Mbinu Binafsi dhidi ya Corona

Mlenge

R I P
Oct 31, 2006
2,125
2,291
Mbinu Binafsi Dhidi ya Korona

NARUKA!: Haya ni maoni binafsi. Mimi si daktari tabibu wa binadamu (MD). Ukiyafuata yaliyoandikwa humu ni kwa hasara na hatari yako mwenyewe. Yaliyoandikwa humu siyo ushauri wa afya. Pata huduma kwa watoa huduma za afya wanaotambulika na mamlaka husika kwa masuala yako yote yahusianayo na afya. Umetahadharishwa!


Binafsi hizi ni baadhi ya mbinu ninazozitumia dhidi ya korona. Mbinu hizo, kwa urahisi wa mjadala, zinagawiwa katika mafungu yafuatayo:

A. Kabla ya maambukizi
B. Pale inaposemekana korona ipo mitaani.
C: Wakati wa maambukizi, lakini dalili za kawaida.
D. Hali yenye changamoto ya kupumua.


A: Kabla ya Maambukizi
Awali ni kupunguza hofu. Katika watu kila watu elfu moja (1,000) wanaoambukizwa korona, mia tisa tisini na tisa (999) hatimaye hupona. Kwa bahati mbaya, mmoja hufariki. Kwenye vyombo vya habari utasikia kuhusu yule mmoja. Wale 999 hawasikiwi. Uwezekano wa kuwa ndiye yule mmoja ni 1/1000, au 0.1%. Uwezekano wa kuwa ni yule mmoja kati ya wale 999 ni 99.9%. Kwa hiyo korona siyo ugonjwa mkali kama unavyopigiwa kelele. Tahadhari ni muhimu. Hatutaki tupoteze maisha ya mtu hata mmoja. Lakini ukiangalia namba, utakuta maleria ni hatari kuliko korona. Kwa mahesabu yangu yasiyo rasmi, maleria inaua 0.31% ya wanaougua maleria Tanzania. Yaani, maleria inaua mara 3.1 (310%) zaidi ya korona. Kama ni kuogopa, basi ni kuogopa korona kwa theluthi ya kuogopa maleria.

Pili ni kupata lishe na kuzingatia masharti ya afya ya kawaida. Kwenye hili pana njia mbili -- ya asili na ya nyongeza.

(i) Njia ya asili ni ya kutumia mbogamboga za majani, hasa zikichakatwa mbichi kwenye "blender" na kunywewa kama sharubati. Mbogamboga hizo zinaweza kuwa ni mchicha, matembele, majani ya maboga, mnanaa, mnafu, majani ya kunde, uyoga, figili, tango, mchunga, bilinganya, ndimu au chungwa, parachichi, binzari/manjano, ubuyu, tangawizi, kitunguu saumu, kitunguu maji, karafuu, majani ya maboga, soya na asali. Siyo lazima vipatikane vyote hivyo, lakini ukipata vyovyote vichache, mfano: mchicha na matembele, mchunga, binzari/manjano, ubuyu, kitunguu maji na asali unaweza kuwa ni mchanganyiko murua kabisa kuimarisha kinga ya mwili. Pia kula matunda mbalimbali na kuzingatia lishe.

(ii) Njia ya viinilishe vya nyongeza ("supplements"). Hizi ni
Vitamin D, hasa zile 'capsule' zenye IU 5,000;
Zinki ("chelated zinc" au hata PediZinc);
multivitamin kama vile Vitacap au Ginsomin;
Melatonin (ikipatikana) na Quercetin (ikipatikana).
Hizi zote ni kubusti mwili uwe na kinga ya kutosha. Muhimu kuliko zote hapo ni Vitamin D na multivitamin kama vile Vitacap ambayo ina zinki ya kutosha pia.
Edit: Vitamin D za IU 5,000 kama zimeadimika au bei siyo rafiki, mafuta ya samaki (baadhi tunayakumbuka utotoni tulilazimishwa kuyanywa) yanaweza kuwa mbadala.
Habat soda (kalonji) pamoja na asali (angalia Edit 2 hapo chini)

B: Pale inaposemekana korona ipo mitaani
Unywaji wa vidonge vya zinki, kwinini, ivermectin, vitamin D na Multivitamin mpaka upepo utakapopita.
Edit: Kama ivermectin imeadimika, dawa ya minyoo mebendazole.

