gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,283
- 3,274
Wanabodi salaam!
Serikali kupitia Tamisemi wametangaza ajira tar 20 mwezi huu kwa kada ya afya na elimu.Tunaishukuru serikali kwa hizi ajira kwani kimsingi hali ya ukosefu wa ajira imekuwa janga nchini.
Tatizo lililopo ni mfumo(system) kwenye uombaji hizi ajira unamatatizo yanayopelekea watu wengi kushindwa kuomba hizi ajira na hapa ndipo nimeona nimshuri Bashungwa kama wameshindwa kutengeneza mfumo mzuri wa watu kuomba ajira ni bora waturudishe posta ili kutoa fursa sawa kwenye uombaji hizi ajira.
Ukiingia kwenye a/c ya tamisemi instagram utaona watu wengi wenye malalamiko lakini wanakosa msaada,tamisemi wametoa namba ya simu kwa yeyote mwenye changamoto lakini namba haipatikani.
Kwenye huu mfumo wao,ukikosea kujaza na bahati mbaya ukasubmit hakuna namna yaku edit hata kama ni muda huohuo,ni mfumo wa hovyo sana.
Wapo watu wengi kozi zao hazipo kwenye mfumo na wanapo jaribu kuwataarifu tamisemi kwenye a/c yao instagram wanawajibu kwakuwapa namba ya simu ambayo haipatikani wakiwataka wawapigie ili wawakwamue.
Naomba sana serikali kwanza watatue hizi changamoto lakini pia waongeze muda watu wote wapate fursa yakuomba ajira kwani kwachangaoto za huu mfumo wiki mbili walizozitoa kwa watu kuomba hizi ajira hazitoshi.
Serikali kupitia Tamisemi wametangaza ajira tar 20 mwezi huu kwa kada ya afya na elimu.Tunaishukuru serikali kwa hizi ajira kwani kimsingi hali ya ukosefu wa ajira imekuwa janga nchini.
Tatizo lililopo ni mfumo(system) kwenye uombaji hizi ajira unamatatizo yanayopelekea watu wengi kushindwa kuomba hizi ajira na hapa ndipo nimeona nimshuri Bashungwa kama wameshindwa kutengeneza mfumo mzuri wa watu kuomba ajira ni bora waturudishe posta ili kutoa fursa sawa kwenye uombaji hizi ajira.
Ukiingia kwenye a/c ya tamisemi instagram utaona watu wengi wenye malalamiko lakini wanakosa msaada,tamisemi wametoa namba ya simu kwa yeyote mwenye changamoto lakini namba haipatikani.
Kwenye huu mfumo wao,ukikosea kujaza na bahati mbaya ukasubmit hakuna namna yaku edit hata kama ni muda huohuo,ni mfumo wa hovyo sana.
Wapo watu wengi kozi zao hazipo kwenye mfumo na wanapo jaribu kuwataarifu tamisemi kwenye a/c yao instagram wanawajibu kwakuwapa namba ya simu ambayo haipatikani wakiwataka wawapigie ili wawakwamue.
Naomba sana serikali kwanza watatue hizi changamoto lakini pia waongeze muda watu wote wapate fursa yakuomba ajira kwani kwachangaoto za huu mfumo wiki mbili walizozitoa kwa watu kuomba hizi ajira hazitoshi.