Mbinu chafu za Matajiri wa viwanda wanavyoturudisha kwenye umaskini baada ya kulindwa Na sera za biashara kukosa ushindani

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Wana jf

Wengi mnaweza msilione hili lakini mbinu chafu zinazotumiwa Hawa wafanyabiashara kuhakikisha wanapata faida kubwa huku mdoro wa Kasi ya maendeleo ikikwamishwa makusudi. Umoja wa wafanyabiashara wenye viwanda vinavyozalisha vifaa au vitu vya matumizi ya lazima wamekuwa wakipanga Kwa pamoja kuzalisha bidhaa chache ili kutengeneza mazingira ya kuadimika kusudio vitu viwe Bei juu.

Mfano wazalisha sukari, saruji, gypsam board, nondo wote Lao moja wanapanga idadi ya mahitaji. Viwanda vimewekwa kusaidia maendeleo na uchumi wa ndani lakini viwanda vinaendeshwa kihuni. Vilevile hata tanesco inaendeshwa kihuni aliyetunga neno LUKU alikuwa na mtazamo wa kinyonyaji ukitumia unit nyingi ndio unaongezewa mzigo badala mteja akitumia unit nyingi apate punguzo kwani ndio mdau mkubwa.

Viwanda vingi vimekuwa na malalamiko ya kiuuendeshaji wakituhumu TANESCO kuwalipisha fedha nyingi kiasi kwamba wanashindwa kupata faida hivyo hasara kuigeuzia Kwa walaji wa mwisho ambao ni makabwela.
 
Nafikiri mfano mzuri wa sukari inatakiwa JKT walime mashamba ya miwa na Serikali iwape mkopo wanunue machine za kisasa za kuzalisha sukari nakwambia huu mchezo mchafu wa wafanyabiashara utaisha tu. Kiwanda kiendeshwe kijeshi uzalishaji ucku na mchana hakuna kupumuzisha machine .
 
ivi ile tume sjui ya ushindani kwa hio wamelala fofofo eti?
Baada ya kuweka mpangilio madhubuti wa kukatisua tamaa waagizaji vifaa toka nje Sasa wao wamegeukq kuwa wabunifu Na kutengeneza kukosekanq Kwa bidhaa, mfano wakati wa Dangote cement ilifika elf 9 Kwa sasa elf16. White cement elf 28 national limetoka 18 mpaka 28
 
Nafikiri mfano mzuri wa sukari inatakiwa JKT walime mashamba ya miwa na Serikali iwape mkopo wanunue machine za kisasa za kuzalisha sukari nakwambia huu mchezo mchafu wa wafanyabiashara utaisha tu. Kiwanda kiendeshwe kijeshi uzalishaji ucku na mchana hakuna kupumuzisha machine .
Usipime! Huko ndiko tulikotoka hadi kuna wakati tulipanga foleni kwa kilo moja ya sukari. Labda ulikuwa hujazaliwa. Uchumi pekee unaofaa ni wa kuwashirikisha watu binafsi katika biashara. Njoo Kenya uone maziwa fresh na mgando vinapatikana hadi vijijini. Jaribu kupata maziwa saa 12 jioni hata kwenye miji mikuu ya Tanzania!
 
Usipime! Huko ndiko tulikotoka hadi kuna wakati tulipanga foleni kwa kilo moja ya sukari. Labda ulikuwa hujazaliwa. Uchumi pekee unaofaa ni wa kuwashirikisha watu binafsi katika biashara. Njoo Kenya uone maziwa fresh na mgando vinapatikana hadi vijijini. Jaribu kupata maziwa saa 12 jioni hata kwenye miji mikuu ya Tanzania!
Tukti Kwa sasa wawekezaji wa ndani wanaiweza serikali kuliko imavyofikiria wanaokamatwa Kwa kuficha Mali ili Bei ipande hawafanywi kitu. Hupo ushahidi Kwa waliokamatwa Na Mali ya Mafuta, sukari saruji wameachwa bila tamko, mawaziri wanaishia kutoa toa macho Tu. Kumbuka tangia wamesema shehena za Mafuta ya kupikia yapo mengi mpaka Sasa miezi mitatu hayajashuka, serikali imeweza kwenye Mafuta ya petrol Tu Na nikwasababu Ina maghara ya kuifadhia, kwingine Ina shea, aidha inayatumia Sana kwenye uendeshaji nchi kama nishat muhimu lakini kitu kinachomuhusu mlaji mmoja mmoja wanaelekea kushindwa kudhibit network ya wafanyabiashara wajanja wajanja. Mfumko wa Bei unajengwa Na wafanyabiashara wajanja
 