C: Wakati wa Maambukizi
Wakati wowote nikijihisi niko kwenye hatari ya kuwa nimeshaambukizwa, basi huchukua hatua zifuatazo, zikiwa ni nyongeza ya zile za kabla ya maambukizi:

(i) Dawa ya maleria, hasa kidonge cha kwinini au chochote kingine chenye jina *quine au artemisin. Lengo ni kuvizuia virusi vyovyote mwilini kujiambatisha kwenye seli za mwili, kuvivuruga virusi vyenyewe moja kwa moja, na pia kufungulia njia zinki ivifuate virusi ndani ya seli ikiwa vipo vilivyofanikiwa kupita.

(ii) Zinki - kwa ajili ya kwenda kuvizuia virusi vilivyofanikiwa kuingia kwenye seli kufanya uharibifu zaidi.

(iii) Antibiotic - Azithromycin au Powersafe IV kupitia watoa huduma za afya. Hii ni kupambana na virusi pamoja na vijidudu nyemelezi.

(iv) Ivermectin - Hii ni dawa ya magonjwa anuai, nayo imetajwa kuwa ni msaada mkubwa kukinga NA kutibu hatua zote za ugonjwa wa korona. Kadiri inavyowezekana, ivermectin si ya kuikosa.
Edit:
Angalia: video za kuhusu ivermectin
Video 1: Ivermectin dunia ya tatu
Video 2: Ivermectin inajadiliwa
Video 3: Madaktari wanaizungumzia
Video 4: Maelezo ya utendaji wa ivermectin

(v) Fluvoxamine au SSRI nyingine itakayopatikana.

D: Wakati wa Changamoto ya Kupumua

Ikifikia hatua hii, hapo ni hatua kwa kimombo wanaita Hail-Mary -- silaha zote zilizopo zitatumika, kwani hapo ni kupambania uhai; na madhara yanayoweza kutokea ni hatari ndogo kuliko kifo kwa changamoto ya kupumua.
(i) High dose of Vitamin D IU 50,000; and High dose of Vitamin C , Intravenous; and Vitamin B (Thiamine).
(ii) Ivermectin;
(iii) Finasteride / Dutasteride au Anti-Androgen yoyote itakayopatikana.
(iv) dexamethasone au hydrocortisone au prednisone; au corticosteroids zozote zingine zitakazopatikana.
(v) Heparin au anticoagulant ingine.
(vi) Atorvastatin au Statins nyingine.


Zitakazopatikana, hata kama ni zote, huku muingiliano wa dawa mbalimbali ukizingatiwa.

Edit 1: Protokali za kutibu korona za China, Marekani na India, zimeongezwa kama viambatisho.

EDIT 2:

Hivi karibuni Nimeambiwa tiba ya korona kwa mmea ambao sikuwa nimewahi kuusikia.

Nigella sativa ndio jina la kisayansi.

Black seeds au Black cumin ndio jina la kiingereza.

Kule Asia mmea huu huitwa Kalonji.

Unajulikana pia kama Habbat sauda, habbat soda au habati soda 😁.

MATUMIZI
1. Mbegu zake zikisagwa au mafuta ya Habati soda.
2. Asali
3. Tangawizi

Kwenye namba tatu hapo nadhani karafuu inaweza pia kuwapo lakini aliyeniambia kuhusu hiyo alitaja tangawizi.

Inaleta relief kubwa sana na ya haraka kwa mgonjwa. Ndivyo alivyoniambia.

Linki zifuatazo ni baadhi ya machapisho yanayounga mkono hoja hii:



This video summarises benefits of using Habbat sauda to fight against coronavirus; and the science behind.


Habat soda na asali zikifanyiwa Clinical Trials.


Preprint ya makala ya Habat soda na korona.


Ripoti kuhusu Habat soda na korona.

Edit 3: June 24 2021
Updated the iMASK and MATH+ protocols.
 

Attachments

  • China_protocol_V7.pdf
    630.7 KB · Views: 10
  • india_UpdatedClinicalManagementProtocolforCOVID19dated03072020.pdf
    1.2 MB · Views: 13
  • FLCCC-Alliance-I-MASKplus-Protocol-ENGLISH.pdf
    285 KB · Views: 8
  • FLCCC-Alliance-MATHplus-Protocol-ENGLISH.pdf
    279.1 KB · Views: 8
Mfano mimi ndio nina corona naomba niandikie dozi kamili hapa maana umetaja madawa mengi.
 
