Huyu mrembo niliye naye, ananichanganya sana, mpaka uwezo wa kufikiri kuna wakati huwa unapungua kabisa; kumbe kupenda sana ni ugonjwa.
Kuna siku nilileta uzi, 'nimeutua mzigo mzito' lakini baada ya hapo tukajikuta tumerudiana tena; kutokana na uumbwaji wake, naona kabisa nikimuacha, nafsi...