matokeo

  1. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Serikali inapaswa kujitathmini kwenye matokeo ya Kidato cha Nne ya mwaka 2019 kwa kutafuta sababu chanzi "root cause"

    Mara kadhaa sasa tunashuhudia uradidi wa kutafuta chanzo cha tatizo na kimbilio likiwa kwenye sababu zile zile "Walimu hawafundishi vizuri"na tunashuhudia adhabu zikitolewa ikiwemo ile ya kushushwa vyeo. Ni kama tunaamini ukiumwa kichwa tu ni malaria na inatakiwa kumeza dawa ya kutuliza...
  2. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Taratibu za kupata statement of results ya matokeo ya form four ikoje?

    Matokeo ya form four yametoka utaratibu wa kupata statement of results ukoje
  3. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kutangazwa jijini Dodoma

    Tume huru ya Uchaguzi NEC imesema matokeo ya Uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi october mwaka huu yatatangazwa kutokea jijini Dodoma. Source: Habari Leo Maendeleo hayana vyama!
  4. Miss Zomboko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wazazi wamuua mwalimu kutokana na shule yake kutoa matokeo mabaya

    Washukiwa wawili wamekamatwa baada ya kukashifiwa kwa kumuua mwalimu wa shule ya msingi kaunti ya Kitui Wawili hao wanazuiliwa huku uchunguzi ukifanywa dhidi yao Wambua Mwangangi na Chris Kyalo Muli wanasemekana kumuua mwalimu huyo baada ya shule yake kutoa matokeo mabaya katika mtihani wa...
  5. Greatest Of All Time

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya Kidato cha Nne, cha pili na darasa la nne mwaka 2019 yatangazwa

    Matokeo ya Kidato cha Nne, Kidato cha Pili na Darasa la Nne yametangazwa leo Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) Muda si mrefu yatapandishwa kwenye tovuti ya baraza hilo, hivyo tuendelee kuwa na subira. Nitarejea kuleta updates Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania Dkt Charles...
  6. Abdalah Abdulrahman

    JamiiForums Tanzania Tathmini ya kisayansi juu ya matokeo ya uchaguzi mkuu Novemba 2020

    Sayansi na Teknolojia vikitumika vizuri vina uwezo wa kutoa majibu ya wakati ujao,uliopo na uliopita kwa uhakika wa asilimia 99.9%. Katika andiko langu hili nitatumia taarifa za kisayansi zilizopo kuweza kutoa matokeo ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Novemba 2020. Tathmini hii isitumike...
  7. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mgombea binafsi Namibia awasilisha kesi mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi

    Aliyekuwa mgombea binafsi wa urais wa Namibia Panduleni Itula, amewasilisha pingamizi la kisheria ya kupinga kushindwa kwake katika uchaguzi uliomalizika mwezi uliopita. Itula ameitaka mahakama ya juu ya Namibia kuagiza kurejewa uchaguzi haraka iwezekenavyo, kwa madai kwamba haukuwa huru...
  8. Nanyaro Ephata

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe, Said Issa na Tundu Lissu, washinda kwa kishindo Uchaguzi Mkuu CHADEMA

    Matokeo ya uchaguzi mkuu Chadema yametangazwa ambapo Freeman Mbowe amepata ushindi wa Tsunami. Mbowe ambaye amekiongoza chama hicho kwa miaka kumi na tano sasa alishangiliwa mno na wajumbe wakati matokeo yakitangazwa na msimamizi wa uchaguzi Sylivester Masinde. Mbowe amepata ushindi wa asilimia...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya kuingiliwa siasa zetu na nafasi yetu katika kukemea na kudhibiti, Katibu mkuu wa CCM kafungua njia tuifuate. Case study: uchaguzi S/M

    Zikiwa zimepita takribani siku tano tangu kumalizika kwa amani uchaguzi wa serikali za mitaa na matokeo kutangazwa na washindi kusheherekea ushindi wao, sasa muda wa kuliangalia swala la uchaguzi katika upana ili kuyaziba mdomo mataifa yanayoonesha kupingana na uchaguzi huo. Baada ya matokeo...
  10. Mystery

    JamiiForums Tanzania Haya ndiyo matokeo ya watawala ya kuwapuuza wapinzani

    Tumefika siku ya kile kinachoitwa siku ya uchaguzi wa serikali za mitaa, lakini mimi niiite siku ya UCHAFUZI. Hivi katika mazingira ya kawaida unaposhindana na mshindani wako na akaamua kujitoa kutokana na dhuluma za waziwazi unazomfanyia, hivi wewe unayebaki kwenye ushindani huo, utawezaje...
  11. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya kufuzu AFCON 2021, Misri yalazimishwa sare, Rwanda wafungwa ugenini na Comoro wawatambia Togo ugenini

    Katika mechi za kuwania kufuzu michuno ya AFCON 2021 zilizochezwa usiku huu imeshuhudiwa Misri wakidroo kwa bao 1-1 dhidi ya Kenye ambapo goli la Misri lilifungwa na mchezaji Kahraba dakika ya 42 na mnamo dakika ya 67 mchezaji Olunga alisawazisha na kuufanya mchezo huo kuisha kwa sare ya bao...
  12. idawa

    JamiiForums Tanzania Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

    Waziri wa Nchi ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza kuwaruhusu wagombea wote waliochukuwa fomu na kuzirejesha kwa ajili ya kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika nchini Tanzania Novemba 24, 2019 wanaruhusiwa kushiriki uchaguzi huo...
  13. Ulimbo

    JamiiForums Tanzania Je haya ni matokeo ya Septemba mosi 2019?

    Wanajamvi, Kama tujuavyo, Septemba mosi 2019, mkuu alikutana na na watendaji wa kata zote nchi, je haya yanayotendeka sasa kuhusiana na huu uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika siku za hapa usoni ni moja ya maazimio na maagizo waliyopewa hawa watendaji? Inasikitisha sana mambo...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Kubadilishiwa matokeo ya mtihani - UDSM

    Jana natokea zangu chuo niko kwenye daladala ya Tegeta pembeni kuna mtoto mkali akapigiwa simu kwa maelezo niliyosikia kwa upande mmoja ni kuwa huyu binti alifanya mtihani wa Supplementary matokeo yametoka hakufanya vizuri. Kwahiyo akashauriwa akate rufaa mtihani usahishwe upya baada ya matokeo...
  15. PHILE1879

    JamiiForums Tanzania Kwa matokeo haya ya form 4 huyu kijana anaweza kufiti wapi?

    Kwa matokeo haya ya form 4 huyu bwana mdogo anaweza kufiti wapi?
  16. M

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya usaili wa TAA Internship

    Waliofanya usaili wa mchujo TAA matokeo yametoka
Back
Top Bottom