Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,180
- 85,339
Siku zote natamani sana sana nchi yetu ingekua na vitengo vya wanasihi, sio kila kitu kinahitaji polisi na kutumia nguvu. Mfaano mzuri ni huyu kijana ambaye kwa majibu wake ni kwamba Baba mkwe kavunja ndoa yake iliyodumu tangu 2012-2021. Miaka Tisa ya mahusiano si michache.
Katika kutafuta relief ameprint ujumbe wake na kuuweka kwenye bajaj, mke kaenda kutoa report polisi. Dogo kaitwa, katoka hapo kapost status, huyu anahitaji psychological support kuliko vitisho, anapitia kipindi kigumu sana.
Sasa polisi wanamtisha huyu kijana wakati wao kidogo tu yaani Polisi akigundua tu kuwa anagongewa anakimbilia silaha...huyu kijjana afanyiwe Counselling kuliko vitisho. Tutampoteza na Ryan atabaki yatima
Katika kutafuta relief ameprint ujumbe wake na kuuweka kwenye bajaj, mke kaenda kutoa report polisi. Dogo kaitwa, katoka hapo kapost status, huyu anahitaji psychological support kuliko vitisho, anapitia kipindi kigumu sana.
Sasa polisi wanamtisha huyu kijana wakati wao kidogo tu yaani Polisi akigundua tu kuwa anagongewa anakimbilia silaha...huyu kijjana afanyiwe Counselling kuliko vitisho. Tutampoteza na Ryan atabaki yatima