GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,865
Una Rafiki yako wa karibu tu na anajua kuwa una Mke na pia Mkeo naye anajua kabisa kuwa huyo Jamaa ni Rafiki yako mkubwa tu, ila ikatokea Rafiki yako wa Karibu 'akakutongozea' Mkeo na Mkeo naye pia 'akamkubalia' na 'wakafanyana' kwa raha zao. Je, ikitokea ukaja 'Kugundua' tukio hilo la 'Kuumiza' na 'Kusikitisha' kabisa Wewe hapo ni nani 'utamlaumu' mno kuliko Mwingine?
Nilikuwa ni 'Muumini' mkubwa sana tu wa 'Kulaumu' wale 'Wanaowadhuru' vibaya (Kikatili) Wake zao pale 'wakiwafumania' ila sasa nimewaelewa.
Nilikuwa ni 'Muumini' mkubwa sana tu wa 'Kulaumu' wale 'Wanaowadhuru' vibaya (Kikatili) Wake zao pale 'wakiwafumania' ila sasa nimewaelewa.