marekani

  1. upupu255

    Kuanzia Januari 01, 2026 Marekani imesitisha utoaji wa baadhi ya viza kwa raia wa Tanzania

    Kwa mujibu wa Tamko la Rais Na. 10998, kuanzia tarehe 1 Januari 2026, Marekani imesitisha utoaji wa Viza za kutembelea zisizo za uhamiaji zilizo katika Makundi B-1/B-2, Viza za wanafunzi na programu za mabadilishano zilizo katika Makundi F, M, na J, pamoja na Viza zote za uhamiaji, kwa raia wa...
  2. Fbn

    Unavyopenda sifa za show off ili Ommy tutauliza marekani huko maana sio wageni.

    Marekani sio mbinguni.wana JF tunaomba kujua mke wake.
  3. R

    Waziri wa Mambo ya ndani Venezuela asema idadi ya vifo katika shambulio la Marekani ni watu 100

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Venezuela, Diosdado Cabello, amesema katika shambulio la Marekani lililomuondoa madarakani Rais Nicolous Maduro ilisababisha idadi ya vifo ya watu 100 Hapo awali, Caracas haikuwa imetoa idadi ya waliouawa, lakini jeshi lilichapisha orodha ya majina 23 ya wanajeshi...
  4. Pakome

    Kupitia shutuma za Marekani kwa Rwanda, Rais Kagame anatakiwa aachane na tabia ya kukiuka Mikataba kana kwamba hajasoma

    Tabia mbaya kama hii ya raisi Kagame kugeuka makubaliano sana sana inafanywa na watu wasiokuwa na elimu lakini kwa msomi kama Kagame pamoja na cheo chake kuwa na tabia kama hii ya kukiuka makubaliano ya Mikataba ni tabia ya hovyo sana na anapaswa kuwa na aibu Ifike mahali angalao basi viongozi...
  5. Mhaya

    Rwanda yapewa onyo na Marekani, Ikiendelea kukiuka Maagizo itageuzwa kama Venezuela

    Serikali ya Marekani imeishutumu Rwanda kwa kutotekeleza kwa uaminifu makubaliano ya amani yaliyotiwa saini Washington yanayolenga kumaliza machafuko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ikisema wazi kuwa vitendo vya Kigali vimekuwa na ukiukwaji wa makubaliano hayo yaliyofikiwa...
  6. Mkalukungone Mwamba

    Marekani yaituhumu Rwanda kukiuka makubaliano ya Amani ya DRC yaliyosainiwa Washington

    Serikali ya Marekani imeishutumu Rwanda kwa kutotekeleza kwa uaminifu makubaliano ya amani yaliyotiwa saini Washington yanayolenga kuishia machafuko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ikisema wazi kuwa vitendo vya Kigali vimekuwa ni ukiukwaji wa makubaliano hayo yaliyofikiwa...
  7. DR HAYA LAND

    Ukiona Marekani anavamia nchi fulani ujue sio kwa ajili ya kuisaidia wananchi wa nchi husika ila kuiba mali

    Kuna watu mpaka sasa ni kama hawawafahamu Marekani . Ukiona wamevamia nchi fulani kama Venezuela ujue ni Economic interest and nothing else. Ni muhimu kuendelea kutatua matatizo yetu sisi kwa sisi Afrika.
  8. Bata batani

    Katika vita vya pili Ujerumani had the best military technology kuliko USA wala Urusi lakini ilikuwaje wakashidwa vita?

    Baada ya vita vya pili kumalizika ukweli ni kwamba genius wengi kutoka ujerumani walichukuliwa na marekani , urusi pamoja na uingereza baada ya ujerumani kuionyesha dunia nguvu yao kijeshi na kitekilonojia sasa hebu leo hebu tujikumbushe ugundunzi uliofanywa na wajerumani 1.kombola la v2...
  9. I

    Marekani inajiweka tayari kuishambulia Iran

    Ndege nyingi za Jeshi la Anga la Marekani zimeonekana zikiondoka katika kambi mbalimbali nchini Marekani na pia kwenye kambi ya kijeshi ya Marekani nchini Uingereza, zikielekea Mashariki ya Kati. Ndege hizo ni pamoja na za kujaza mafuta angani na ndege kubwa za kusafirisha wanajeshi na vifaa...
  10. M

    Marekani ni waislam?

    Nauliza tu. Maana kuna vijana waliozaliwa 90 na baada ya kuzaliwa wakasikia Alqaida na wengine huko mashariki ya kati wakaaza kuwasema vibaya waislam na kuanza kuona kama ndio tatizo. Wengi hawataki kusoma historia. Wanashinda ktk social media na kuanza kukoments. Sasa tujiulize marekani nao ni...
  11. MakinikiA

    Ubabe wa Marekani unajitanua zaidi

    Rais wa Marekani Donald Trump amekuwa tathmini "mbinu tofauti" zitakazosaidia kuchukua eneo la Greenland, ikiwa ni pamoja na matumizi ya kijeshi, White House ilisema. Ikulu ya White House iliiambia BBC kwamba kupata Greenland - eneo linalojitawala linalosimamiwa na nchi mwanachama mwenzao wa...
  12. JamiiCheck

