Rais Samia ameenda Urusi kuitisha Marekani?

Rais Samia ameenda Urusi kuitisha Marekani?

Quinine

Platinum Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
25,165
Reaction score
60,513
Dunia imegawanyika katika pande kuu mbili, mataifa ya Magharibi (US, EU, UK) na Mashariki (Urusi, China, North Korea, nchi za Kiarabu. Kila upande una mitazamo yake kiuchumi, kiulinzi na kidemokrasia.

Wakati wa vita vya kiuchumi au vita halisi, Wamarekani huwa wana msemo wao.

"Either you are with us, or you are with the enemy".

Kitendo cha Samia kwenda Urusi kipindi hiki kinatafsiriwa na Marekani kama ku-side na adui wake.

It's a bad calculation, waliomshauri kwenda Urusi hawakumshauri vizuri na wala hawataifanya Marekani kusitisha mipango yake ya kuiwekea Tanzania vikwazo.
 
Screenshot_20260514-220817~2.png
 
Dunia imegawanyika katika pande kuu mbili, mataifa ya Magharibi (US, EU, UK) na Mashariki (Urusi, China, North Korea, nchi za Kiarabu. Kila upande una mitazamo yake kiuchumi, kiulinzi na kidemokrasia.

Wakati wa vita vya kiuchumi au vita halisi, Wamarekani huwa wana msemo wao.

"Either you are with us, or you are with the enemy".

Kitendo cha Samia kwenda Urusi kipindi hiki kinatafsiriwa na Marekani kama ku-side na adui wake.

It's a bad calculation, waliomshauri kwenda Urusi hawakumshauri vizuri na wala hawataifanya Marekani kusitisha mipango yake ya kuiwekea Tanzania vikwazo.
Anatuharibia mambo yetu kweli kweli huyu mama.
 
Hakukuwa na ulazima wa kwenda moscow kipindi hiki cha mtanzuko wa kisiasa nchini na nje ya nchi. Madola ya magharibi yatazidi kupata hasira zaidi, labda angeenda UAE
Aende UAE Ili museme anaendelea kuwauzia nchi wajomba zake waarabu, au sio? Kiufupi ni kwamba hakuna atakachofanya nyie haters a.k.a nyumbu wa lissu na kitima msiseme, msiponde, msimnyali n.k. Anachokifanya Sasa, kuendelea na mambo yake, ndicho Bora zaidi.
 
Kweli nyumbu hawana kazi za kufanya. Kwani ni Samia peke yake aliyetwmbelea urusi?!!! Mbona mataifa kibao tu ya Afrika Yana mahusiano mazuri na urusi na hakuna shida? Isitoshe, Tanzania Ina ukubwa gani kidunia Hadi marekani aiwazie kiasi hicho?!!!
 
Back
Top Bottom