Mie nadhani corona malizana nayo pale para #1 ulipozungumzia hofu, ishi normal tu yakija mafua ona ni kipindi cha kawaida tu ila muhimu kuimarisha na kuzingatia ulaji wa ulivyovitaja hapo juu.

Mimi kila siku jioni nakunywa mchanganyiko wa tangawizi kali,limao, kitunguu thwaumu na asali hapo nyuma kama wiki mbili au tatu nilipata mtihani wa mafua na homa kali sikwenda popote nilizidisha kunywa asubuhi na jioni hadi nikakaa sawa kasoro sauti ndiyo mpaka sasa haijarudi vizuri so ni kusema kweli maradhi yapo ila mtu ishi kama hakuna chochote hii itakusaidia na ndivyo ninavyoishi mimi.
 
In English...

Personal Strategies Against Coronavirus

DISCLAIMER!: These are personal opinions. I am not a medical doctor. If you follow through what have been written here it is at your own risk and peril. What is written here is not medical advice. Get medical services from medical providers approved by the relevant authorities for all your issues related to health. You have been warned!

Personally these are some of the tactics I am using against coronavirus. The tactics, for the ease of discussion, are arranged in the following groups:

A. Before infection
B. When it is said that there are local infections
C: When infected, but showing normal symptoms
D. When faced with difficulties in breathing


A: Before infection
First of all, fear not. Out of a thousand people (1,000) infected with coronavirus, nine hundreds and ninety nine (999) eventually recover. Unfortunately, one person dies. In the news media, you will hear about that one. You never hear about the remaining 999. The probability of being in the group of 999 is 99.9%. The probability of being the one person who dies it is 1/1,000 or 0.1%. Therefore, coronavirus are not as deadly as the noise we hear might suggest. It is important to take precautions. We don't want to lose the life of even one person. But if you look at numbers, you will find that malaria is deadlier than coronavirus. My back of envelope calculations, malaria kills 0.31% of those infected with malaria in Tanzania. That is, malaria kills 3.1 times (310%) than coronavirus. If we were to be scared, then we can fear coronavirus at one-third the level we fear malaria.

Secondly, to get good nutrition and to observe the routine health recommendations. For this there are two ways -- natural and supplemental.


(i) Natural way is to use leafy vegetables, particularly blended raw and drinking them as juice. Vegetables can be amaranth, leaves of potato plant, leaves of pumpkin plant, peppermint, black nightshade, mushroom, leaves of peas (Cajanus cajan) plant, celery, cucumber, bitter lettuce, eggplant, lemon or orange, avocado, tumeric, fruit pulp of baobab, ginger, garlic, onion, cloves, soy and honey. It is not necessary to have all of them, but it is fine if you get a few of them, like: amaranth and leaves of potato plant, bitter lettuce, tumeric, fruit pulp of baobab, onion and honey can be a fantastic mixture for strengthening body immunity. Likewise, eating various fruits and sticking to good nutrition practices.

(ii) Supplements. Vitamin D, particularly IU 5,000 capsules; Zinc (chelated zinc or zinc sulphate); multivitamins such as Vitacap or Ginsomin; Melatonin (if available) and quercetin (if available). All these are for boosting the body's immunity to satisfactory levels. The most important of these are the Vitamin D and multivitamin like Vitacap that also contain enough zinc.

B: When it is said that there are local infections
Taking zinc, quinine, ivermectin, vitamin D and multivitamin tablets until the wave passes.

C: When Infected
Anytime I feel I am in danger of being infected, I take the following actions, being in addition to the actions usually taken before infection:

(i) Malaria drugs, particularly a quinine tablet or any other tablet whose name contains *quine or artemisin. The aim is to block viruses in the body from attaching themselves to the body cells, to directly put the viruses in disarray, and to open up the cell-membranes for zinc to enter into the cells and deal with any virus that has managed to enter.

(ii) Zinc - for the purpose of stopping the viruses that have managed to enter into the cells from doing further damage.

(iii) Antibiotics - Azithromycin tablets or Powersafe (intravenous) through healthcare providers. This is for fighting against both the viruses and opportunistic microbes.

(iv) Ivermectin - Nobel-Prize Award-winning drug for various illnesses, have been mentioned as of help to someone suffering from coronavirus infection.

