maisha

  1. R

    JamiiForums Tanzania Ahsante Tundu Lissu. Ulipozungumzia ugumu wa maisha (bei ya nyama na maharage) walikuelewa nao wanakuunga mkono Bungeni. Great

    Ulipozungumzia Nyama na Maharage wananchi walikuelewa Ila wanasiasa walikuelewa vizuri zaidi. Umebadili michango ya wabunge bungeni, Dr. Bashiru ameacha kebehi anajadili njaa; Gambo ameacha kujadili propaganda anajadili njaa. Naomba nikupongeze kwamba umebadili upepo; Mdogo wako Mwiguli...
  2. Phobia

    JamiiForums Tanzania Nimechoka maisha ya ughaibuni

    Ama hakika maisha ya ughaibuni kwa ujumla yamenichosha jamani yaanj sio poa kabisa yaani kutwa kushinda uko pekee yako hamna vijiwe vya kahawa na kashata kama huko bongo yaanj kutwa kufanya kazi saving ni kipengele sana kwasababu unafanya kazi mara ulipie mortgage, mara ilipie car rent hamna...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Ugumu wa Maisha kutinga Bungeni leo

    Acheni Mungu aitwe Mungu. Kwa hakika Mola akimuinua mja wake, haijali hata wenye pembe wafanye nini. Yale mambo yetu kutokea uwanja wa Bulyaga yanazidi kushika kasi: "Ugumu wa maisha na kuongezeka mno kwa mfumuko wa bei. Haya yakiakisiwa vilivyo na bei za vyakula sokoni." Nani alikuwa na...
  4. NetMaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kushuhudia msela kabwela, kajamba nani, maisha Uswahilini ana date na mtoto mkali wa ushuani ?

    Kiuhalisia haya mahusiano yapo tukiweka kando Bongo movie, bongo flava na ndumba ? Tuweke kando madenti wa sekondari hawa kuwapata ni rahisi lakini kwa sheria za sasa ukiingia kichwa kichwa unapigwa mvua ya kutosha. uliwahi kushuhudia ama wewe kuwa mhusika, mtoto mkali wa ushuani kadata na...
  5. mcshonde

    JamiiForums Tanzania Kifo cha Norah; aliyejifanya mwanaume ili ajue maisha ya wanaume yakoje

    Kifo cha Norah Vicent kiliibua hisia kwa jamii kutokana na namna utafiti alioufanya ulivyommaliza yeye mwenyewe. Norah alitaka kujua maisha ya mwanaume yakoje..ni changamoto zipi anapitia? Mwaka 2003, bila kubadili jinsia yake, akaamua ajifanye kuwa mwanaume; akaajiri mtu wa make up,mtaalamu wa...
  6. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Kama ulimwengu ungekuwa ni Usiku tu ama Mchana tu, maisha yetu yangekuwaje?

    Kwa sasa maisha yetu ya kila siku huamuliwa kwa kuwepo kwa mchana na usiku. Jee ulimwengu ungekuwa na usiku tu ama na mchana tu, maisha yetu yangekuwaje??
  7. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Uarabuni maisha safi

    Ukifika Saudia, Kuwait, Qatar, Oman l, Bahrain na UAE (Dubai, Sharjah ama Abu Dhabi) utakubali kuwa zile nchi zimebarikiwa. Mfanya usafi Msikitini analipwa yapata 5m TZS Kwa mwezi (na hakuna Kodi).
  8. BARD AI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtanzania afungwa Jela Miaka 30 Kenya kwa Usafirishaji Haramu wa Watoto

    James Sengo Nestroy alikamatwa baada ya kubainika anajihusisha na Usafirishaji Haramu wa Watoto na Watu wenye Ulemavu ambapo aliamriwa na Mahakama, alipe faini ya Tsh. Milioni 563.8 au atumikie kifungo jela. Baadhi ya Waathirika wa Biashara hiyo wengi wakiwa ni Wenye Ulemavu (Raia wa #Tanzania)...
  9. chiembe

    JamiiForums Tanzania Vijana, tusikate tamaa ya maisha: BABUTALE, mwanasiasa nguli, atunukiwa udaktari wa heshima

    Maisha mwendo mdundo.Bila shaka taifa litaanza kupata madini kupitia udaktari wa heshima, udaktari huu pia anao mbunge Musukuma. Bado nafuatilia chuo kilichompa udaktari huo Hureee vijana
  10. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Maisha hayana Maana

    Now I'm matured, Hiki kidogo napata nilifanikiwa kusaidia masikini, kusaidia wazazi na kutoa sadaka Nimewajengea wanakijiji kisima Cha mil 3 tu. Sasa nyie mnaoroga au mnahangaika kwa ajili ya hii Dunia mnatafuta Nini. Hata ukiishi miaka Mingi lazima ufe so why unaomba Maisha marefu huku unaishi...
  11. saidoo25