Mzunguko wa pesa ukipungua uzalishaji lzm upungue,kama watu wameacha kujenga vitu vitadoda madukani
 
Kwa nini sukari Nchi nyingi zinazotuzunguka sio tatizo ni sisi tu tunazidiwa mpaka na mswati kwa uzalishaji kila mwaka hadith hiyo hiyo tuu...
Wao awaisomi namba coz wanachagua viongozi bora.Watu wajinga uchagua viongozi wajinga
 
Wana jf

Wengi mnaweza msilione hili lakini mbinu chafu zinazotumiwa Hawa wafanyabiashara kuhakikisha wanapata faida kubwa huku mdoro wa Kasi ya maendeleo ikikwamishwa makusudi. Umoja wa wafanyabiashara wenye viwanda vinavyozalisha vifaa au vitu vya matumizi ya lazima wamekuwa wakipanga Kwa pamoja kuzalisha bidhaa chache ili kutengeneza mazingira ya kuadimika kusudio vitu viwe Bei juu.

Mfano wazalisha sukari, saruji, gypsam board, nondo wote Lao moja wanapanga idadi ya mahitaji. Viwanda vimewekwa kusaidia maendeleo na uchumi wa ndani lakini viwanda vinaendeshwa kihuni. Vilevile hata tanesco inaendeshwa kihuni aliyetunga neno LUKU alikuwa na mtazamo wa kinyonyaji ukitumia unit nyingi ndio unaongezewa mzigo badala mteja akitumia unit nyingi apate punguzo kwani ndio mdau mkubwa.

Viwanda vingi vimekuwa na malalamiko ya kiuuendeshaji wakituhumu TANESCO kuwalipisha fedha nyingi kiasi kwamba wanashindwa kupata faida hivyo hasara kuigeuzia Kwa walaji wa mwisho ambao ni makabwela.
Uchafu wa hizo mbinu ni nini?Iko hivi.demand ndio kila kitu.Hata wasipokaa pamoja wakapanga.Mtu hawezi kuzalisha mzigo kama hautoki labda kama ni watoto ndiosheria zina badilika ila kwenye biashara nguvu za soko zinaamua.Sera mbovu na gharama kubwa za uzalishaji zinaathiri soko vile vile so ukitaka kujua tatizo ni nini anza na wewe mwenywe je Una uwezo wa kununua saruji kwa bei gani?Je hio bei itamlipa mzalishaji?Kama jibu ni hapana basi wewe sio demand na hawezi kuzalisha kwa sababu yako.Itabidi afunge kiwanda tu.
 
Wao awaisomi namba coz wanachagua viongozi bora.Watu wajinga uchagua viongozi wajinga
Nilishangaa mwaka mmoja walichoma moto sukari iliyozidi muda na sokoni haikwenda karibu laki kadhaa za tani wakati sisi kila mwaka ni hadith tuu za uongo uongo tuu..
 
Kiwanda kiendeshwe kijeshi uzalishaji ucku na mchana hakuna kupumuzisha machine .
Kwakuwa hicho kiwanda kitakuwa kinawaogopa wanajeshi basi hakitaharibika kwa kufanyishwa kazi bila kupumzishwa.
 
Wana jf

Wengi mnaweza msilione hili lakini mbinu chafu zinazotumiwa Hawa wafanyabiashara kuhakikisha wanapata faida kubwa huku mdoro wa Kasi ya maendeleo ikikwamishwa makusudi. Umoja wa wafanyabiashara wenye viwanda vinavyozalisha vifaa au vitu vya matumizi ya lazima wamekuwa wakipanga Kwa pamoja kuzalisha bidhaa chache ili kutengeneza mazingira ya kuadimika kusudio vitu viwe Bei juu.

Mfano wazalisha sukari, saruji, gypsam board, nondo wote Lao moja wanapanga idadi ya mahitaji. Viwanda vimewekwa kusaidia maendeleo na uchumi wa ndani lakini viwanda vinaendeshwa kihuni. Vilevile hata tanesco inaendeshwa kihuni aliyetunga neno LUKU alikuwa na mtazamo wa kinyonyaji ukitumia unit nyingi ndio unaongezewa mzigo badala mteja akitumia unit nyingi apate punguzo kwani ndio mdau mkubwa.

Viwanda vingi vimekuwa na malalamiko ya kiuuendeshaji wakituhumu TANESCO kuwalipisha fedha nyingi kiasi kwamba wanashindwa kupata faida hivyo hasara kuigeuzia Kwa walaji wa mwisho ambao ni makabwela.
Mkuu kwa nini usianzishe viwanda vya kwako vitu vipatikane bwerere!
 
Back
Top Bottom