D. When faced with difficulties in breathing

If ever at this stage, then it is time for Hail-Mary actions -- all the means available will be deployed, for at that moment it is a matter of life and death; and potential harm from the means is smaller compared to the risk of death by suffocating.

(i) High dose of Vitamin D (50,000 IU); or High dose of intravenous Vitamin C ;
(ii) Ivermectin;
(iii) tocilizumab;
(iv) dexamethasone au hydrocortisone;
(v) Aspirin;
(vi) Quinine (intravenous);
(vii) Colchicine.

Whichever will be available will be used, even when it means it is all of them.

EDIT 1 (June 28 2021): The Swahili Version is the more up to date.
 
Hivi karibuni Nimeambiwa tiba ya korona kwa mmea ambao sikuwa nimewahi kuusikia.

Nigella sativa ndio jina la kisayansi.

Black seeds au Black cumin ndio jina la kiingereza.

Kule Asia mmea huu huitwa Kalonji.

Unajulikana pia kama Habbat sauda, habbat soda au habati soda 😁.

MATUMIZI
1. Mbegu zake zikisagwa au mafuta ya Habati soda.
2. Asali
3. Tangawizi

Kwenye namba tatu hapo nadhani karafuu inaweza pia kuwapo lakini aliyeniambia kuhusu hiyo alitaja tangawizi.

Inaleta relief kubwa sana na ya haraka kwa mgonjwa. Ndivyo alivyoniambia.

Linki zifuatazo ni baadhi ya machapisho yanayounga mkono hoja hii:



This video summarises benefits of using Habbat sauda to fight against coronavirus; and the science behind.


Habat soda na asali zikifanyiwa Clinical Trials.


Preprint ya makala ya Habat soda na korona.



Ripoti kuhusu Habat soda na korona.
 
Mbinu Binafsi Dhidi ya Korona

NARUKA!: Haya ni maoni binafsi. Mimi si daktari tabibu wa binadamu (MD). Ukiyafuata yaliyoandikwa humu ni kwa hasara na hatari yako mwenyewe. Yaliyoandikwa humu siyo ushauri wa afya. Pata huduma kwa watoa huduma za afya wanaotambulika na mamlaka husika kwa masuala yako yote yahusianayo na afya. Umetahadharishwa!


Binafsi hizi ni baadhi ya mbinu ninazozitumia dhidi ya korona. Mbinu hizo, kwa urahisi wa mjadala, zinagawiwa katika mafungu yafuatayo:

A. Kabla ya maambukizi
B. Pale inaposemekana korona ipo mitaani.
C: Wakati wa maambukizi, lakini dalili za kawaida.
D. Hali yenye changamoto ya kupumua.


A: Kabla ya Maambukizi
Awali ni kupunguza hofu. Katika watu kila watu elfu moja (1,000) wanaoambukizwa korona, mia tisa tisini na tisa (999) hatimaye hupona. Kwa bahati mbaya, mmoja hufariki. Kwenye vyombo vya habari utasikia kuhusu yule mmoja. Wale 999 hawasikiwi. Uwezekano wa kuwa ndiye yule mmoja ni 1/1000, au 0.1%. Uwezekano wa kuwa ni yule mmoja kati ya wale 999 ni 99.9%. Kwa hiyo korona siyo ugonjwa mkali kama unavyopigiwa kelele. Tahadhari ni muhimu. Hatutaki tupoteze maisha ya mtu hata mmoja. Lakini ukiangalia namba, utakuta maleria ni hatari kuliko korona. Kwa mahesabu yangu yasiyo rasmi, maleria inaua 0.31% ya wanaougua maleria Tanzania. Yaani, maleria inaua mara 3.1 (310%) zaidi ya korona. Kama ni kuogopa, basi ni kuogopa korona kwa theluthi ya kuogopa maleria.

Pili ni kupata lishe na kuzingatia masharti ya afya ya kawaida. Kwenye hili pana njia mbili -- ya asili na ya nyongeza.

(i) Njia ya asili ni ya kutumia mbogamboga za majani, hasa zikichakatwa mbichi kwenye "blender" na kunywewa kama sharubati. Mbogamboga hizo zinaweza kuwa ni mchicha, matembele, majani ya maboga, mnanaa, mnafu, majani ya kunde, uyoga, figili, tango, mchunga, bilinganya, ndimu au chungwa, parachichi, binzari/manjano, ubuyu, tangawizi, kitunguu saumu, kitunguu maji, karafuu, majani ya maboga, soya na asali. Siyo lazima vipatikane vyote hivyo, lakini ukipata vyovyote vichache, mfano: mchicha na matembele, mchunga, binzari/manjano, ubuyu, kitunguu maji na asali unaweza kuwa ni mchanganyiko murua kabisa kuimarisha kinga ya mwili. Pia kula matunda mbalimbali na kuzingatia lishe.

