Hapa sasa Wazungu ni wazi Wameishiwa Mbinu. Tanzania tumewaweza Afrika itakombolewa na Sisi

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,471
23,744
Kwa jinsi ambavyo nmemsikiliza mh rais naona amewakaba vibaya mabeberu.hawa mabeberu wameshindwa kutuua,kutunyong'onyesha kwa njia zote sasa wanataka kutumia barakoa.

TFDA na TBS nadhani watakuwa wamewabana sana hawa waingiza barakoa fake zenye vijidudu,sumu,bakteria,virus,fungae n.k tena unaweza kuta zimewekewa hata HIV Virus ukiacha tu COVID Virus.

Tuzikatae. Nawausia madaktari hata wanapoenda fanyia watu operation wavae barakoa za vitenge na khanga kuonesha uzalendo. Na ziwepo barakoa zenye bendera ya taifa kabisa.

Wajasiliamali huu ni wakati wa kuwa wabunifu. Tengenezeni Barako zilizoandikwa VISITI CHATO-BURIGI NATIONAL PARK, SERENGETI,NGORONGORO,MIKUMI n.k.

Nyingine ziandikwe VISIT TANZANIA. Kuwaumiza zaidi Mabeberu. Mabeberu safari hii tumekamata korodans zao. Watatapa tapa sana hawatupati. Barakoa tumezishtukia.

Tuendeleeni kuvaa Barakoa kujikinga na vumbi,magonjwa ya mafua,kikohozi na pia upepo. Na pia tunawe kuepuka kipindupindu,magonjwa ya kuhara,kuharisha na mengine ya kuambukiza.

Tugomee barakoa zao ambazo sijui zinapoingizwa nchini wanaziingizia wapi. Sisi tukiamka tunazikuta tu madukani. Tuzikwepe hizi. Tutumieni za kwetu. Ili pia kuungishana. Mimi nimemwelewa sana Rais. Ukombozi safari hii tena kwa afrika unaanzia Tanzania. Wakati waafrika wengine wakianza kufa,kukosa nguvu za kiume,kukosa kuzaa,kukosa pesa,kukosa nguvu za kiuchumi sisi tutakuwa tunang'aa tu. Na watakuja kwetu wanawake zao wakitaka tuwazalishe. Watakuja kuomba tukafanye kazi kwao n.k
 
Mabeberu ni kina nani? mbona hamuwi wazi mnajificha ficha kuwa direct ni nchi flan inatupiga vita
Pili virusi vya corona vina kaa mda gan kwenye barakoa mpaka vinasafiri na kufika ni mda gana tuwe waz sina utaalamu huo ila najua wataalam watakuja kutueleza
 
Wangetaka kutuua wangetuua kitambo sana kwa kuwa hata chanjo ulizochomwa utotoni ni zao,acheni kutupotosha kwa kuficha udhaifu wenu.
nashangaa watu kama hawa mawazo sijui wanatoa wapi.
kuanzia mahospitalini, jeshini, bungeni tunatumia vitu vya mabeberu.

unajua hizi ni propaganda za kiongozi aliefeli kuudhibiti huu ugonjwa halaf anasingizia wazungu.
 
Yani umeongea sana point, huyu jpm anapigia debe biashara ya barakoa za msd kwan virus haviwezi kusavaivu zaidi ya masaa kadhaa, sasa tangu barakoa zitoke china mpaka uku ni mjinga tu atakaye amini virusi wanakua bado wako hai. Hoja ya kipumbafu kabisa hii
Mabeberu ni kina nani? mbona hamuwi wazi mnajificha ficha kuwa direct ni nchi flan inatupiga vita
Pili virusi vya corona vina kaa mda gan kwenye barakoa mpaka vinasafiri na kufika ni mda gana tuwe waz sina utaalamu huo ila najua wataalam watakuja kutueleza
 
Ama kweli tupo vizuri mkuu:

IMG_20210218_174254_207.jpg
 
Unamaana wabarakoa za kuzuia mate ndiyo unataka wataalamu wetu wa afya watumie kwenye mawodi yenye wagonjwa wenye ugonjwa huu?

Kweli mmeyachoka maisha ya watu wasiokuwa ninyi.
 
Bloomberg
BBC News,
Time,
Reuters
Mail on line etc. Achila mbali makuwadi wanaotumiwa kwenye nchi jirani.

All about JPM and Tanzania, kulikoni. Kweli wanatupenda hivyo? I doubt.
ni rais wa kipekee kweli, but kumulikwa na hivyo vyombo lazima uwe umefanya something extra ordinary?
inaweza kuwa extra foolish, extra bullshit, extra failure or extra success.

so our beloved president where does he fit?
 
ni rais wa kipekee kweli, but kumulikwa na hivyo vyombo lazima uwe umefanya something extra ordinary?
inaweza kuwa extra foolish, extra bullshit, extra failure or extra success.

so our beloved president where does he fit?
The choice is yours. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hi thread imeandikwa na mshamba,Kama aliyemtuma na awajui wazungu...ndg yangu tuko nyuma miaka 100 na tumekuwa tunadanganyana na viongozi wetu wa Kisiasa maana exposure yao ni finyu.Nimekaa Europe more than 10yrs , in short we're not in a right direction. Thanks.
 
Hi thread imeandikwa na mshamba,Kama aliyemtuma na awajui wazungu...ndg yangu tuko nyuma miaka 100 na tumekuwa tunadanganyana na viongozi wetu wa Kisiasa maana exposure yao ni finyu.Nimekaa Europe more than 10yrs , in short we're not in a right direction. Thanks.
Na waliokaa zaidi ya miaka ishirini wasemaje? Europe kuna nchi nyingi masikini tu, Europe ipi ambayo hata kuisema huwezi!
 
Kwa hiyo kwa akili za Farao wa Tz tunaweza kutoboa mbele ya beberu? Thubutu.
Farao anapaswa kutuambia kwanza, Je Tz kuna Corona au hakuna?
Farao aache blah blah.
 
Mabeberu ni kina nani? mbona hamuwi wazi mnajificha ficha kuwa direct ni nchi flan inatupiga vita
Pili virusi vya corona vina kaa mda gan kwenye barakoa mpaka vinasafiri na kufika ni mda gana tuwe waz sina utaalamu huo ila najua wataalam watakuja kutueleza
Wakilenga kuangamiza wanafanyia maandalizi. Zinatoka. kuwekewa corona na zinaletwa kwa ndege siku hiyo hiyo. Hapo vibaraka washaandaliwa kugawa Kama msaada!!
 
Back
Top Bottom