Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi, amesema Beijing haiwezi kukubali nchi yoyote kujitwalia nafasi ya kuwa “hakimu wa dunia” au “polisi wa dunia,” akitoa kauli hiyo kufuatia kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, na Marekani. Akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan...
Mwanasiasa wa Bunge la Ulaya amehoji uwezekano wa Marekani kumkamata Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro na kumfikisha katika Mahakama , lakini imeshindwa kumkamata na kumuwajibisha Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu anayesimamia vikosi vyake kuishambulia Palestine
Ndege za jeshi la marekani zinaingia kwa wingi uingereza na nchi zingine za ulaya ikiwemo uturuki
Inaongeza wasiwasi kwamba huenda Iran itakumbwa na kile kilichoikumba Venezuela
Iran kwa upande wao wameweka bango lenye picha za majeneza yenye bendera za marekani na Israel yenye ujumbe 'jalini...
Historia ni kama albamu ya zamani; hakuna kitu kipya, ni picha zinazojirudia. Hata kukamatwa kwa Nicolás Maduro na Marekani wala si suala geni kihivyo.
Kurasa zote za habari hivi sasa zinafuatilia kilichotokea Venezuela. Wengi wameliona tukio hili kama la kushangaza baada ya Rais wa Marekani...
The Monroe Doctrine sio dhana ya kipekee tu kwa Taifa la Marekani. Kwa wasiofahamu Monroe Doctrine ni sera inayokataza Mataifa ya kigeni hasa ulaya na kwingineko wasipeleke au kusogelea Nchi zozote zilizoko katika mabara ya America kusini na America kaskazini. Na nchi yoyote itakayojaribu...
Wakuu, tumchongee Samia Suluhu kwa Trump
Baba Donald Trump, Huku Tanzania kuna Mwanamke anaitwa Samia Suluhu Hassan aliikuita who are you.. Mvutie pumzi.. Kwa sasa yupo huko Tunguu Zanzibar. Siku mkimtaka ntatoa Ushirikiano.. Yaani mtamkamata kama kuku wa Kisasa..
Naye anatakiwa apokee unyakuo...
Wamerekani wamekuwa wakionesha Dunia kuwa Hesabu ndio kila kitu Jeshini kwani 100% ya maamuzi yanayofanyika jeshini/vitani ni Hesabu & Physics
Mfano:
1. Kurushusha mabomu ni hesabu kwa huku kwetu ipo kwa kidato cha tano Phy/maths
2. Mambo mengi vitani yanahitaji prediction (probability) ipo...
Namna Marekani alivyocheza karata zake kwa Venezuela ni kama Demu mkali ale vitu vyako alafu kisha hakukatae badae unamuona anajibebisha kwa mwamba mwingine ambaye wewe ni kama mshindani wake wa muda mrefu, unaamua kumteka demu na kuondoka nae kwa nguvu hili awe na wewe kwa lazima.
Hakuna...
Kuna wapuuzi wanadhani hatuna akili kama wao. Tunapolalamikia ukiukwaji wa haki za binadamu, utawala mbovu usiofuata misingi ya sheria, ubadhilifu wa mali za umma, rushwa, utekaji na mauaji ya watanzania wasio na hatia, wanatuambia Marekani na "wazungu" wakishirikiana na baadhi ya watu waliopo...
Makamu wa Rais mstaafu wa Marekani, bibie Kamala Harris amesema Donald Trump ameivamia Venezuela sio kwasababu ya kutokuwa na demokrasi au biashara ya madawa ya kulevya bali ni kuhakikisha wanatwaa mafuta yaliyopo Venezuela.
Maoni hayo yameibua hisia tofauti huko kwenye mtandao wa x zamani...
Rais wa Marekani Donald Trump asema kuwa Venezuela itatawaliwa na Marekani hadi hapo atapopatikana mtu wa kutawala Venezuela.
Asema kuwa makampuni kutoka Marekani yataanza kazi ya kuchimba mafuta na madini nchini Venezuela ili kuwasaidia wananchi wa Venezuela, na kulipa fidia kwa serikali ya...
Baada ya rais wa nchi kubwa sana kukamatwa na marekani kumeshinikiza serikali haramu kumuachia mmarekani aliyeshikiriwa kinyume cha sheria.
Watu wajinga na wapumbavu huwa ni dhaifu sana kuliko mnavyofikilia niliwahi kusema haya huko mda wote kwa sasa hawana amani wapo vitumo joto vitumbo joto...
madola 5 ya kijeshi, yakiwa na maelezo ya mwaka yalipoanza kutawala kwa nguvu na mwaka yalipoporomoka:
1. Dola la Roma (Roman Empire)
Mwanzo wa utawala wenye nguvu: 27 KK (chini ya Augustus Caesar)
Kuporomoka: 476 BK (Dola la Roma ya Magharibi)
Maelezo: Jeshi lake lilitawala Ulaya, Afrika...
Hiko hivi Sababu kuu nyuma ya ugomvi wa U.S. na Venezuela ni Mafuta.
Venezuela ina akiba kubwa ya mafuta duniani. Malighafi hii ni nyingi sana kwa uzalishaji wa bidhaa za wese (hasa kwa ukanda wa Americas). Kwa nini hili wese linaleta shida: Kwanza mafuta = economic power, Mafuta =...
Anawaonea wanyonge, aje huku kama hakunya mkojo. Anawaonea wanyonge akina Venezuela, jaribu hapa uone cha mtema kuni.
WHO ARE YOU, WHO ARE YOU, WHO ARE YOU
President Miguel Diaz-Canel issued a sharply worded condemnation on social media, accusing Washington of carrying out a “criminal attack” against Venezuela and calling for an urgent international response.
In a post on X, Diaz-Canel said Cuba’s so-called “zone of peace” was being “brutally...
In a statement posted on X, Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei wrote, “What’s important is when one realises an enemy wants to force something on one’s govt. or nation with false claims, they must stand firmly against that enemy.”
“We won’t give in to them. With reliance on God & confidence...
Indonesia is monitoring developments in Venezuela to ensure the safety of its citizens, Foreign Ministry Spokesperson Yvonne Mewengkang said.
“Indonesia also calls on all relevant parties to prioritize peaceful resolution through de-escalation and dialogue, while prioritizing the protection of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.