya kufanyia kazi kwa wataalam wote haijalishi yupo wapi kwani hawawezi kuwa na system ili wataalam wa IT wakawa wana-solve (FAQs) at a right time.
Kwani hawawezi kuwa na system ya kuwa wanatuma matatizo yote yalitokea kwa siku kisha wanasolve at a right time.
Nawakumbusha dunia imebadilika watumie teknolojia kufanya kazi kisasa .