mapenzi

  1. FYATU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, Mume na Mke kushirikiana kwenye ugomvi wa ndugu wa upande mmoja ni Mapenzi au ni ukosefu tu wa maadili?.

    Unakuta Mume au Mke anahitilafiana na ndugu au hata Wazazi wake, lakini unakuta Mume au Mke bila kujali kama kosa ni la mwenza wake basi nae anaunga tela na kukosana na hao Wakwe/Shemeji zake. Hivi haiwezekani Mume au Mke kuonyesha msimamo tofauti haswa kama tatizo lililopo chanzo ni huyo...
  2. Extrovert

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bongo ndio nchi pekee ambayo mapenzi ni ajira

    "Kwa hali ilivyo sasa viumbe esp. jinsia pinzani waishio katika Tized hasa maeneo ya mijini wamegeuza swala la mapenzi kuwa kama ajira kwa maana wanadai stahiki zote a.k.a house allowance, transport allowance bila kusahau invoice za kujikimu a.k.a per diem yani misosi, saluni, vocha vocha hizi...
  3. Research Solutions TZ

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuumia kwenye mapenzi ni swala la uamuzi

    Nilianza mapenzi nikiwa kidato cha tatu, nilipofika kidato cha tano ndio nilikutana na changamoto, lakini sikulazimisha nilikaza nikaendelea na maisha kiasi ambacho badala ya kuumia mimi akaumia aliyeniacha Tangu hapo nilijifunza, kwamba nikiwa kwenye mapenzi nifurahie tu moment ambayo...
  4. Quinton Canosa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi yamenilevya(Love Hangover)

    Mapenzi ni kama kahawa,ladha yake ni nzuri yakiwa ya moto,lakini yakipoa ni raha na karaha.Viola, msichana mrembo mwenye mguso wa ajabu kwenye mioyo ya wanaume,anahaidi kuolewa na John Balisidya,kijana fukara mwenye mapenzi ya kweli na ahadi za kufurahisha masikioni.Wanavalishana pete ya uchumba...
  5. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utafiti: Kahawa huongeza hamu ya wanawake kufanya mapenzi

    Imethibitika Kahawa huwaongezea wanawake ashki ya kujamiiana..! Watafiti hivi sasa wanasema huenda wanaume wanaowategemea wanawake wanywe pombe kwanza ili iwe rahisi kwao kuwakubali, hawana haja ya kufanya hivyo. Hawana haja ya kufanya hivyo kwa sababu, imebainika kwamba, kahawa inafanya kazi...
  6. Its Pancho

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ni ujinga. Yaani ni mambo ya kustaajabisha sana

    Kwa kweli mapenzi ni upumbavu sijui kwanini yaliletwa duniani . Nimeshuhudia watu wakiteseka na kudiriki kujiua kisa tu mapenzi. Baba mkubwa huko kijijini alikuwa na mke mkubwa baadae akafariki kwahiyo ikabidi aoe mke mwengine ambaye alikuwa binti mdogo. Yule binti kazi yake ilikuwa kuwatesa...
  7. U

    JamiiForums Tanzania Amber Rutty na Mumewe Wahukumiwa Kwenda Jela Miaka 5 Au Kulipa Faini Kwa Kosa la Kufanya Mapenzi Kinyume na Maumbile

    Hukumu imetolewa leo na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu DSM Washtakiwa wameshindwa kulipa faini na hivyo wamepelekwa gerezani kuanza kutumikia adhabu yao. ===== Nimezingatia hoja za pande zote mbili na athari za makosa haya, ni kweli washitakiwa wote vijana na wanategemewa, nimeona...
  8. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtihani huu wa kimapenzi umenishinda kuujibu nawaomba wabobezi wa Mapenzi mnisaidie kuujibu ili 'niufaulu' vyema sana

    Una Rafiki yako wa karibu tu na anajua kuwa una Mke na pia Mkeo naye anajua kabisa kuwa huyo Jamaa ni Rafiki yako mkubwa tu, ila ikatokea Rafiki yako wa Karibu 'akakutongozea' Mkeo na Mkeo naye pia 'akamkubalia' na 'wakafanyana' kwa raha zao. Je, ikitokea ukaja 'Kugundua' tukio hilo la 'Kuumiza'...
  9. safuher

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kipimo sahihi cha mapenzi ni kuvumilia mapungufu

