mbinu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mgt software

    JamiiForums Tanzania CHADEMA tulieni huu sio wakati wa kuleta kokoro, Uongozi dhaifu wa Mwenyekiti kuishiwa mbinu na kuanza kutengeneza makundi tatizo lilianzia hapo

    Wana JF Kilichofanya vyama vya upinzani kupigwa chini, ni matokeo mabaya ya uongozi wa Mbowe na kundi lake tiifu. Ndani ya chama chao ilianza fukuzana fukuzana. Ikaja susia susia watu walioona mbali wakaanza kujiondoa kwa kuunga juhudi upande wa pili. Hayo pia yaliyokea CUF ya Lipumba. Uovu kwa...
  2. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Kufungia ndoa kijijini: Mbinu mpya ya kupiga michango

    Kumeibuka wimbi la vijana wanaooa hasa hawa wanaoishi mijini, kupitisha michango ya harusi bila kusema harusi itafanyikia wapi? Mtu unaletewa kadi ya mchango, au kundi linaanzishwa whatsap unajikuta umeongezwa mnahamasishwa sana kuchanga kwasababu kutoa ni moyo sio utajiri. Ukiuliza bajeti...
  3. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Ofisi ya Mufti yawapa mbinu kuepusha mifarakano masheikh Pemba

    VIONGOZI wa dini ya kiislamu wa mkoa wa kusini Pemba, wametakiwa kutodhihirisha kwa wafuasi wao mahaba, upendo na kuvipigia chapuo vyama vyao vya siasa, wanapokuwa wanahubiri kwenye nyumba za ibada, kwani athari yake ni kusabisha mgawanyiko. Ushauri huo umetolewa na Afisa Fat-tuwa na Utatuzi wa...
  4. kagoshima

    JamiiForums Tanzania GE2020 Miundombinu kila mtu anaweza kujenga, ugumu wa kazi ya Urais uko hapa...

    Habari wakuu. Ugumu wa kazi ya Urais upo katika maeneo haya yafuatayo: 1. Kuwaunganisha watu, 2. Kuwafanya majority wawe na furaha na nchi yao 3. Kuboresha uchumi wa raia maana ndio tegemeo lao kuu walipo kuchagua. 4. Usalama wa raia, 5. Huduma bora za afya, maji, elimu, umeme 6. Uhuru kwa kila...
  5. 44mg44

    JamiiForums Tanzania Nitumie mbinu gan ili nisikose chuo kwenye second round?

    Mbinu ipi ya kutumia kufanya application ili npate chuo? Je, kuapply vyuo vingi ni njia moja wapo itakayokufanya upate chuo?
  6. NCCR Mageuzi

    JamiiForums Tanzania NCCR-Mageuzi kuboresha miundo mbinu mshuleni

    Chama cha NCCR-Mageuzi kimeendelea na ziara zake za kampeni kwenye mikoa mbalimbali nchini Tanzania, lengo likiwa ni kuomba kura kwa wananchi ili kuweza kuunda serikali kwa ajili ya kuwatumikia wananchi katika kipindi cha miaka 5 ijayo. Akiwa Wilayani Chemba Mkoani Dodoma, Mgombea Urais wa...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Mbinu za CCM zinazowaacha hoi wapinzani kila uchaguzi ukifika

    Ni wazi kwamba kama hukujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura, hauna sifa ya kushiriki zoezi hilo. Na hapa ndipo CCM wamekua mabingwa wa kuvuna ushindi kwa njia nyepesi Sana. Tofauti na vyama vingine CCM wanawekeza sana kushawishi watu wao kujiandikisha, ambapo wale mabalozi wa Nyumba kumi...
  8. Keynez

    JamiiForums Tanzania CHADEMA inafuata mkondo wa Muslim Brotherhood? Je watarudia makosa yao?

    Kwa watu wanaonijua vyema, nina karama na uwezo wa kusoma siasa za nchi fulani na kutabiri mabadiliko ambayo wengi wanakuwa bado hawajayaona. Haya si majisifu, nasema tu ukweli. Nilifanya hivyo kwa Obama kabla hajawa maarufu sana, nilifanya hivyo kwa Uhuru Kenyatta wakati huo anashika nafasi za...
  9. Kadoda nguku

    JamiiForums Tanzania GE2020 CCM wanahitaji ushindi wa 85%, lakini mbinu wanayofikiria kuitumia ni kupitia mawakala, wakifanikiwa hilo watajipa ushindi wa 92%

    CCM wamekuwa wakijinasibu kwamba watashinda kwa kishindo,lakini mbinu pekee wanayofikiria kuitumia ni hii ya mawakala. Zipo namna mbili za kutumia, mosi ni kuwatimua mawakala wote na vituoni wabaki mawakala wa ccm tu kwa kila kituo, hii mbinu ikifanikiwa matokeo yake hayatakuwa tofauti na yale...
  10. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Njoo utoe mbinu za kumsaidia mtoto awahi kuacha kujisaidia haja kubwa/kujikojolea

    Inasemekana mtoto kumvalisha pampasi muda mwingi ni kufanya zuzu alijitambue mapema hasa katika kitengo cha kujinyea na kujikojolea. Ushauri ufanyeje: 1: Mnunulie vijaptula vingi (wa kiume) akiwa anajikojolea au anajinyea ilekero itamfanya kisaikolojia aanze kujipanga. Ukimsafisha mvalishe...
  11. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Hii ya watu DSM kukaa kimakabila ni uoga wa maisha au ndio mbinu za kulikabili jiji?

