marekani

  1. L

    Mabadiliko ya Kimya katika Sera ya Marekani kwa Afrika: misaada kama chombo cha kuhudumia mkakati wa taifa

    Katika mwaka mmoja uliopita tangu Donald Trump kurejea Ikulu ya White House, sera ya Marekani kwa Afrika imeanza kubadilika kimya kimya. Barua ya ndani ya mkuu wa Idara inayoshughulikia mambo ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani Nick Checker, iliyovuja hivi karibuni, ilifichua...
  2. R

    Mexico yakabidhi Marekani wafungwa 37 wa uhalifu wa dawa za kulevya kufuatia vitisho vya Trump

    Mexico imemkabidhi Marekani washukiwa wengine 37 wanaodaiwa kuwa wanachama wa makundi ya uhalifu wa madawa y, waziri wa usalama wa nchi hiyo amesema, hatua inayokuja wakati Rais wa Marekani Donald Trump akitoa vitisho vya kufanya mashambulizi ya ardhini dhidi ya magenge ya dawa za kulevya katika...
  3. Miss Natafuta

    TANZIA Mali Kimesera afariki dunia Marekani

    TANZIA- Kwa masikitiko makubwa LINDA WA ATLANTA USA 🇺🇸 anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa MUME wake MALI KIMESERA kilichotokea leo alfajiri NYUMBANI KWAO— inshalah MAZISHI yatafanyika siku ya IJUMAA- ratiba na adress itakuja
  4. Bawabu wa pili

    Marekani: Maafisa wa Federal Agents Wavunja Gari na Kumvuta Mwanamke Mlemavu kwa Nguvu na Kumtia Mbaroni

    Video hii inaonesha maafisa wa shirikisho wa Marekani (federal agents) wakimvuta mwanamke kutoka kwenye gari lake kwa nguvu huko Minneapolis, huku mwanamke huyo akipaza sauti akisema kuwa ni mwenye ulemavu, wakati wakimtia mbaroni. Tukio hilo limetokea umbali wa mabawa machache tu kutoka pale...
  5. Q

    Mkataba wa Serikali na kampuni ya Marekani kumsafisha Samia huu hapa.

    Ingia hapa uuone mkataba wa kuuza nchi https://t.co/V363iF9GHT
  6. 888I

    SERIKALI IMEAJIRI LOBBY GROUP YA MAREKANI KUREKEBISHA PICHA – HUKU SIYO KUIUZA NCHI?

    Hili jambo la FARA hili mmh ni kama Serikali imeamua kununua "kipaza sauti" kule Washington D.C ili sauti yake isikike tofauti na inavyosikika sasa hivi.😂 1. Kwanini Marekani na kwanini Tom Graves? Washington D.C. inatawaliwa na kitu kinaitwa "Lobbying Engine." Siasa za Marekani, hususan chini...
  7. Q

    Mwigulu na Msigwa tunaomba majibu ya Serikali kuhusu tuhuma za kuilipa kampuni ya Marekani mabilioni na madini yetu ili wamsafishe Samia

    Kuna taarifa inasambaa mitandaoni kuwa serikali imeingia mkataba wa siri wa kitapeli kuilipa kampuni ya Marekani ya Ervin Graves Strategy Group LLC. dola million moja $1.08m na kuipa mkataba wa kuchimba madini yetu (rare earth minerals) ili kumsafisha Samia kwa mauaji aliyofanya wakati wa...
  8. Ex Spy

    PostGE2025 Tanzania kutumia takribani Sh. Bilioni 2.7 kukodi Kampuni ya Marekani ili ‘Kurekebisha Taswira ya Nchi’ baada ya Mgogoro wa Uchaguzi

    Januari 16, 2026 WASHINGTON, D.C. — Ikikabiliwa na uangalizi wa kimataifa kufuatia matukio yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa 2025 ulioharibu sifa yake, Serikali ya Rais Samia imezindua operesheni kabambe ya kujenga ushawishi nchini Marekani. Tanzania imekodi kampuni inayoongozwa na Mbunge...
  9. ELI COHEN

    Trump ameahidi kila mwananchi aishie greenland bilioni 2.5 ili wakubali kuachia eneo hilo kuwa chini ya umiliki wa Marekani

    Greenland ina wananchi 57,000.
  10. Richard

    Marekani kusitisha kwa muda usojulikana utoaji wa viza kwa nchi 75 Duniani ikiwamo Tanzania rasmi kuanzia tarehe 21 January

    Kitengo cha serikali ya Marekani maarufu kama "State Department" kimetangaza kusitishwa kwa utoaji wa viza za kuingia nchini Marekani kwa nchi zipatazo 75 nyingi zikiwa ni kutoka barani Afrika Tanzania ikiwemo. Sababu ilotolewa na kitengo hicho imesema raia kutoka katika nchi hizo wafikapo...
  11. I

