mapenzi

  1. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Is she still in love au nipo pending?

    Habari wanazengo Nipo na gal tumedate since high school lakn recently nmekuja kugundua anaongea na mchizi mwingne na mchizi yupo very close na dogo.. nmejaribu kumkanya lkn naona dogo yupo attached. Lakin kila ntakacho ananipa.. except to unajua mnshare romantic moments and presence na mshikaj...
  2. sky soldier

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siri ya pipi kifua kwenye mapenzi ya unyonyaji

    Kwenye mapenzi ubunifu hauishi, hata hatujamalizana vizuri na utundu wa kufinyiwa kwa ndani (utalia kama mtoto 😁), Lishaibuka jipya saizi kuna utundu mpya umebuniwa. Pipi Hizi hutumika pale wapenzi wanaponyonyana mdomoni (denda) au mmoja wao anapomnyonya mwenzake sehemu zile (wanawake wanaimbia...
  3. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi mwanaume unaweza kupata mapenzi ya kweli endapo umemzidi mwanamke miaka 13?

    Assume mimi ni mwanaume, niko fresh kimuonekano, nina kazi, sijaoa, sina mtoto, nina miaka 33, halafu namtaka binti mwenye miaka 20, huyo binti anaweza ku-fall kimapenzi na mimi? Huyo binti hatonichukulia mimi kama babu yake au mtu mzima sana kwake? Hivyo kuwekwa kwenye category ya sponsor...
  4. Twyn

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Anasema mpeane ”break time“ ina-make sense kweli?

    Mfano mwanamke wako anakuambia msiwasiliane kwa muda, anasema mpeane” break time “ ina make sense kweli?
  5. D

    JamiiForums Tanzania Amkata mkewe mkono kwa wivu wa mapenzi

    Shinyanga. Mkazi wa Bushushu mjini Shinyanga, Debora Rwekwama (34) amekatwa mkono wa kushoto na mumewe, Jacob Mwajenga (35) ikidaiwa ni kutokana na wivu wa mapenzi. Kamanda wa polisi mkoani Shinyanga, George Kyando amesema tukio hilo limetokea Septemba 9, 2021 mtaa wa Bushushu manispaa ya...
  6. Candela

    JamiiForums Tanzania Unafanyaje mapenzi yakikuzingua?

    Wana jamvi habari, Niende moja kwa moja kwenye mada. Hivi unapokuwa na mpenzi akakuzingua huwa unafanya nini kama mmefikia ile point ya kila mtu afe kivyake. Binafsi huwa napiga buyu tu mdogo mdogo namsahau ila imekuwa tofauti kwa huyu binti. Kila nikitaka kuachana naye nashindwa kabisa...
  7. britanicca

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi kwa mujibu wa maelezo yako ni nini?

    Tupate maana tofauti tofauti ya Mapenzi 1 Ni hisia kali juu ya mtu ambaye mna jinsia Tofauti 2. Ni jaribu la kutesa moyo bila Utaratibu 3. Ni upofu wa Muda mpaka mtakapo achana Najua kila mmoja wetu ana maana ya kuyatafsiri mapenzi tupe Mtazamo wako
  8. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaweza kudumu na kuishi maisha ya furaha na mwenza wako

    Hivi unakumbuka mara ngapi ulishawahi kumwambia maneno mazuri mwenza wako na yakamkosha hadi akafurahi? Hakuna Siri ya kwanini fulani amedumu na ana furaha katika maisha yake ya mapenzi. Unaweza kufanya vitu mbalimbali ili kuhakikisha unakuwa na unaishi kwa furaha na kudumu katika mapenzi...
  9. BAK

    JamiiForums Tanzania Mtanzania gani anayejitambua na ana mapenzi ya kweli na Tanzania hataki Katiba Mpya?

    Mwananchi gani hataki Katiba Mpya? THURSDAY AUGUST 19 2021 Summary Vuguvugu la madai ya Katiba mpya limeanza kushika kasi, lakini katikati ya vuguvugu hilo kumejitokeza kundi ambalo linajaribu kuuaminisha umma kuwa hakuna By Daniel Mjema More by this Author Vuguvugu la madai ya Katiba...
  10. EL ELYON

    JamiiForums Tanzania Sina mapenzi na mama yangu

    Wakuu habari.. Mmebarikiwà sana na Mungu wa Mbinguni hakuna laana. Aisee Mimi Nina wadogo zangu wawili Mimi nikiwa mtoto wa Kwanza tena wa kiume mdogo wangu wa pili ni wa kike na wa mwisho ni wa kiume. Cha ajabu toka nikiwa mdogo hata sijaanza chekechea nilikuwa naishi na shangazi yangu ndiye...
  11. LIKUD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi kitu kingine, sikutegemea kama naweza kuja kuwa desa boy kwa sababu ya mapenzi

    Mrembo wangu anataka nimtafutie course outlines za course zote za LLB undergraduate. Nimejaribu but in vain.. Jamani Kama kuna mwanafunzi wa llb hapa na una course outline ya course yoyote please kindly share it with me nimpe shemeji yenu.. N.b : She graduated at UDSM more than ten yrs ago na...
  12. TheDreamer Thebeliever

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanaume Wapole na wastaarabu huwapenda wanawake ambao hawajatulia?

