mbinu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbinu yangu yaelekea kufanikiwa

    Wanajamvi wiki kadhaa zilizopita niliwaelezea mazingira magumu nilioyapata baada ya mzazi mwenzangu kupata mwenza nakuniwekea vizingiti vya mawasiliano akitaka niwasiliane na yeye(mume) kwa ishu zinazohusu mtoto kitu ambacho sikuridhika nacho Nlichokifanya nilimpigia simu mama mtoto...
  2. MIMI BABA YENU

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Spika Ndugai awapa mbinu CHADEMA ili awafukuze akina Halima Mdee

    Spika wa Bunge Job Ndugai, amemuagiza Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika, kuandika barua ambayo ataambatanisha na katiba ya chama chake pamoja muhtasari wa kikao kilichofanya maamuzi ya kuwafukuza uanachama wabunge 19 wa chama hicho. "Aandike barua...
  3. Countrywide

    JamiiForums Tanzania Mbinu za utajiri ni ubahili, bila kuwa bahili sahau utajiri. Faida yake naiona

    ... .
  4. C

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa mbinu za kutumia ili kupata mafao yako haraka baada ya kustaafu

    Habari zenu wakuu? Naomba tusaidiane namna bora ya mtu kupata mafao yake kwa haraka maana kuna mzee wangu amestaafu ualimu tangu January mwaka jana na mpaka leo anafuatulia mafao yake bila mafanikio. Kila akienda mkoani hapo Kibaha anapigwa sound file halijatoka, mara Email haijasomwa yaani...
  5. Msitari wa pambizo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeambiwa ninenepe kidogo ili anikubalie. Naombeni mbinu za kuongeza mwili

    Kaaaaazi kwelikweli, sijui kama waowaji wote walipitia masaibu ninayoyapitia mimi. Back to the topic. Huyu dada nampenda sana na amenisumbua sana maana mwanzoni hata kuongea na mimi alikuwa hataki. Lakini kidogo kidogo nikaanza kuruka kihunzi kimoja baada ya kingine. Vihunzi vilikuwa vingi sana...
  6. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Mbinu ambazo wafanyakazi wanatumia kuibia waajiri wao

    Nchi yetu inasifika kwa kuwa na waajiri wasiowaaminifu. Hili mimi mwenyewe nimejionea. Sasa basi, ili kusaidia kukomesha hili tupeane mbinu ambazo wafanyakazi wanatumia kuibia waajiri wao. Weka kazi yoyote, uhasibu, ualimu, mabaa medi, fundi ujenzi, udereva nk. Wizi sio lazima pesa, weka wezi...
  7. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Serikali imesema kuanzia Julai Mosi itaanza kutoa mafunzo kazini, ikiwamo mbinu za ufundishaji wa somo la Hisabati

    Serikali imesema kuanzia Julai Mosi itaanza kutoa mafunzo kazini, ikiwamo mbinu za ufundishaji wa somo la hesabu. Hatua hiyo ni baada ya Serikali kubaini kuwa kuna walimu hawamudu kufundisha baadhi ya mada katika somo hilo. Pia ili kuboresha ufaulu wa somo hilo watachapa na kusambaza vitabu...
  8. Kifurukutu

    JamiiForums Tanzania Tangu Rais Dkt. Magufuli afariki, hakuna Habari za vifo vya Corona

    Habari JF, Itakumbukwa siku za mwishoni za kuishi za mpendwa wetu, shujaa wa Afrika na mzee wa kuacha alama (legacy) katika kila alilokuwa anafanya hapa nchini watu wengi sana waliibuka kumpinga vikali juu ya uwepo wa second version ya covid 19 hapa nchini na duniani kote Tanzia nyingi...
  9. TEAM 666

    JamiiForums Tanzania Ni zipi mbinu za kudhibiti wizi kwenye duka la jumla?

    Hello JF, Moja kwa moja kwenye bandiko Mimi ni mmoja wa wamiliki wa Duka la Jumla kiukweli hi biashara inalipa sana hasa inalipa faida ya milion 1.5 kwa mwezi kabla ya kutoa malipo ya wafanyakazi na Kodi ya pango nabaki na 600k au 700k Kama faida, kwa Duka moja. Hivyo kutokana na biashara...
  10. Mzanzibari Huru

    JamiiForums Tanzania CAG isiwe na kazi ya kutuletea taarifa ya majizi na pesa waloziiba serikalini ni bora watafute mbinu ya kuzuia wizi, hili pendekezo

    Ndugu wana jamii Wizi serikalini na katika mashirika ya umma ni tatizo sugu. Tatizo hili lipo miaka nenda miaka rudi. Tatizo hili ni shida sana kulitatuwa kwasabu ni tatizo lililomo kwenye damu ya watendaji. Ikiwa kazi ya CAG ni kutowa ripoti kila mwaka juu ya wizi ulifanyika kila mwaka jana...
  11. Mjina Mrefu

