Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 397
- 993
Wana MMU kwema? Nikutana na hii mada sehemu, je kuna umuhimu wa kumposti mpenzi kwenye mitandao ya kijamii?
Baadhi ya wanaume wanasema kufanya hivi ni kuanika mambo yako bila sababu ya msingi hivyo hakuna haja, huku wanawake wamegawanyika katika makundi mawili, baadhi wakisema hawawezi kupost wapenzi wao kwa kuhofia kuibiwa na wengine wakisema kupost ni muhimu ili kuonesha uamifu wako, kama hujampost kokote ujue kuna mambo unafanya hutaki mwenzako ajue,
Kwenu wakuu, kuna haja na ulazima wa kumposti mpenzi kwenye mitandai ya kijamii?
Baadhi ya wanaume wanasema kufanya hivi ni kuanika mambo yako bila sababu ya msingi hivyo hakuna haja, huku wanawake wamegawanyika katika makundi mawili, baadhi wakisema hawawezi kupost wapenzi wao kwa kuhofia kuibiwa na wengine wakisema kupost ni muhimu ili kuonesha uamifu wako, kama hujampost kokote ujue kuna mambo unafanya hutaki mwenzako ajue,
Kwenu wakuu, kuna haja na ulazima wa kumposti mpenzi kwenye mitandai ya kijamii?