Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,890
Wajumbe hawajamuacha mtu salama kauli hii ni enzi hizo. Wadau tuchambueni maada hii kwanu nipo njia mbaya sijui chakufanya. Before or after ndio poa.
Kama ni usedNgoja kwanza...wew ni bikra au used?
Jibu swali la mdau kwanza ndo muendelee na mjadala.Kama ni used
😂🤣🤣🤣Jibu swali la mdau kwanza ndo muendelee na mjadala.
Ni kweli kabisa na ndio maana kuna mtu unambania ili afanye ukweliInategemea na mahitaji ya kila mmoja,unaoa au kuolewa kwa ajili ya nini?kama unataka kuhalalisha ngono ni vyema mnyanduane tu kabla ili ujue panapovuja,usije ukaingia kwenye ndoa na mtu usiyeendana nae pengine mchovu mchovu au hawezi kabisa!!!!
Kibiblia ni heri kufanya baada ya ndoa,maana miili yetu ni hekalu la Mungu unapofanya zinaa/uasherati unalinajisi hekalu la Mungu!!! Zinaa ni Dhambi kubwa inayotendeka ndani ya mwili wa mwanadamu!!!
Hivi Adam na Eva walifunga ndoa kabla hawajaanza kunyanduana?Inategemea na mahitaji ya kila mmoja,unaoa au kuolewa kwa ajili ya nini?kama unataka kuhalalisha ngono ni vyema mnyanduane tu kabla ili ujue panapovuja,usije ukaingia kwenye ndoa na mtu usiyeendana nae pengine mchovu mchovu au hawezi kabisa!!!!
Kibiblia ni heri kufanya baada ya ndoa,maana miili yetu ni hekalu la Mungu unapofanya zinaa/uasherati unalinajisi hekalu la Mungu!!! Zinaa ni Dhambi kubwa inayotendeka ndani ya mwili wa mwanadamu!!!
Siwalipewa adhabu kwa sababu walizini hawakufuata mtiririkoHivi Adam na Eva walifunga ndoa kabla hawajaanza kunyanduana?
We utakua una biblia yako tofauti na hizi tunazosoma sisi. Zakwetu zimeandikwa walikula tunda 😁Siwalipewa adhabu kwa sababu walizini hawakufuata mtiririko
Tutaamini vipi kama bikira kwa manenoWatakuja kusema ilikuwa zamani hizo, lkn sasa n sawa maana wanaenda na utandawazi napia watu wamekuwa s waaminifu kabsa anaweza kukupa msimamao mpka ndoa lkn kuna sehemu "ananyanduliwa" kila dk unakuja kuoa kishatumika had kmeisha mvuto(kimekua pango la wanyang'anyi)
Na kufanya kabla ya ndoa inasababishwa na uchumba sugu, mnakaa kwny uhusiano miaka 5 unafkir nn hapo!? Kama unahakika uko na ubikira wako unao ujasir wa kumuambia n mpk ndoa lkn kama washaanza jilia na chumvi usmbanie mwenzio mpe tu yy aamue kama ataoa amaa na yy atatembea kama wengne...........