    JamiiForums Tanzania Tujuzane kuhusu biashara ya Stationary, Mbinu, faida na hasara

    Wakuu, Naomba kujuzwa kuhusu mbinu za kufanya biashara ya Stationary...faida zake na hasara. Nahitaji kujua mambo gani yanahitajika kwa beginner wa hii biashara. Asante ni.
  12. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbinu za kutokuchepuka kwa karne ya 21 - 22

    MBINU ZA KUTOKUCHEPUKA KWA KARNE 21 - 22 Kwa Mkono wa, Robert Heriel. Ikiwa wewe ni mvivu soma kwa urefu wa kamba za akili yako. Hakuna mtu mwenye akili timamu, muadilifu na aliyestaarabika anayependa kuchepuka. Ni wazi kuwa kuchepuka ni ishara ya mtu kujidharau, kujidhalilisha, kumuasi Mungu...
  13. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watanzania wameshauriwa kuondoa hicho kituko cha nyungu kilicho Muhimbili na waanze kufuata mbinu za sayansi

    Kuna huyu mbunge wa Tanzania ambaye ni CCM kindakindaki anayeitwa Hamis Kigwangalla, ameshauri waondoe hicho kitu walichoweka kwenye hospitali ya taifa ya Muhimbili na kuanza kukumbatia mifumo na mbinu za kisayansi ili kukabiliana na corona. Inachekesha sana maana hawa waliimba sana mapambio...
  14. karim mtila

    JamiiForums Tanzania Mbinu mpya ya Kujiunga na Bando za Chuo za AIRTEL zenye gharama nafuu

    Hahahah, kama kawaida ya binadamu kila anapopatwa na janga huwa anawaza namna ya kupata unafuu. Katika harakati zangu za kusaka unafuu nikakutana na chimbo la bando za Aitel za chuo zenye gharama nafuu. Maisha kusaidiana ,hapa nawawekea procedures mpya za kujiunga na bando hizo. BOFYA...
  15. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Wizi wa magari umerudi kwa kasi, jua mbinu za wezi wa magari

    Kumekuwa na ongezeko la wimbi la wizi wa magari hasa jijini DAR ES SALAAM. Kwenye groups za WhatsApp hazipiti siku kadhaa linaletwa tangazo kuwa Kuna gari limeibiwa. Magari ambayo yamekuwa yakiibiwa zaidi Ni TOYOTA IST na mengine yenye injini za 1NZ na 2NZ. Hapa ni baadhi ya mbinu zitumiwazo...
  16. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mbinu Kabambe za kuwa Maarufu kwenye karne ya 21 - 22

    MBINU KABAMBE ZA KUWA MAARUFU KWA KARNE 21 - 23 Na, Robert Heriel Leo Taikon sitakuwa na lumbelele nyingi hapa, kwani watu wengi hawapendi Makala ndefu. Nitajitahidi kuandika kwa kifupi sana ili kutowakwaza baadhi ya wasomaji wangu. Umaarufu ni sehemu ya jambo la heshima katika ulimwengu wa...
  17. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Kujenga miundombinu na kuruhusu wamachinga wasibughudhiwe ndio kusema kunafuta madoa ya utawala wa hayati Magufuli?

    Halina ubishi hata kiduchu kwa miaka yote tangu mwaka 1995 hayati JPM amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha barabara za Tanzania zinaunganika. Na kweli sasa hivi nchi imepiga hatua kwa kuwa na miundo mbinu mizuri. Pia alipokuwa rais wa JMT aliwakingia kifua wamachinga wasiwekewe kiwingu na kufanya...
  18. Yudatade Edesi Shayo

    JamiiForums Tanzania Kila kiongozi anadai alikuwa anapigwa simu na Hayati Magufuli; Mbona Kama mbinu ya kumfanya Mama Samia awabakishe

    Kila kiongozi amekuwa akieleza kuwa JPM alikuwa anampigia simu,inawezekana kweli Ila isijekuwa mbinu ya kulinda kitumbua kwenye utawala mpya
  19. Melancholic

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nitumie mbinu gani

    Mwezi mmoja uliopita nliachwa na ex wangu for none reson but wiki iliopita nliamua kumtafuta shost yake kupitia simu ili kumuuliza kisa na mkasa mpaka mimi kuachwa na rafiki yake akasema ajui chochote nkamwambia poa. Ila baada ya pale yule binti amekuwa akiendelea kunitafuta ila kila...
  20. kikoozi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakuu nipeni mbinu kupunguza wivu wa mapenzi

    Jamani wakuu nina mpenzi wangu, nimetoka kumpigia simu muda huu nimekuta inatumika, ninahisi wivu umenijaa sana nikatamani kumuambia alikuwa anaongea na nani ila nikapotezea, hebu naombeni mbinu ya kupunguza wivu nilionao maana nahisi unaweza kuja kuniangamiza wakuu. Ni mpenzi wangu, nipo nae...
Back
Top Bottom