Kumbukizi: RC Makonda akimfokea DC Chongolo

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,842
Tujifunze kuweka Akiba ya maneno vyeo vyetu ni mapito tu watawala wajifunze kuishi na walio chini yao vizuri.




Chongole.jpg


PIA SOMA: Daniel Chongolo apendekezwa kuwa Katibu Mkuu CCM
 
Unajuwa sijui kwanini Tanzania watu hawajifunzi tu, kuna watu usiwaone poa tu ukadhani sio lolote mfumo wetu una watu kibao ndio sijui wanaitwa majasusi nini sijui...

Watu wengi wako katika system usijione uko juu ukawaona wa chini sio kitu hasa hapa Tanzania kama mnakumbuka mkurugenzi wa tume ya uchaguzi kama sikosei si alitolewa maneno ya kunyoshewa kidole na yule mkuu wa wilaya aliyekuwa masemaji wa Yanga mara jamaa huyo mkurgenzi wa tume ya uchaguzi.

Mama Samia kishawaambia hujui boss wako kesho ni nani tuheshimiane. Tanzania heshimu kila mtu hujui kesho..
 
Ndio maana mnaambiwa ishini na watu kwa upendo na heshima! Huwezi jua kesho yako, hili ni fumbo ambalo Mungu ametuwekea kama kinyoosheo chetu hapa duniani!

Utatamba sana ila ipo siku unayemtambia anaweza kuwa ndio anaekuja kukuwekea mtambo wa kusaidia kuongeza kasi ya mapigo yako ya moyo! Mtu unayemdhihaki leo akaja kuwa ndio mmiliki wa eneo ambalo umejenga! Anaweza kuwa na madaraka ya juu zaidi yako! Nidhamu ni muhimu sana katika maisha vyeo vina circulate!
 
Makonda sasa hivi atakuwa mlokole kamili yaani maana bila maombi anaweza akapata msongo mkubwa wa mawazo. Kote alikonyeaga kambi mungu anakuinua kwa mpango issue ya kontena, kwa chongolo, lwa watendaji wengine. Hakujua kuweka akiba alifanya kazi kwa kiki.

Sent from my SM-T825 using JamiiForums mobile app
Unamaanisha dab ataishia kuvaa maguo ya kijani tu kama yuko Mortuary?

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom