Faida 6 za Kiafya za Kufanya Mapenzi Salama

Vincenzo Jr

JF-Expert Member
Sep 23, 2020
12,167
25,477
Kujamiana (ama tendo la ndoa) ni moja ya mambo muhimu sana katika maisha ya mwanadamu.

1. Hulinda mwili dhidi ya magonjwa ya moyo.

2. Huongeza ukakamavu wa mifupa.

3. Hupunguza msongo wa mawazo.

4. Hupunguza maumivu.

5. Hupunguza uwezekano wa kupata saratani ya tezi dume kwa wanaume.

6. Huongeza uwezo wa kunusa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom