makonda

Paul Makonda
Paul Christian Makonda born 15 February 1982 is the Regional Commissioner of Arusha, Tanzania.

Makonda gained popularity during a constitutional amendment referendum, where he was among a few members of a special parliamentary session that was tasked with drafting a new Constitution.

He would later become more prominent in politics, first acting as the District Commissioner(DC) for Kinondoni before being appointed Regional Commissioner(RC)of Dar es Salaam by the late President, John Pombe Magufuli, in 2016.
  1. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda: Hivi hili Taifa tutaacha lini kupenda Umbea, Majungu na Uongo?

    Anaandika Paul Makonda katika mitandao ya kijamii Hivi hili Taifa tutaacha lini kupenda Umbeya, Majungu na Uongo. Na hata kama hakuna habari mbaya bado tunalazimisha tu ziwepo. Unaambiwa kabisa siyo kweli we bado unabisha tu ulazimishe ni kweli. Ona sasa ukitumia akili kidogo tu utagundua hata...
  2. britanicca

    JamiiForums Tanzania Anguko la Makonda

    Kijana Ambaye alitamba Miaka kadhaa nyuma ameonekana kuendelea kukata tamaa. Tukumbuke Makonda ni nani Makonda akiwa na cheo cha Mkuu wa wilaya Kinondoni aliwahi kuja na mapendekezo na Maagizo kadhaa 1. Aliwahi kuwatangazia wanafunzi wote waliohitimu kwenda ofisini kwake kuwasaidia kupata...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Je, Paul Makonda anatosha kurithi kiti cha Dkt. Bashiru CCM?

    Najua Wapinzani hawatafurahia swali hili lakini chini ya jua lolote linawezekana. Nawaona komredi Polepole na ndugu Makonda wakipiga jalamba kurithi mikoba ya Dr Bashiru aliyehamia Ikulu kama Katibu mkuu kiongozi. Kwa mbali namuona Dkt. Mwigullu Nchemba naye anatroti. Ufipa kaeni chonjo...
  4. KISHINDO

    JamiiForums Tanzania Nani anafaa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi baada ya kifo cha Balozi John Kijazi?

    Kwanza poleni sana kwa misiba iliyoikumba nchi yetu. Pili, watu huelewa uchapakazi wako bila wewe kuwaambia. Wanaweza wakakupendekeza kama uchapakazi wako ni mzuri au wasikupendekeze kulingana na uchapakazi wako wa hovyo hovyo. Ile watu wakisema fulani anafaa basi hata usipopewa nafasi hiyo...
  5. BUMIJA

    JamiiForums Tanzania Makonda kachangia sana kupanda kwa ufaulu wa matokeo kidato cha 4 mkoa wa Dar

    Huyu jamaa alikua akihimiza ujenzi wa staff nzuri za walimu wa Dar.Walimu huvutiwa zaidi na mazingira mazuri ya kazi.Viongozi wengi wanahimiza ujenzi wa madarasa na kuwasahau walimu wao.Naomba wakuu wa mikoa yote Tz waige mfano huu.
  6. Replica

    JamiiForums Tanzania RUNGU: TCRA imeitaka Wasafi TV kusitisha matangazo kwa Miezi Sita (6) kuanzia leo kwa kurusha Maudhui ya utupu

    TCRA imeitaka Wasafi TV kusitisha kurusha matangazo kwa miezi sita kuanzia leo kutokana kwa kukiuka kanuni za utangazaji kwa kurusha maudhui ya utupu. Maamuzi hayo yanakuja kufuatia maudhui ya picha jongefu yaliyomwonesha msanii wa bongo Fleva Gift Stanford maarufu kama Gigy Money akicheza...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Nini kimetokea hadi vijana maarufu wa CCM akina January, Nape, Kigwangalla, Makonda, Gambo nk kuzimika ghafla?

    Najua wengi wao wako bungeni lakini ukimya wao ni kama vile hawapo yaani hawasikiki wala hawafurukuti. Nini kimewatuliza? Je, ni ujio wa vijana wapya na machachari kutoka CHADEMA akina Silinde, Patrobas, Waitara, Gekui, Mwambe, Dr Mollel nk au ni nini hasa maana hata Sadifa na Shonza...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Nguvu ya Job Ndugai ilivyowasambaratisha Prof. Assad, Makonda, Tundu Lissu, Mbowe na Mpina!

    Hao niliowataja ni wachache miongoni mwa wengi waliojaribu kupimana ubavu na mh Job Ndugai na kuangukia pua. Wengi hawaijui nguvu ya Ndugai ndani ya CCM lakini kiukweli huyu jamaa ni very powerful. Wako wapi leo akina Makonda, Prof Assad, Mbowe na yule aliyepima samaki kwa rula kwenye mgahawa...
  9. Kifurukutu

    JamiiForums Tanzania Baada ya Humphrey Polepole kuteuliwa kuwa Mbunge. Je, nani kuchukua nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi ndani ya CCM?

    Baada ya Rais Magufuli kumteua Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nafasi yake ya Katibu Itikadi na Uenezi ndani ya CCM ni rasmi sasa uko wazi kwani mheshimiwa Rais alishaweka utaratibu wake kwamba viongozi hawawezi kuvaa kofia mbili katika uongozi. Taarifa...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla alimtabiria Paul Makonda kuwa mgombea urais wa CCM 2025. Je, unabii wake utatimia?