    KWELI Baadhi ya Picha na Video zilizochapishwa mtandaoni kumuhusu Rais Maduro baada ya kukamatwa na Marekani zinapotosha uhalisia

    Baada ya Januar 03, 2026 Rais wa Marekani Donal Trump kutangaza kuwa vikosi vya jeshi lake vimemkamata Rais wa Venezuela Nicolous Maduro kumeibuka picha na video nyingi kuuhusu Rais huyo akiwa anakamatwa ama akiwa katika mikono ya wanajeshi wa Marekani.
  13. M

    (KUMBUKIZI) Hili limeniuma sana: Marekani yatoa msaada wa MABOZA sita ya maji kwa Tanzania

    Marekani imetoa msaada wa maboza sita ya maji yanayojiendesha yenyewe ya lita 2400 kila moja, kwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), ambayo yataipa uwezo wa kusukuma na kusambaza maji. Hii inaiwezesha JWTZ kusambaza maji safi na salama kwa maeneo ya vijijini ambayo hayana huduma ya...
  14. L

    Kwanini serikali ya Marekani imezilenga tena nchi za Afrika kwenye vizuizi vya kuingia Marekani?

    Hivi karibuni serikali ya Rais Donald Trump ilitangaza orodha mpya ya nchi ambazo raia wake wanawekewa vizuizi vya kuingia Marekani. Taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Marekani inasema orodha hiyo inahusisha nchi zilizothibitishwa kuwa na upungufu sugu na mkubwa katika ukaguzi, uhakiki, na...
  15. Richard

    Marekani yajiandaa kuishambulia Colombia ili kumchukua Rais Gustavo Petro, majasusi wa CIA tayari wapo kwenye miji ya Bogota na Cucuta

    Raisi Donald Trump amesema Marekani ni lazima iwe na uhakika wa usalama wake pale tu endapo eneo lake la Marekani ya Kusini ( Western Hemisphere) litakuwa salama na tulivu. Rais Trump amesema rais wa Colombia Gustavo Petro ni mgonjwa na kwa muda sasa rais Petro amekuwa chini ya vikwazo kadhaa...
  16. Nyani Ngabu

    Kwa kilichomtokea Maduro, sidhani kama Samia atakanyaga tena Marekani kama ilivyokuwa hapo awali

    Alipoapishwa kuwa Rais baada ya mtangulizi wake kufariki, Samia alikuwa anakuja sana Marekani. Alijipendekeza kwa Kamala Harris, mpaka wakafanya ka press conference, na baadaye Kamala akaitembelea Tanzania. Nahisi kulikuwa na jitihada za makusudi za kuongeza urafiki na Marekani baada ya kile...
  17. Mlaleo

    Onyo: Marekani haitambui mtu anayejiita Rais kama uchaguzi aliuthibiti tukiona ana anaonea raia tutamnyakua kama Maduro - Sikiliza hii kikao cha UNSC

    Marekani haitambui kiongozi yeyote anayechezea chaguzi kuu katika nchi yake, so inawatambua kuwa ni waharifu tu kama wengine na wakiona anamakosa hata ya kuonea raia aliowadhurumu haki zao wanamkamata au kumuua. Huo ujumbe kwa baraza kuu la usalama la kimataifa. Onyo Hii kitu inawahusu wote...
  18. Mhaya

    Series ya Jack Ryan S02 (2019): Ilitabiri Tukio la Venezuela — Miaka 6 Baadaye Marekani Ikapiga kwenye mshono

    Kuna series moja nzuri sana ambayo sasa ndio inashika vichwa vya habari duniani kote na hii series inaitwa Tom Clancy's Jack Ryan. Mfululizo wa Tom Clancy’s Jack Ryan unamuhusu mwamba mmoja wa kuitwa Jack Ryan, mfanyakazi wa CIA anayejihusisha na ujasusi wa kimataifa, uchambuzi wa mambo hatari...
  19. Mkalukungone Mwamba

    Venezuela watuma ujumbe kwa Marekani. Tunaialika Serikali ya Marekani kushirikiana nasi katika ajenda ya ushirikiano

    Venezuela inathibitisha tena dhamira yake ya amani na kuishi kwa amani na mataifa mengine. Nchi yetu inatamani kuishi bila vitisho vya nje, katika mazingira ya heshima na ushirikiano wa kimataifa. Tunaamini kuwa amani ya dunia hujengwa kwanza kwa kuhakikisha amani ya kila taifa. Tunaona kuwa...
  20. K

    Serikali Msichezee Moto na kuwasumbua Diaspora wenye Uraia wa Marekani

    Serikali Msichezee Moto na kuwasumbua Diaspora wenye Uraia wa Marekani. Raia yeyote wa Marekani akishikwa au kushitakiwa nchi nyingine kwa utamaduni wa marekani ni swala la kitaifa sio tena swala la mtu mmoja. Marekani iko tayari kutuma jeshi kumkomboa mtu mmoja tu. Lakini serikali muwe makini...
Back
Top Bottom