    Pigo Takatifu kwa Wachina: Kongo Kinshasa Yaanza Kuuza Shaba Marekani

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imekamilisha usafirishaji wake wa kwanza kabisa wa shaba kwenda Marekani kupitia mradi unaoungwa mkono na kampuni ya Mercuria, hatua inayochukuliwa kama mafanikio makubwa katika sekta ya madini na biashara ya nchi hiyo. Usafirishaji huo unaashiria...
  12. Fascinating

    Greenland Yapendekeza Mazungumzo ya Moja kwa Moja na Marekani Bila Denmark

    Hali ya kidiplomasia katika eneo la Arctic imezidi kupamba moto baada ya Greenland kupendekeza kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani kuhusu mustakabali wake. Hatua hii inakuja huku Washington ikiendelea kusisitiza nia yake ya kutaka kuidhibiti ardhi hiyo ambayo kwa sasa iko chini ya...
  13. Mshana Jr

    Upotevu wa watu Marekani

    Watu Laki Sita (600,000/-) hupotea kila Mwaka Nchini Marekani bila kupatikana. Hakuna kengele inayolia, hakuna dunia inayosimama. Wanatoweka kama upepo, wakiacha majina, nyuso, na ndoto zisizo na mahali pa kurudi. Wakati huo huo, kila siku McDonald’s huhudumia watu 96,000. Mamilioni hupita...
  14. gallow bird

    Fitina za marekani zafeli Iran,sasa kuishambulia

    Iran imetangaza kukamata zaidi ya waratibu maandamano miambili wakiwa na shehena kubwa ya silaha,vilipuzi na mabomu ya petrol, wakiwemo watumishi wa MOSSAD, shirika la ujasusi Israel Baada ya kamata kamata hiyo maandamano yamepoteza shinikizo na kupungua tangu alhamisi Leo shirika la habari...
  15. Akilindogosana

    Tume ya uchaguzi wa Tanzania iongozwe na watu wazito toka Marekani na Ulaya tu

    Tume ya uchaguzi wa Tanzania iwe na viongozi wote toka Marekani na Ulaya tu. Wasimamizi wa uchaguzi Kuanzia ngazi ya madiwani, wabunge, kura za Urais viongozi wa kuhesabu kura na kutangaza matokeo rasmi wawe wanatoka Marekani na Ulaya(Uk, Germany). Mkuu wa Tume ya uchaguzi awe mzungu...
  16. R

    Denmark yaagiza wanajeshi wake kushambulia moja kwa moja bila kusubiri amri endapo Greenland itavamiwa na Marekani

    Wizara ya Ulinzi ya Denmark imesema wanajeshi wa nchi hiyo wana wajibu wa kufyatua risasi na kushambulia moja moja, hata bila kupata amri kutakuwa na jaribio lolote la kuivamia Greenland kwa nguvu. Kauli hiyo imetolewa wakati Marekani ikitajwa kufikiria hatua za kijeshi kuiteka au kuiunganisha...
  17. Lord Denning

    Wito wa mwisho kwa Diaspora wetu Marekani. Its now or never, hakikisheni vyovyote vile Arrest Warrant inapatikana

    Tangazo rasmi kutoka Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuhusu Taifa hilo kuzuia visa za kuingia Marekani kwa Watanzania isipokuwa katika hali na mazingira machache wakati Serikali ya Samia imepambana sana kuzuia hili ni kielelezo tosha kuwa Marekani imeamua kujiweka kando na huyu muuaji wa...
  18. Keyboard_Warrior

    Russia waililia na kuipigia magoti Marekani kuwatetea raia wake waliotekwa pamoja na meli

    Kupitia mtandao wa X/Twitter, Russia imewaomba Marekani kuacha ubabe wao wa kukamata meli, pia Russia imewaomba Marekani kuwatendea vyema raia wa Russia waliotekekwa pamoja na meli iliyokuwa ikitokea Venezuela. Hivi Russia ndio watu wa kulia lia hivi mitandaoni!? Putin ampe nchi Medvedev...
  19. upupu255

    Kuanzia Januari 01, 2026 Marekani imesitisha utoaji wa baadhi ya viza kwa raia wa Tanzania

    Kwa mujibu wa Tamko la Rais Na. 10998, kuanzia tarehe 1 Januari 2026, Marekani imesitisha utoaji wa Viza za kutembelea zisizo za uhamiaji zilizo katika Makundi B-1/B-2, Viza za wanafunzi na programu za mabadilishano zilizo katika Makundi F, M, na J, pamoja na Viza zote za uhamiaji, kwa raia wa...
  20. Fbn

    Unavyopenda sifa za show off ili Ommy tutauliza marekani huko maana sio wageni.

    Marekani sio mbinguni.wana JF tunaomba kujua mke wake.
Back
Top Bottom