    Pascal Mayalla ni mwandishi wa habari nguli, mwanasheria na mchambuzi wa maswala ya siasa. Wakati fulani siku za nyuma kupitia hapa JF alimtabiria Mkuu wa Mkoa mstaafu Paul Makonda kuwa Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM 2025. Kwa sababu mgombea urais wa JMT kupitia CCM 2020 atakuwa kijana, Je...
  11. Erythrocyte

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nani aliyemvua Makonda nafasi ya Mhamasishaji Mkuu wa Taifa Stars, na kwanini?

    Mhamasishaji Mkuu Mstaafu wa Taifa Stars Mh Makonda hajasikika akihamasisha lolote kwenye mechi ya Tunisia na Stars, kulikoni? Ni nani alimvua uhamasishaji huu na ni lini na Kwanini? Mwanamichezo Makonda pia alikuwa Mshauri Mkuu wa MO kwenye masuala ya Simba, je bado cheo hiki anaendelea nacho?
  12. Wako Mtiifu

    JamiiForums Tanzania Dua yangu kwa Paulo Makonda

    Saalaam kwenu WanaJamvi Baada ya pilikapilika nyiIngi kupita, pilika za kutangaza nia, kuchukua fomu, kampeni na hatimaye Uchaguzi mkuu hatimaye sasa Jahazi la nchi yetu limeanza kutulia kabla MZEE hajatangaza baraza lake la mawaziri na kuanza kusonga mbele rasmi kwa pamoja. Kwangu mimi...
  13. thetallest

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: RC Dar, Abubakar Kunenge usiwe Sheikh au Padri, badilika uwe mkali

    Kama kawaida yake Rais Magufuli huwa hafichi hisia zake hasa mambo yanapokwenda ndivyo sivyo katika utendaji kazi, na hii ndio hulka yake. Maneno haya kayasema leo alipokuwa akiweka jiwe la msingi stand ya mabasi Mbezi. Hii ni baada ya ujenzi kusuasua kwa visingizio hafifu. Nahisi anaweza...
  14. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Zimebaki siku 31 za kupiga kampeni, sijamuona Makonda akiwanadi wagombea wa CCM

    Kama wanavyofanya wana CCM wengine waliotia nia na kuenguliwa ama kushindwa kwenye kura za maoni, sijawahi kumuona Makonda akiwanadi wagombea wa CCM. Ikumbukwe kuwa aliwahi kuahidi kuwa atazunguka Dar es Salaam nzima kumpigia kampeni Magufuli. Je, ni kujiamini sana au alikasirishwa na kitendo...
  15. D

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi: Ugeni wa Gwajima na Makonda kwa Kardinali Pengo katika Ulimwengu wa kiroho unamaanisha tofauti kabisa na malengo yao

    Nitaeleza kwa kifupi sana. Maelezo ukiona ni marefu basi soma Paragraph ya Mwisho! Ugeni uliofanyika kwa aliyekuwa askofu wa Jimbo kuu la DSM Kard. Pengo unatoa taarifa nzito kabisa katika Ulimwengu wa kiroho tofauti na malengo ya Gwajima na Makonda yalivyo. Ugeni huo uliojumuisha watu wawili...
  16. Mocumentary

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli, namuombea msamaha Paul Makonda. Msamehe

    Mhe Rais wetu, na viongozi wote wa serikali yako, sisi kama vijana tunayemtazama. Paul Makonda kama chachu ya uongozi katika mioyo ya vijana, tunakuja mbele yako kwa unyeyekevu mkubwa kuomba msamaha wa yale yote aliyoyafanya kinyume na matakwa yako na serikali yako kwa ujumla. Tunaamini yapo...
  17. U

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda: Ahsante Mungu katikati ya machozi umenipa mapacha wawili!

    KUPITIA UKURASA WAKE WA INSTAGRAM MSTAAFU MAKONDA AMEANDIKA: Heshima na Mamlaka ni zako eee Mungu wa Mbingu na Nchi na kwako wewe tunalia Aba, nitaendelea kutaja ukuu wako siku zote za maisha yangu kwakua hujawahi kuniacha hata dakika moja. Pamoja na mapito magumu na mazito lakini naiona nuru...
  18. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Makonda ana u-maalum , afisa kipenyo!

    Baada ya tambo nyingi jijini Dar na kujiita RC wa MA-RC wote Tanganyika, hatimaye alibugi kwa kwenda kuchukua fomu ya ubunge na kuachia u-RC, hakujua bwana Jon walker atamla kichwa. Jana uwanja wa mpira Dodoma kaingia kwa mbwembwe na kurudishwa na maafisa vipenyo wenzake, amekuwa akijiona ni...
  19. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Rais tuletee mwamba Paul Makonda awe mkuu wa mkoa, tunamhitaji kwa sana

    Sina nia ya kukufundisha kazi, ila sipingani na ukweli wa kwamba Paul Christian Makonda ni kiongozi haswa. Kiongozi huacha sifa bora na miongoni mwa mambo mazuri alotuachia Makonda kwa taifa hili ni pamoja na vita alivyoshinda vya madawa ya kulevya na kuwa mstari wa mbele katika kutokomeza...
  20. chiembe

    JamiiForums Tanzania Je, kupotea kwa Makonda ni kazi nzuri ya kitengo kumpiga misinformation agombee Kigamboni ili kuliondolea taifa adha ya viongozi wa hovyo?

    Kama ni kitengo basi wamefanya kazi bora kabisa Najua kitengo wana uwezo mkubwa wa kipropaganda kumuaminisha mtu kuhusu jambo na kwamba watamsaidia kulifanikisha na ikibidi kumwambia kwamba sponsor yuko pamoja naye. Nadhani kwa makonda,kama wamefanya hivyo,basi wamefanya jambo bora kabisa...
Back
Top Bottom