Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,245
Mapenzi haramu ni jambo baya kiafya na hata kiimani.
Tukifanya mapenzi kulingana na utaratibu uliowekwa wa kibinadamu basi kuna faida nyingi ikiwemo. Kupata watoto na kujenga familia jambo ambalo ni baraka.
Zipo baadhi ya njia za kujiepusha na mapenzi haramu/mapenzi yanayofanyika pasipo kutumia viungo sahihi vya uzazi
Mfano: kushiriki mapenzi na kitu au vitu, wanyama, kutumia viungo visivyohalalishwa katika mapenzi kama viungo vya uzazi, kwa maana pana kwenda kinyume na taratibu zilizowekwa tangu binadamu anaumbwa
• Pendelea kusoma vitabu vya dini mara kwa mara huu ni msingi imara wa kukuepusha na fikra haramu
• Mwanaume unapobalehe na kufikia umri wa kutungisha mimba basi oa kwa kufuata misingi ya ndoa hii itakuepusha na kujichua na kuchezea sehemu za siri halikadhalika kwa wanawake, na hii ni njia muhimu ya kuikumbusha jinsia kwamba ipo tofauti na mwenzake
• Epuka kutizama sinema za ngono hii inapelekea watu wengi kushiriki mapenzi haramu
• Jishughulishe mara kwa mara kwani itakusaidia kukuweka busy na majukumu vilevile utaweza kupata kipato cha kujikimu, wakati mwingine watu wanaingiliwa kinyume kwasababu za kujipatia kipato
Tukifanya mapenzi kulingana na utaratibu uliowekwa wa kibinadamu basi kuna faida nyingi ikiwemo. Kupata watoto na kujenga familia jambo ambalo ni baraka.
Zipo baadhi ya njia za kujiepusha na mapenzi haramu/mapenzi yanayofanyika pasipo kutumia viungo sahihi vya uzazi
Mfano: kushiriki mapenzi na kitu au vitu, wanyama, kutumia viungo visivyohalalishwa katika mapenzi kama viungo vya uzazi, kwa maana pana kwenda kinyume na taratibu zilizowekwa tangu binadamu anaumbwa
• Pendelea kusoma vitabu vya dini mara kwa mara huu ni msingi imara wa kukuepusha na fikra haramu
• Mwanaume unapobalehe na kufikia umri wa kutungisha mimba basi oa kwa kufuata misingi ya ndoa hii itakuepusha na kujichua na kuchezea sehemu za siri halikadhalika kwa wanawake, na hii ni njia muhimu ya kuikumbusha jinsia kwamba ipo tofauti na mwenzake
• Epuka kutizama sinema za ngono hii inapelekea watu wengi kushiriki mapenzi haramu
• Jishughulishe mara kwa mara kwani itakusaidia kukuweka busy na majukumu vilevile utaweza kupata kipato cha kujikimu, wakati mwingine watu wanaingiliwa kinyume kwasababu za kujipatia kipato