    Sijui kama duniani huko nako kuna huu mtindo. Yaani imenichukua muda hadi kugundua asilimia karibu 60 ya majirani zangu ni watu kutoka Sumbawanga. Juzi nimejua tena wanaundugu. Juzi nimepita Mtaa flani karibu na Eneo linaitwa Msingwa. Nashangaa karibu kila mwanamke ni mweupe na kama...
  12. lelulelu

    JamiiForums Tanzania Nafanya kazi hoteli,nataka demu wa kizungu,nitumie mbinu gani ?

    Wakuu mambo vipi inakuwaje? Mimi kwa kweli nimekuwa nikitamani kila siku kupata demu wa kizungu atoke nchi yeyote ile,juhudi zangu zinagonga mwamba kila siku. Nafanya kazi ya kutengeneza vitu vya samani hotelini ambakko wazsungu wako kedekede naonana nao naongea nao kiingereza cha kupapasa,ila...
  13. maji ya gundu

    JamiiForums Tanzania Mbinu ya uhakika ya kuchukulia namba kwa watoto wazuri

    Poleni na majukumu wakuu Leo nimeona nisheenanyi njia za uhakika ambazo ukizitumia inavotakiwa kwako namba za watoto wazuri itakua sio shida Fungua goli(office) la huduma za kifedha yaani namaanisha uwe na tigo pesa,m pesa, Airtel money na hallo pesa, yaani hii ni njia ya uhakika na salama...
  14. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania GE2020 Uongo na Upotoshaji huu wa BBC London kuhusu Tanzania kipindi hiki cha kampeni una maana gani? Sio mbinu za mabeberu? Wapi weledi wa ki-BBC?

    Wanabodi, Kati ya vyombo vyote vya habari duniani, chombo kikuu kabisa cha kuaminika, kwa sisi Anglophone Africa ni our colonial master, The British na shirika lao la habari la kibeberu la BBC London, na kwa Francophone Africa ni France na RFI na F24 TV. Sasa inapotokea chombo kama BBC London...
  15. Elius W Ndabila

    JamiiForums Tanzania GE2020 Uchaguzi Ileje na Songwe tunaanza kushinda kwa mbinu, kabla ya kupiga kura

    ILEJE NA SONGWE TUMESHASHINDA KWA TECHNICALITIES, SASA TUNAENDA MOMBA........ Na Elius Ndabila Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi, macho na masikio ya watanzania wote ni kuelekea OCTOBER 28 ni nani atashinda? Lakini wakati Watanzania wanajiandaa kujua ni nani wataibuka kidedea kwenye uchaguzi...
  16. D

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tathmini yangu kwa wiki mbili za kampeni. CCM anaongoza kwa mbinu na mikakati bora

    Nimefuatilia kwa umakini kuhusu kampeni zinazoendelea hadi sasa. Kimsingi CCM inaongoza kwa mikakati na mbinu bora zaidi kuliko vyama vingine vya Chadema,ACT nk na hivyo kuwa na nafasi nzuri ya kushinda asilimia 80+ Hii ni kutokana na sababu zifuatazo: 1. CCM imeweza kuwatumia makada wake...
  17. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kuhamisha Magoli ndiyo mbinu mpya ya CCM

    Anaandika Lord Denning wa JF, Leo nimecheka sana! Kuna clip watu wa CCM wameitengeneza na wanaisambaza ikimuonesha Tundu Lissu akiwa kwenye kampeni akiongelea suala la Bunge na wabunge hawajui bei wala mikataba ya ndege! Kwenye clip hii wana CCM wameunganisha na scene ya Halima Mdee akijadili...
  18. Doctor Mama Amon

    JamiiForums Tanzania Asemavyo Andreas Schedler kuhusu Mbinu za kuchakachua mchakato wa Uchaguzi

    Andreas Schedler ni mwandishi wa kitabu kinachojadili mbinu mbalimbali za kuchakachua chaguzi za kidemokrasia. Kitabu hicho kinaitwa "The Politics of Uncertainty: Sustaining and Subverting Electoral Authoritarianism." Tafsiri yangu ya jina hili ni “Siasa za Hofu: Kupanda na Kushuka kwa...
  19. T

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tundu Lissu na timu nzima ya CHADEMA, kura nyingi sana ziko kwa akina mama na wanawake, nendeni na kauli mbiu hii "Mama Mwokoe Mwanao"

    Wapwa, Ni ukweli usiopingika kuwa wanawake wamekuwa ndio kimbilio la CCM kujichotea kura lukuki tangu kupatikana kwa uhuru. Wenzenu wanatumia wasanii kushawishi wakina mama kupigia kura chama chao, hii tumeiona tangu 2015 kwenye kampeni zao kama 'MAMA ONGEA NA MWANAO' ambayo bila shaka...
  20. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Baada ya Vyombo vya Habari kuminywa kutoa habari za CHADEMA, wagombea Ubunge wabuni mbinu mpya ili kuwafikia wapiga kura

    Huyu ni Mgombea Ubunge wa jimbo la Makambako kwa tiketi ya CHADEMA akitumia njia mpya ya kujitangaza . Mytake : Tunaomba radhi kwa usumbufu wa nyuzi zetu nyingi za kampeni , hii ni kwa vile muda wa kampeni ni mfupi na tunazihitaji sana kura zenu
Back
Top Bottom