Chacha divah
Member
- Apr 10, 2020
- 6
- 4
Hivi mtu alishawahi kutokewa na hii kitu yaani unapenda mtu kwa kumuonea huruma yaani humpendi ila huruma ila kutokana kumuonea huruma unamkubali tu?
Umeshameza ndoano hiyo😂Hivi mtu alishawahi kutokewa na hii kitu yaani unapenda mtu kwa kumuonea huruma yaani humpendi ila huruma ila kutokana kumuonea huruma unamkubali tu?
hakuna huruma ni genye tuHivi mtu alishawahi kutokewa na hii kitu yaani unapenda mtu kwa kumuonea huruma yaani humpendi ila huruma ila kutokana kumuonea huruma unamkubali tu?
Hivi mtu alishawahi kutokewa na hii kitu yaani unapenda mtu kwa kumuonea huruma yaani humpendi ila huruma ila kutokana kumuonea huruma unamkubali tu?
. Juma3 nimaombi jwaakwaa ya watu km Wewe karibu sanaNikakumbuka ambavyo sijawahi onewa huruma na niliyempenda,sinaga huruma na mtu...hivyo tu
Hebu punguza haraka!andika vizuri nikuelewe..maana hapo naona maombi tu!sijakuelewa. Juma3 nimaombi jwaakwaa ya watu km Wewe karibu sana
okay ni kwamba jumatatu ni maombi kwaajili ya watu km WeweHebu punguza haraka!andika vizuri nikuelewe..maana hapo naona maombi tu!sijakuelewa
wewe jeokay ni kwamba jumatatu ni maombi kwaajili ya watu km Wewe
hakuna kitu kama hicho.Hivi mtu alishawahi kutokewa na hii kitu yaani unapenda mtu kwa kumuonea huruma yaani humpendi ila huruma ila kutokana kumuonea huruma unamkubali tu?
Nakuelewa ulichomaanisha ila tatizo maelezo yako hayatoi picha halisi ya mapenzi ya huruma.Hivi mtu alishawahi kutokewa na hii kitu yaani unapenda mtu kwa kumuonea huruma yaani humpendi ila huruma ila kutokana kumuonea huruma unamkubali tu?
Okay,Sasa hayo maombi msingi wake ni Nani Kati ya Jehovah,Allah,Shiva,Buddha au Kitovi?okay ni kwamba jumatatu ni maombi kwaajili ya watu km Wewe