OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,237
- 103,892
Kuna siku humu kuanzia asubuhi mpaka jioni ni nyuzi za kutendwa tu. Wengine usiku...wanakuja na kataa ndoa. Ni mwendo wa kupigana matukio tu.
Lakini tupo sisi tunaokula utamu wa mapenzi. Tunakula utamu kuanzia asubuhi mpaka jioni.
Hapa napoandika nimetoka kupigiwa video call, nimeambiwa nikitoka kazini niwahi kurudi ana hamu tena. Eti ile asubuhi alinionea huruma nisichelewa kazini. Amesema nichague nianze kumla yeye au nitaanzia mezani kwanza. Mimi nimemjibu nitakuja na asali, nimwagie mwili mzima ili niwale wote at a time.
Huyu ni yule aliyenifunga kamba ya viatu asubuhi. Kisha akani drive mpaka kazini kisha akarudi na boda. Kama ndio hivi kwa nini nisimnunulie ka IST kake?! Sio tu hivyo jana yake usiku ilikuwa siku ya kupigana show. Ilikuwa siku special kwa sababu tulihamia hotel tukawa mle tukashinda uchi kama vitoto vichanga.
Siwezi kusimulia kila kitu kama mechi ya mpira. Lengo langu sio kukutambia ila.....Kama wewe unapigika kwenye mapenzi ni wewe na huyo mumeo. Usiseme wanaume wote ni mbwa. Never generalise, wengine tunaogelea kwenye lindi na dimbwi la mapenzi. Pambana na hali yako usitusambazie ubaya wengine. Mapenzi hayana tatizo, tatizo ni demu wako. Sijasema hakuna ups and down, zipo! Ila kwa watu wanaopenda sana kwa nini washindwe kumaliza changamoto chaaaap kwa haraka?
Tunaokula raha za mapenzi tupo wapi? Mimi nipo hapa kushirikiana nanyi kuonyesha upande wa pili.
Lakini tupo sisi tunaokula utamu wa mapenzi. Tunakula utamu kuanzia asubuhi mpaka jioni.
Hapa napoandika nimetoka kupigiwa video call, nimeambiwa nikitoka kazini niwahi kurudi ana hamu tena. Eti ile asubuhi alinionea huruma nisichelewa kazini. Amesema nichague nianze kumla yeye au nitaanzia mezani kwanza. Mimi nimemjibu nitakuja na asali, nimwagie mwili mzima ili niwale wote at a time.
Huyu ni yule aliyenifunga kamba ya viatu asubuhi. Kisha akani drive mpaka kazini kisha akarudi na boda. Kama ndio hivi kwa nini nisimnunulie ka IST kake?! Sio tu hivyo jana yake usiku ilikuwa siku ya kupigana show. Ilikuwa siku special kwa sababu tulihamia hotel tukawa mle tukashinda uchi kama vitoto vichanga.
Siwezi kusimulia kila kitu kama mechi ya mpira. Lengo langu sio kukutambia ila.....Kama wewe unapigika kwenye mapenzi ni wewe na huyo mumeo. Usiseme wanaume wote ni mbwa. Never generalise, wengine tunaogelea kwenye lindi na dimbwi la mapenzi. Pambana na hali yako usitusambazie ubaya wengine. Mapenzi hayana tatizo, tatizo ni demu wako. Sijasema hakuna ups and down, zipo! Ila kwa watu wanaopenda sana kwa nini washindwe kumaliza changamoto chaaaap kwa haraka?
Tunaokula raha za mapenzi tupo wapi? Mimi nipo hapa kushirikiana nanyi kuonyesha upande wa pili.