Love be like

Love be like

DR SANTOS

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2019
Posts
14,183
Reaction score
31,958
Unaempenda hakupendi kumbe naye ana mtu ampendaye

Huyo anayependwa naye hampendi anayempenda huku naye kuna mtu anampenda na yeye hapendwi
[emoji23]

Mpenzi mliyekutana accidentaly mtadumu kuliko hata ulomtegemea kwamba mngedumu
[emoji7]

Kwenye mapenzi ombea mwanamke ndio akupende zaidi huyo atavumilia. Ila usiombe upende mwanamke ambaye hakupendi hutoboi
[emoji45]

Utaenjoy sana mapenzi ukipata mtu sahihi

Finally tunaumizwa na watu tulowaamini sana, na wanaokuja kutufariji ni watu baki kabisa
[emoji45]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom