mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,017
- 3,037
Habari zenu wakubwa!
Kuna hili suala ambalo linanishangaza. Utakuta mtu yuko na mwanamke mzuri faragha lakini wamezima taa!.!?
Binafsi napokuwa faragha naburudika sana ninapoona jumbile la mwenzi wangu vizuri.
Nafurahi kuona vile anabadilika wakati namwandaa mara arembue macho, mara alegeze/afumbe macho, mara macho yabadili rangi huku machozi yakimlenga.
PIA anavyojinyonganyonga huku akitoa miguno ya mahaba
WANAWAKE miili yao inavutia sana sasa ukizima taa utaonaje titi lilivyojazia, paja lilivyonona, kiuno kilivyojikata au anapokuchanulia guu la bia?
RAHA nyingine unaipata pale unapomchojoa 'pichu' tukio nalipenda sana hili na ndio hapa mwanamke anakuwa kashakata tamaa hawezi kukuzuia kwa lolote.
UTAONAJE jinsi naniliu yake ilivyonona?
AU huoni raha pale mwenzi wako anavyofika mwisho jinsi anavyokuwa.
KUNA kundi lingine la wanaume wao hawazimi taa ila ndo wanajigubika mishuka.
MASWALI yangu kwenu:
(1) Mnapata raha gani ikiwa huo uzuri ulokufanya uwe naye umeuzimia taa.
(2)Mnaficha nini ambacho hamtaki waone?
(3)Au wenzetu mna macho ya paka kwamba mnaona tu hata gizani?
Kuna hili suala ambalo linanishangaza. Utakuta mtu yuko na mwanamke mzuri faragha lakini wamezima taa!.!?
Binafsi napokuwa faragha naburudika sana ninapoona jumbile la mwenzi wangu vizuri.
Nafurahi kuona vile anabadilika wakati namwandaa mara arembue macho, mara alegeze/afumbe macho, mara macho yabadili rangi huku machozi yakimlenga.
PIA anavyojinyonganyonga huku akitoa miguno ya mahaba
WANAWAKE miili yao inavutia sana sasa ukizima taa utaonaje titi lilivyojazia, paja lilivyonona, kiuno kilivyojikata au anapokuchanulia guu la bia?
RAHA nyingine unaipata pale unapomchojoa 'pichu' tukio nalipenda sana hili na ndio hapa mwanamke anakuwa kashakata tamaa hawezi kukuzuia kwa lolote.
UTAONAJE jinsi naniliu yake ilivyonona?
AU huoni raha pale mwenzi wako anavyofika mwisho jinsi anavyokuwa.
KUNA kundi lingine la wanaume wao hawazimi taa ila ndo wanajigubika mishuka.
MASWALI yangu kwenu:
(1) Mnapata raha gani ikiwa huo uzuri ulokufanya uwe naye umeuzimia taa.
(2)Mnaficha nini ambacho hamtaki waone?
(3)Au wenzetu mna macho ya paka kwamba mnaona tu hata gizani?