Rodriquz
Member
- Aug 13, 2020
- 37
- 139
Baada ya kunicha kwa dharau na nyodo me maisha kidogo yakawa mazuri miaka mitatu baadae nakuja kukutana na huyu bi dada maeneo fulani kweli nilimsahau hadi sura yake akanishika bega kwasababu nimpita bila kumtambua."jamani Denis ndio hunioni au unajifanyisha." dah!
Nilishangaa sana nikawa navuta kumbumkumbu, nilisikitika sana nilipomkumbuka, hakuwa tena yule Nancy aliyekuwa anatikisa mtaa kwa urembo alokuwa nao, daah! Nilijawa na huruma sana, kufupisha.
Nilimsamehe kwa yote baadae nashtuka anasema ana mimba yangu dah! Nilifikiria sana.. Anasisitiza sana tufunge ndoa ili mtoto azaliwe ndani ya ndoa, lakini me nahisi hii mimba kaja nayo nifanyeje nipeni ushauri
Nilishangaa sana nikawa navuta kumbumkumbu, nilisikitika sana nilipomkumbuka, hakuwa tena yule Nancy aliyekuwa anatikisa mtaa kwa urembo alokuwa nao, daah! Nilijawa na huruma sana, kufupisha.
Nilimsamehe kwa yote baadae nashtuka anasema ana mimba yangu dah! Nilifikiria sana.. Anasisitiza sana tufunge ndoa ili mtoto azaliwe ndani ya ndoa, lakini me nahisi hii mimba kaja nayo nifanyeje nipeni ushauri