(ii) Njia ya viinilishe vya nyongeza ("supplements"). Hizi ni
Vitamin D, hasa zile 'capsule' zenye IU 5,000;
Zinki ("chelated zinc" au hata PediZinc);
multivitamin kama vile Vitacap au Ginsomin;
Melatonin (ikipatikana) na Quercetin (ikipatikana).
Hizi zote ni kubusti mwili uwe na kinga ya kutosha. Muhimu kuliko zote hapo ni Vitamin D na multivitamin kama vile Vitacap ambayo ina zinki ya kutosha pia. Edit: Vitamin D za IU 5,000 kama zimeadimika au bei siyo rafiki, mafuta ya samaki (baadhi tunayakumbuka utotoni tulilazimishwa kuyanywa) yanaweza kuwa mbadala.
Habat soda (kalonji) pamoja na asali (angalia Edit 2 hapo chini)

B: Pale inaposemekana korona ipo mitaani
Unywaji wa vidonge vya zinki, kwinini, ivermectin, vitamin D na Multivitamin mpaka upepo utakapopita. Edit: Kama ivermectin imeadimika, dawa ya minyoo mebendazole.

C: Wakati wa Maambukizi
Wakati wowote nikijihisi niko kwenye hatari ya kuwa nimeambukizwa, basi huchukua hatua zifuatazo, zikiwa ni nyongeza ya zile za kabla ya maambukizi:

(i) Dawa ya maleria, hasa kidonge cha kwinini au chochote kingine chenye jina *quine au artemisin. Lengo ni kuvizuia virusi vyovyote mwilini kujiambatisha kwenye seli za mwili, kuvivuruga virusi vyenyewe moja kwa moja, na pia kufungulia njia zinki ivifuate virusi ndani ya seli ikiwa vipo vilivyofanikiwa kupita.

(ii) Zinki - kwa ajili ya kwenda kuvizuia virusi vilivyofanikiwa kuingia kwenye seli kufanya uharibifu zaidi.

(iii) Antibiotic - Azithromycin au Powersafe IV kupitia watoa huduma za afya. Hii ni kupambana na virusi pamoja na vijidudu nyemelezi.

(iv) Ivermectin - Hii ni dawa ya magonjwa anuai, nayo imetajwa kuwa ni msaada kukinga NA kutibu hatua zote za ugonjwa wa korona. Kadiri inavyowezekana, ivermectin si ya kuikosa. Edit: Angalia: video kuhusu ivermectin

Video 1: Ivermectin dunia ya tatu

Video 2: Ivermectin inajadiliwa

Video 3: Madaktari wanaizungumzia

Video 4: Maelezo ya utendaji wa ivermectin

D: Wakati wa Changamoto ya Kupumua

Ikifikia hatua hii, hapo ni hatua kwa kimombo wanaita Hail-Mary -- silaha zote zilizopo zitatumika, kwani hapo ni kupambania uhai; na madhara yanayoweza kutokea ni hatari ndogo kuliko kifo kwa changamoto ya kupumua.
(i) High dose of Vitamin D IU 50,000; or High dose of Vitamin C, Intravenous;
(ii) Ivermectin;
(iii) tocilizumab
(iv) dexamethasone au hydrocortisone au prednisone; au corticosteroids zozote zingine zitakazopatikana
(v) Aspirin;
(vi) Quinine , intravenous
(vii) Colchicine;

Zitakazopatikana, hata kama ni zote, huku muingiliano wa dawa mbalimbali ukizingatiwa.

Edit 1: Protokali za kutibu korona za China, Marekani na India, zimeongezwa kama viambatisho.

IN ENGLISH:


EDIT 2:

Hivi karibuni Nimeambiwa tiba ya korona kwa mmea ambao sikuwa nimewahi kuusikia.

Nigella sativa ndio jina la kisayansi.

Black seeds au Black cumin ndio jina la kiingereza.

Kule Asia mmea huu huitwa Kalonji.

Unajulikana pia kama Habbat sauda, habbat soda au habati soda 😁.