    Mapenzi ukitaka kuyapima basi angalia tu kuhusu mabaya kama unaweza/anaweza kuyabeba na kuyavumilia. Asili yetu binadamu tumeumbwa na mambo mazuri na kupenda mazuri,hivyo mtu akikupenda kwa mazuri tu huyo hajakupenda bali ndio asili yake tokea kuumbwa. Kuna watu wanadhani mfano mwanaume...
  10. Rodriquz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ni pasua kichwa. Siamini

    Baada ya kunicha kwa dharau na nyodo me maisha kidogo yakawa mazuri miaka mitatu baadae nakuja kukutana na huyu bi dada maeneo fulani kweli nilimsahau hadi sura yake akanishika bega kwasababu nimpita bila kumtambua."jamani Denis ndio hunioni au unajifanyisha." dah! Nilishangaa sana nikawa...
  11. I AM NO ONE

    JamiiForums Tanzania Tv show na movies za HBO na HBO Max zinachochea mapenzi ya jinsia moja kwa kwenda mbele

    Habari wapenzi wa burudani nimeona nilete kwenu hii issue nimetizama movies nyingi kiasi zikiwemo za hbo huko mambo ni mazito kidogo yaani ukiwa unacheck movies zake inabidi uwe peke yako au uwe na demu wako maana sio kukaa na watoto maana unaeza aibika. Huko ni mchezo wa wanaume kwa wanaume...
  12. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ya huruma...

    Hivi mtu alishawahi kutokewa na hii kitu yaani unapenda mtu kwa kumuonea huruma yaani humpendi ila huruma ila kutokana kumuonea huruma unamkubali tu?
  13. FrankLutazamba

    JamiiForums Tanzania Kama kufanya mapenzi kungekuwa kunatoa sauti kama za jenereta,unadhani mkoa upi watu wasingesikilizana!

    Ni swali makini Ili tukishajua tupeleke kampeni za kutumia salama(kinga).na wataamu wa afya kuangazia.asante
  14. zagarinojo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukaribu unaua hisia (Mapenzi ya mbali yananoga)

    Ukaribu unaua hisia kweli kabisa. Nadhani imewahi kukutokea hali unampenda mkaka/mdada licha ya kuwa hamfahamiani. Unajikuta unatamani kumwambia ni jinsi gani unavyompenda. Ila baada ya wewe kuonana naye. Hisia zako kwake zinaanza kupungua kabisa na unajikuta unampotezea au mnabaki kuwa...
  15. Civilian Coin

    JamiiForums Tanzania Mapenzi yana nguvu ya kubadilisha maisha na kila kitu. Sikiliza hii

    LOVE HAS POWER TO CHANGE LIFE AND IMPOSSIBLE. Being engaged in Love stress and depression can run away and you be come relaxed. . This animated video song #POWER OF LOVE# is for showing True Love in Society and between Couples, enjoy it by watching now.
  16. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usifanye kosa hili kwenye mapenzi, utajuta daima. Utageuka kuwa chizi uropoke peke yako barabarani

    Najaribu tu kuukumbusha ubongo wako kidogo, jambo dogo ila ndio source ya mambo yote mabaya katika ndoa au mapenzi. Usiwe na mahusiano ya kimapenzi na mtu unayempenda wewe huku hujajihakikishia kuwa anakupenda pia au la. Kuwa katika mapenzi na mwanamke au mwanaume anayekupenda na si...
  17. fareed uziel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chubby girlfriend anahitajika

    WanaJF Nakuja kwenu kutafuta kipenzi cha roho yangu.Natafuta msichana awe girlfriend mwenye sifa hizi. Awe mnene Awe anavutia Awe rangi yoyote. Asizidi 35. Awe na shughuli yake. Sifa zangu Nina mwili wa wastan Mweusi mtanashati Nina miaka 27 sijaoa na nipo single na sina mtoto Nina kazi yangu...
  18. M2WAWA2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mike Oliver, Mzungu mtalii aliyetembea na wanawake 300 nchini Kenya

    Mike Oliver mzungu toka UK, ni mtalii aliyetembelea nchini Kenya tangu mwaka mmoja uliopita. Mpaka jana 24 August 2020 baharia amethibitisha kutembea na wanawake 300 huko Kenya. Ametoa uthibitisho huo kwa kutoa na kuchapisha picha za hao wanawake wakiwemo wake za watu, wachumba, watu wazima...
  19. nentewene

    JamiiForums Tanzania Mapenzi si umri

    Kyij
  20. nentewene

    JamiiForums Tanzania Mapenzi miaka ya 90

    Kkk
Back
Top Bottom