mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,193
- 6,381
Mh Rais, Makonda bado ni kijana sana kupotea kwenye siasa, pamoja na mapungufu na mabaya yake usimuache. Itapendeza zaidi akiwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani, awe karibu na rafiki yake Ridhwani. Ikishindakana Pwani basi hata Mkoa mmoja wa Kanda ya Ziwa awe karibu na nyumbani na karibu na nyumba ya milele ya Mzee mpendwa wake
Mjini hapa hata Mzee hakumrudisha
Mjini hapa hata Mzee hakumrudisha