MATUMIZI
1. Mbegu zake zikisagwa au mafuta ya Habati soda.
2. Asali
3. Tangawizi

Kwenye namba tatu hapo nadhani karafuu inaweza pia kuwapo lakini aliyeniambia kuhusu hiyo alitaja tangawizi.

Inaleta relief kubwa sana na ya haraka kwa mgonjwa. Ndivyo alivyoniambia.

Linki zifuatazo ni baadhi ya machapisho yanayounga mkono hoja hii:



This video summarises benefits of using Habbat sauda to fight against coronavirus; and the science behind.


Habat soda na asali zikifanyiwa Clinical Trials.


Preprint ya makala ya Habat soda na korona.



Ripoti kuhusu Habat soda na
Mbinu Binafsi Dhidi ya Korona

NARUKA!: Haya ni maoni binafsi. Mimi si daktari tabibu wa binadamu (MD). Ukiyafuata yaliyoandikwa humu ni kwa hasara na hatari yako mwenyewe. Yaliyoandikwa humu siyo ushauri wa afya. Pata huduma kwa watoa huduma za afya wanaotambulika na mamlaka husika kwa masuala yako yote yahusianayo na afya. Umetahadharishwa!


Binafsi hizi ni baadhi ya mbinu ninazozitumia dhidi ya korona. Mbinu hizo, kwa urahisi wa mjadala, zinagawiwa katika mafungu yafuatayo:

A. Kabla ya maambukizi
B. Pale inaposemekana korona ipo mitaani.
C: Wakati wa maambukizi, lakini dalili za kawaida.
D. Hali yenye changamoto ya kupumua.


A: Kabla ya Maambukizi
Awali ni kupunguza hofu. Katika watu kila watu elfu moja (1,000) wanaoambukizwa korona, mia tisa tisini na tisa (999) hatimaye hupona. Kwa bahati mbaya, mmoja hufariki. Kwenye vyombo vya habari utasikia kuhusu yule mmoja. Wale 999 hawasikiwi. Uwezekano wa kuwa ndiye yule mmoja ni 1/1000, au 0.1%. Uwezekano wa kuwa ni yule mmoja kati ya wale 999 ni 99.9%. Kwa hiyo korona siyo ugonjwa mkali kama unavyopigiwa kelele. Tahadhari ni muhimu. Hatutaki tupoteze maisha ya mtu hata mmoja. Lakini ukiangalia namba, utakuta maleria ni hatari kuliko korona. Kwa mahesabu yangu yasiyo rasmi, maleria inaua 0.31% ya wanaougua maleria Tanzania. Yaani, maleria inaua mara 3.1 (310%) zaidi ya korona. Kama ni kuogopa, basi ni kuogopa korona kwa theluthi ya kuogopa maleria.

Pili ni kupata lishe na kuzingatia masharti ya afya ya kawaida. Kwenye hili pana njia mbili -- ya asili na ya nyongeza.

(i) Njia ya asili ni ya kutumia mbogamboga za majani, hasa zikichakatwa mbichi kwenye "blender" na kunywewa kama sharubati. Mbogamboga hizo zinaweza kuwa ni mchicha, matembele, majani ya maboga, mnanaa, mnafu, majani ya kunde, uyoga, figili, tango, mchunga, bilinganya, ndimu au chungwa, parachichi, binzari/manjano, ubuyu, tangawizi, kitunguu saumu, kitunguu maji, karafuu, majani ya maboga, soya na asali. Siyo lazima vipatikane vyote hivyo, lakini ukipata vyovyote vichache, mfano: mchicha na matembele, mchunga, binzari/manjano, ubuyu, kitunguu maji na asali unaweza kuwa ni mchanganyiko murua kabisa kuimarisha kinga ya mwili. Pia kula matunda mbalimbali na kuzingatia lishe.

(ii) Njia ya viinilishe vya nyongeza ("supplements"). Hizi ni
Vitamin D, hasa zile 'capsule' zenye IU 5,000;
Zinki ("chelated zinc" au hata PediZinc);
multivitamin kama vile Vitacap au Ginsomin;
Melatonin (ikipatikana) na Quercetin (ikipatikana).
Hizi zote ni kubusti mwili uwe na kinga ya kutosha. Muhimu kuliko zote hapo ni Vitamin D na multivitamin kama vile Vitacap ambayo ina zinki ya kutosha pia. Edit: Vitamin D za IU 5,000 kama zimeadimika au bei siyo rafiki, mafuta ya samaki (baadhi tunayakumbuka utotoni tulilazimishwa kuyanywa) yanaweza kuwa mbadala.
Habat soda (kalonji) pamoja na asali (angalia Edit 2 hapo chini)

B: Pale inaposemekana korona ipo mitaani
Unywaji wa vidonge vya zinki, kwinini, ivermectin, vitamin D na Multivitamin mpaka upepo utakapopita. Edit: Kama ivermectin imeadimika, dawa ya minyoo mebendazole.

