Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀Basi apelekwe Ntwara!
Muwe mnasoma na kuelewa mada asee..!Wafundishe walimu sifa apewe Makonda!
Mleta mada unawakosea walimu.
Div 1 ya 7 had 3 ya 22, Kwa gvt.Kwani ili ujue umefaulu kwenda kidato cha tano inabidi uwe na alama zipi jamani maana daah niko na stress
Shukrani mkuuDiv 1 ya 7 had 3 ya 22, Kwa gvt.
Shule zipi walijengewa Staff?Huyu jamaa alikua akihimiza ujenzi wa staff nzuri za walimu wa Dar.Walimu huvutiwa zaidi na mazingira mazuri ya kazi.Viongozi wengi wanahimiza ujenzi wa madarasa na kuwasahau walimu wao.Naomba wakuu wa mikoa yote Tz waige mfano huu.