    JamiiForums Tanzania Napingana na Tundu Lissu kuwa ugumu wa maisha umesababishwa na Katiba

    Magazeti ya leo yamemnukuu Tundu Lissu akisema ugumu wa maisha hautokani na uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan bali ni unatokana na Katiba. 1. Lissu nakuuliza Kwani Katiba ndio imefungua mipaka ya nchi yetu na kuruhusu Wakenya,Wanyarwanda,Wakongomani na Warundi kumiminika hadi mashambani huko...
  12. saidoo25

    JamiiForums Tanzania Lissu amtetea Rais Samia kupanda kwa gharama za maisha

    Tundu Lissu amekunukuliwa na gazeti la Majira la leo akiweka bayana kuwa suala la ugumu wa maisha tulionao sasa wa kupanda kwa bidhaa kama mchele, maharage, unga, mafuta na bidhaa mbalimbali haukusababishwa na Rais Samia hivyo asilaumiwe Samia bali wa kulaumiwa ni Katiba mbovu ya tuliyonayo sasa.
  13. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Ukienda Mjini kutafuta Maisha hakikisha unafanya haya

    UKIENDA MJINI KUTAFUTA MAISHA HAKIKISHA UNAFANYA HAYA Anaandika, Robert Heriel Leo sina mengi ya kusema, najua Maisha hayana Formula Ila zipo Formula katika Maisha. Ukitaka chukua usipotaka Acha. Ooh! Mimi ni kijana, nina miaka 25, sina hili wala lile. Sijui nikatafutie wapi Maisha. Mimi...
  14. De Opera

    JamiiForums Tanzania Jinsi Koneksheni inavyoweza kurahisisha jambo lako

    Habari za muda huu Mpwa! Ni siku nyingine tena tunakutana katika kuangalia yale mambo kadha wa kadha ambayo yanagusa maisha yetu. Mpwa, leo nimekuja na jambo moja tu ambalo ndio limekuwa muhimili wa sasa katika maisha ya leo yaani 'Connection'. Ni neno la kawaida sana ukilisoma na kulitamka...
  15. Yakki Kadaf

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha yangu ya upangaji na wake za watu na niliyowahi kuyashuhudia

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri wapendwa.... Tarehe 29 Mwezi september, mwaka huu natimiza miaka 24. Nataka kushare niliyokumbana nayo na wake za watu pamoja na niliyowahi kuyashuhudia. Mara ya kwanza kuishi wilaya ya Bunda niliishi mtaa mmoja uitwao Nyamakokoto kutokana na ugumu wa maisha kazi...
  16. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kibongobongo haya ni Mafanikio Makubwa kwako Kijana ukiwa nayo. Furahia Maisha

    KIBONGOBONGO HAYA NI MAFANIKIO MAKUBWA KWAKO KIJANA UKIWA NAYO. Anaandika, Robert Heriel Siandiki kukusifia, au kukufanya uridhike. Najaribu kukueleza kuwa lazima ukubali kuwa umepambana na ufurahie matunda ya Kazi ya mikono yako. Usiposhukuru Kwa hayo uliyonayo hutokuja kushukuru Kwa Yale...
  17. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Maisha jamani!

    Mama mjane aliyeachiwa wanawe wakiwa wadogo amepambana Sana katika kuwalea.Hana shughuli inayomuingizia kipato Cha kueleweka anaishi kwa kuunga unga ilmradi maisha yasonge. Amekuwa akifanya vibarua mbali mbali Kwenye mashamba ya watu ili aweze kukidhi mahitaji ya wanawe ikiwemo chakula,mavazi...
  18. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Watu walidhani leo Chadema wataongelea kupanda kwa gharama za Maisha !?

    Watu Leo walitaka kutetewa kuhusu Bei za mchele na unga sio? Yaani mnashindwa kuwahoji ao Ccm wenu mnataka kumtoa mzee wa watu kwa reli Muacheni mzee kwanza alipokuwa nyuma ya Nondo hamjasaidia chochote Niwaambie hakuna Mtu ambaye yupo kwa ajili yenu Muacheni Mzee wa watu Mbowe , Mnaweza...
  19. Dr Restart

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Hotuba ya Mbowe imebeba dira na mwelekeo wa Chama hicho

    Wasalaam. Leo ilikuwa ni Ufunguzi wa Mikutano ya Hadhara kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), iliyofanyika uwanja wa Furahisha mkoani Mwanza. Pamoja na mengine mengi, hotuba ya Mwenyekiti wa Chama, Mh Freeman Aikaeli Mbowe imebeba dira na mwelekeo wa Chama hicho. Katika hotuba...
Back
Top Bottom