C: Wakati wa Maambukizi
Wakati wowote nikijihisi niko kwenye hatari ya kuwa nimeambukizwa, basi huchukua hatua zifuatazo, zikiwa ni nyongeza ya zile za kabla ya maambukizi:

(i) Dawa ya maleria, hasa kidonge cha kwinini au chochote kingine chenye jina *quine au artemisin. Lengo ni kuvizuia virusi vyovyote mwilini kujiambatisha kwenye seli za mwili, kuvivuruga virusi vyenyewe moja kwa moja, na pia kufungulia njia zinki ivifuate virusi ndani ya seli ikiwa vipo vilivyofanikiwa kupita.

(ii) Zinki - kwa ajili ya kwenda kuvizuia virusi vilivyofanikiwa kuingia kwenye seli kufanya uharibifu zaidi.

(iii) Antibiotic - Azithromycin au Powersafe IV kupitia watoa huduma za afya. Hii ni kupambana na virusi pamoja na vijidudu nyemelezi.

(iv) Ivermectin - Hii ni dawa ya magonjwa anuai, nayo imetajwa kuwa ni msaada kukinga NA kutibu hatua zote za ugonjwa wa korona. Kadiri inavyowezekana, ivermectin si ya kuikosa. Edit: Angalia: video kuhusu ivermectin

Video 1: Ivermectin dunia ya tatu

Video 2: Ivermectin inajadiliwa

Video 3: Madaktari wanaizungumzia

Video 4: Maelezo ya utendaji wa ivermectin

D: Wakati wa Changamoto ya Kupumua

Ikifikia hatua hii, hapo ni hatua kwa kimombo wanaita Hail-Mary -- silaha zote zilizopo zitatumika, kwani hapo ni kupambania uhai; na madhara yanayoweza kutokea ni hatari ndogo kuliko kifo kwa changamoto ya kupumua.
(i) High dose of Vitamin D IU 50,000; or High dose of Vitamin C, Intravenous;
(ii) Ivermectin;
(iii) tocilizumab
(iv) dexamethasone au hydrocortisone au prednisone; au corticosteroids zozote zingine zitakazopatikana
(v) Aspirin;
(vi) Quinine , intravenous
(vii) Colchicine;

Zitakazopatikana, hata kama ni zote, huku muingiliano wa dawa mbalimbali ukizingatiwa.

Edit 1: Protokali za kutibu korona za China, Marekani na India, zimeongezwa kama viambatisho.

IN ENGLISH:


EDIT 2:

Hivi karibuni Nimeambiwa tiba ya korona kwa mmea ambao sikuwa nimewahi kuusikia.

Nigella sativa ndio jina la kisayansi.

Black seeds au Black cumin ndio jina la kiingereza.

Kule Asia mmea huu huitwa Kalonji.

Unajulikana pia kama Habbat sauda, habbat soda au habati soda 😁.

MATUMIZI
1. Mbegu zake zikisagwa au mafuta ya Habati soda.
2. Asali
3. Tangawizi

Kwenye namba tatu hapo nadhani karafuu inaweza pia kuwapo lakini aliyeniambia kuhusu hiyo alitaja tangawizi.

Inaleta relief kubwa sana na ya haraka kwa mgonjwa. Ndivyo alivyoniambia.

Linki zifuatazo ni baadhi ya machapisho yanayounga mkono hoja hii:



This video summarises benefits of using Habbat sauda to fight against coronavirus; and the science behind.


Habat soda na asali zikifanyiwa Clinical Trials.


Preprint ya makala ya Habat soda na korona.



Ripoti kuhusu Habat soda na korona.

shukrani kwa taarifa
 
👉🏽 Epuka misongamano
👉🏽 Vaa Barakoa
👉🏽 Nawa mikono kila mara au tumia sanitizers
1624836718067.jpeg
 
Back
Top Bottom