figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Salaam,
Kuna kitu nmesikia watu wakijisifia kwamba wanawake wa Tanga ndo mapenzi yalipozaliwa. Ila ila baada ya utafiti wangu wa kina, nimegundua Wanawake wa Zanzibar hasa Kisiwa cha Pemba wapo Vizuri kwenye Tasnia ya Mapenzi kwa Ujumla yake. Yaani wanajua kumhudumia Mwanaume.
Nahisi inawezekana Tanga wanajifunzia Mapenzi Pemba.
Wapemba sio kwamba wapo Vizuri Kitandani tu, bali hadi Mapishi wamebarikiwa.
Wanawake wa Pemba ni Waaminifu sana, akipenda amependa tofauti na Wanawake wa Tanga. Tanga Wasichana Wazuri waliotulia ni Wachache sana, Tanga wanathamini sana na kufundishana Mafiga Matatu tofauti na Pemba. Ukiwa na Mwnamke wa Kitanga ni inatakiwa usiwe na roho nyepesi kwani wengi ni macho mia mia. Kila jogoo likipita wanalitaka.
Wasichana wa Tanga wanafaa kwa Starehe, yaani kwenda naye Disco, Bar, au kwenye Shughuli mbalimbali zinazohusisha kucheza na kukata mauno.
Kuna kitu nmesikia watu wakijisifia kwamba wanawake wa Tanga ndo mapenzi yalipozaliwa. Ila ila baada ya utafiti wangu wa kina, nimegundua Wanawake wa Zanzibar hasa Kisiwa cha Pemba wapo Vizuri kwenye Tasnia ya Mapenzi kwa Ujumla yake. Yaani wanajua kumhudumia Mwanaume.
Nahisi inawezekana Tanga wanajifunzia Mapenzi Pemba.
Wapemba sio kwamba wapo Vizuri Kitandani tu, bali hadi Mapishi wamebarikiwa.
Wanawake wa Pemba ni Waaminifu sana, akipenda amependa tofauti na Wanawake wa Tanga. Tanga Wasichana Wazuri waliotulia ni Wachache sana, Tanga wanathamini sana na kufundishana Mafiga Matatu tofauti na Pemba. Ukiwa na Mwnamke wa Kitanga ni inatakiwa usiwe na roho nyepesi kwani wengi ni macho mia mia. Kila jogoo likipita wanalitaka.
Wasichana wa Tanga wanafaa kwa Starehe, yaani kwenda naye Disco, Bar, au kwenye Shughuli mbalimbali zinazohusisha kucheza na kukata mauno.