    Habari wadau..! Naomba leo tujadili hoja hapo juu kuhusu hawa wajamaa wapole halafu Mungu anawakutanisha na magubegube, kwanini?
  13. M

    JamiiForums Tanzania CCM Gwajima ni Manara wa Kisiasa aliyeko Kwenu, ila ana Mapenzi ya dhati huko UPINZANI endeleeni Kumlea ili aje Kuwachafua na Kuwavuruga zaidi

    Rais Samia na Mwenyekiti Taifa CCM endelea tu Kumlea Askofu Gwajima ( Manara wa Kisiasa ) ili awachafue na awavurugeni vizuri. Na nikusaidie tu Rais Samia kuwa Askofu Gwajima Wala hakupendi na hakukubali na hizo Sifa anazokupa ni za Kinafiki na anakudharau mno. Kama kuna Sumu kubwa, mbaya na...
  14. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Historia ya mapenzi ya Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron

    Ulishawahi kusikia japo kwa uchache kuhusu Emanuel Macron Rais wa sasa wa ufaransa? Je ushawahi kusikia kuhusu mke wake? Ni hivi Rais Emanuel Macron wa ufaransa ana miaka 43 ndio rais kijana kuliko maraisi wote waliowahi kuiongoza ufaransa Emmanuel Macron alianza kumpenda mwalimu wake wa...
  15. chongoe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ulishawahi kuwafuma watu wakifanya mapenzi?

    Nishawafuma watu zaidi ya mara moja ila hii ilikuwa ndio kali nilikuwa ndani ya jahazi toka mafia kwenda kisiju nilipakia abiria wakike na kiume safari ilianza saa sita usiku kumbe baadh ya abiria walikuwa wamejifunika turubai wamelala huku jahazi ikitembea ikiwa tunaendelea na safari. Mimi...
  16. mshale21

    JamiiForums Tanzania Babati, Manyara: Ajinyonga baada ya kumuua mkewe kwa wivu wa mapenzi

    Babati. Mkazi wa mtaa wa Kiongozi Mjini Babati mkoani Manyara, Lucas Mangu (46) amefariki dunia kwa kujinyonga mara baada ya kumuua mke wake Anna Kisino (41) kwa kumpiga kutokana na wivu wa kimapenzi. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Marrison Mwakyoma akizungumza na Mwananchi Digital leo...
  17. Liverpool VPN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwenzenu nimeachwa

    Moderator please delete huu Uzi.
  18. Lover boi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni nini kilikushawishi ukajikuta umefanya mapenzi kwa mara ya kwanza katika maisha yako?

    Habarini natumaini muwazima. Twende kwenye mada. Ni ushawishi gani au kitu gani kilikufanya ukajikuta umefanya mapenzi Kwa mara ya kwanza na ulijisikiaje. Kwa mimi ilitokea baada ya washikaji kutuambia tukatembee mida ya usiku na mda huo tupo boarding. Tulipofika eneo fulani tulikuta Malaya...
  19. mama D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umri unavyozidi kwenda mapenzi yangu yanazidi kuwa makubwa kwao👨‍👩‍👧💑

    Ni wazazi💞💓 Kuna wakati naamka natamani tuu niwe nao, niwapikie wale, niwafanyie usafi, niwawekee gospal music, tuongee tufurahi, niwakate kucha, nimnyoe mshua nywele halafu nimtishie kumpaka supablaki anikimbie😃😃😃 Nimtegee bimkubwa asinzie nimpake wanja na lipstik nyekunduuuu, nimvishe wigi la...
  20. Kasomi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aina za Wapenzi Hatari kwenye mahusiano

    AINA ZA WAPENZI HATARI KWENYE MAHUSIANO... 1: Mpenzi mtangazaji--> Kila mnacho fanya yeye anaenda kusema kwa marafiki/ndugu/mitandaoni. 2: Mpenzi mtazamaji: Hana afanyalo, hana future, yupo yupo tu kazi yake ye kutazama na kusimulia ya wenzie wala yake hayawazii. 3: Mpenzi msikilizaji...
Back
Top Bottom